Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Baada ya kuisoma hii story hapa chini, nimeisikia sauti ya ndani yangu, the voices from within ikiniambia huyu Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said, ambaye alizaliwa tarehe 16 Septemba...
14 Reactions
112 Replies
8K Views
Ukweli mchungu: Labda tusaidiane kufahamu, hivi kweli ni nani hataki haya? Pia soma: Kuelekea 2025 - Tuzijue "Sera za Mbowe" dhidi ya "Sera za Lissu," uchaguzi mwenyekiti CHADEMA 2025
11 Reactions
45 Replies
2K Views
NASISITIZA, MAMBO AMBAYO UKIFANYA WATU HAWATASITA KUKUUA. BILA KUJALI SHERIA ZIPO AU HAZIPO, MUNGU YUPO AU HAYUPO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Oooh! Kuua ni ukatili, kuua sio HAKI. Oooh...
28 Reactions
89 Replies
5K Views
Miongoni mwa waliohudhuria kwenye mikutano ya Rais Samia huko Katavi na mimi nilikuwepo Kwenda kwangu kwenye mikutano hiyo, siyo kwamba ndio namkubali Rais katika utendaji wake, hapana Nimepatwa...
2 Reactions
48 Replies
2K Views
29 December 2024 Dar es Salaam Maandamano ya Jubilei Jimbo Kuu jijini Dar es Salaam 2025 https://m.youtube.com/watch?v=hDK2Hmt-zN8 yaliyoanzia kanisa la St Peters lililopo Oysterbay Mbuyuni...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Dk. Harith Ghassany ni mwandishi wa kitabu kinachoongelewa Tanzania nzima sasa hivi na huenda kikavuka mipaka na kuingia nchi nane zinazopakana na Jamhuri ya Muungano. Kitabu hiki chenye...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Mbunge wa Nzega vijijini Dr Kigwangalla anesema Tume ya uchaguzi ni Huru na Wao Huwa wanawagalagaza chadema kwa sababu chama hicho hawajipangi " Kama Wana uhakika wa ushindi Kwanini hawalindi...
1 Reactions
8 Replies
594 Views
Taasisi ya Takwimu ya Taifa inaonesha kuwa miaka 7 iliyopita 2017 – 2023 Tanzania imewekeza wastani wa asilimia 46 ya pato la taifa, kulingana na uwekezaji wa 46% pato la taifa lilipaswa kukuwa...
1 Reactions
1 Replies
296 Views
Mbunge wa Jimbo la Busokelo, Mhe. Atupele Mwakibete, amechangia mchango wa shilingi Milioni 10 kw ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Busokelo. "Hii ni kutokana...
0 Reactions
0 Replies
314 Views
Propaganda ni mbinu ya mawasiliano inayolenga kushawishi watu kuamini, kukubaliana, au kutenda kwa namna fulani kwa kutumia taarifa zilizochaguliwa, zilizopotoshwa, au zenye mwelekeo wa upande...
2 Reactions
5 Replies
534 Views
Anaandika Mwanasheria Garatwa Francis Awali ya yote nitumie nafasi hii kumpongeza mtaalam wa Idara ya IT - Makao Makuu ya CHADEMA Taifa, kijana mwenzetu Remigius Selestine kwa ujasiri wake wa...
12 Reactions
40 Replies
3K Views
Lissu anagombea Uenyekiti kwa hasira baada ya kuletewa Wenje ili amuondoe kwenye nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti aliyokuwa ametia nia. Akiwa anajibu maswali kwenye kipindi cha ClubHouse, Lissu...
11 Reactions
76 Replies
3K Views
SULTANI JAMSHID ALIYOISHI DAR ES SALAAM KAMA MKIMBIZI AKIJITAYARISHA KWENDA NCHI YA TATU ILI TANGANYIKA ISIWE NA MGOGORO NA ZANZIBAR. Mchezo huu hauhitaji hasira, mtu ni kwao, karibu sana Sultan...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
kwa africa kumuondoa incumbent leader sio kitu rahisi hata kidogo.inahitaji kujipanga hasa Nilitamani kuona Mbowe anatoka madarakani na Lissu ashike chama ila sioni kama Lissu amejipanga vyema...
0 Reactions
1 Replies
256 Views
Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika. Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
7 Reactions
44 Replies
2K Views
Wanabodi Mzee wa masauti, Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja...
17 Reactions
58 Replies
2K Views
Mafunzo kutoka kwa machafuko ya baada ya uchaguzi wa Msumbiji, wito wa kuziamsha nchi wanachama wa SADC ikiwemo Tanzania Dec 26, 2024 Ephraim Mkali Uchaguzi wa hivi majuzi wa Msumbiji...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
The Investment Landscape in Tanzania: A Dual Reality Tanzania, located in East Africa, has often been considered a prime destination for investment due to its natural resources, growing...
4 Reactions
26 Replies
53K Views
https://www.youtube.com/shorts/e-h8zzRwB44?feature=share RC Chalamila nazani madaraka yamemlevya ..amekua akiwadharau sana watu wa kipato cha chini ,hana lugha mzuri kundi ili la watanzania...
12 Reactions
38 Replies
2K Views
Hivi chama kikubwa kama chadema hakuna collateral au dhamana ya kuombea Mikopo Bank hadi wawe wanakopa kwenye Kausha damu? Nakumbuka NCCR Mageuzi walikuwa na Ardhi kubwa Bagamoyo na mara kadhaa...
5 Reactions
28 Replies
752 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…