Chadema iko mbali sana na waislamu

Chadema iko mbali sana na waislamu

Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata

Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.

Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?
Hamna mahali walisema wanataka kuungwa mkono na waislamu,Wanataka kuungwa mkono na watanzania si dini, kuna tofauti kubwa sana
 
Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata

Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.

Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?
Kwani wanaeneza dini siku hizi?
 
Nyie wavaa kobaz mnajikuta nani ? Kama wana udhuru je ?? Jinga kabisa
 
Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata

Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.

Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?
Nakushauri
Soma historia ya TANZANIA ujue mana ya BAKWATA
 
chadema si chama rafiki kwa uislam hata kidogo, tazama safu yake ya kiuongozi, vita yao kubwa ni uongozi hawana diplomasia ya kijamii yaani kuishi na jamii zote Tanzania, ni chama hatari na cha kuogopa kwelikweli,wallah najiapiza hakitufai waislamu, mabaradhuli Hawa yarabh.
 
Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata

Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.

Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?
Cdm haihitaji support ya waisilamu, inahitaji support ya watanzania. Waisilamu unawajua ww.
 
Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata

Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.

Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?
Ccm wanatisha kughribu bakwata siyo chadema
 
Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata

Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.

Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?

..wewe kama Muislamu unajaribu kuwachochea waumini wenzako wajitenge na Chadema, jambo ambalo sio zuri.

..Chadema hawajafanya jambo lolote lile ambalo linamnyima Muislamu haki yake ya kuabudu.

..Chadema inatetea kura za wananchi zisiibiwe, na HAKI zao zisipokwe. Je, wewe unadhani Chadema wanapotetea uchaguzi wa haki, hawajagusa maslahi ya Waislamu?
 
Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata

Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.

Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?
Kuna mwanasheria mmoja wa chadema alishawahi kutamka kwa bahati mbaya kuwa hapendi viongozi wa nchi waislamu eti wanaharibu nchi nikamuangalia nikasema kweli chuki ni ugonjwa mmbaya sana
 
Back
Top Bottom