Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwenye ukurasa wake wa X msemaji wa Chadema Brenda Rupia ameandika, #OperesheniKatibaMpyaFreeTunduLissu inaendelea leo katika Kanda ya Magharibi, Mkoa wa Tabora. Wananchi, endeleeni kukichangia...
20 Reactions
29 Replies
575 Views
Kwa Mujibu wa Katiba ya Tanzania, Maandamano ya Amani ni Haki kisheria Baada ya vijana wa Tanzania kuisoma Katiba ya Nchi yao kwa kutumia miwani na kuiona Ibara husika wameanza kuulizia Ratiba...
40 Reactions
198 Replies
3K Views
Wanabodi, Hiki ni kisa cha kweli, yaani non fiction, ila majina tuu ndio nimetumia majina bandia cha Kisa cha Binti Zanzi Aliebakwa na Mwarabu fulani, Mwarabu akamtwa kama mtumwa, kuwa ni mali...
11 Reactions
57 Replies
667 Views
Nashangaa kuona wafuasi wa chadema wanatumia mikutano Yao kujifariji kuwa wanakubalika🤣🤣 Hebu pokeeni ukweli huu. chadema hamtakaa mshinde uchaguzi hilo msahau hao watu siyo wapiga KURA wenu...
4 Reactions
77 Replies
881 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwepo kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia mkoani Katavi, kikituhumu baadhi ya askari polisi kutumia vibaya mamlaka yao kwa kuwafanyia wanawake...
3 Reactions
5 Replies
245 Views
Serikali inajua na Katambi anajua kuwa, moja ya sababu iliyopelekea kujadiliwa na mabunge haya ni pamoja na kuwanyima wananchi na vyama vya siasa uhuru na haki ya kukusanyika na kutoa mawazo yao...
4 Reactions
7 Replies
207 Views
YAH: UHAMISHO NA UTEUZI WA VIONGOZI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na uteuzi wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu...
2 Reactions
4 Replies
200 Views
Serikali ya Raisi Samia imefika mahali inafikiri kwamba inaweza kuamua jambo lote lile kufanyika hapa nchini, hata kama kufanya hivyo ni kupingana na katiba ya nchi. Serikali hii imefanya maamuzi...
6 Reactions
26 Replies
367 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo, kwamba tayari Ile Oparesheni Kabambe ya Free Lissu na Katiba mpya imegusa Mpanda n.a. kuacha maumivu Viongozi wa ccm wa eneo Hilo wamekimbilia maporini kujificha...
24 Reactions
54 Replies
614 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na uteuzi wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses...
3 Reactions
5 Replies
179 Views
Ukisoma komenti zinazotolewa kwenye nyuzi zinazohusu mikutano ya chadema utaona kuna wanaccm sijui akili zimekuwaje. badala ya kufikiri tufanyeje ili kuiponya CCM na anguko kubwa tunabaki...
6 Reactions
18 Replies
430 Views
Hamjambo ndugu Waziri wa Maji Jumaa Aweso amesema Tanzania ina Vijiji 12,333 na mpaka sasa Vijiji 10,758 vina maji na Vijiji vilivyobakia ni 1,575. Ameyasema hayo leo Januari 28, 2026 wakati...
3 Reactions
136 Replies
1K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia wananchi wa Wilaya...
0 Reactions
1 Replies
77 Views
KATORO next break KAHAMA then KANDA MAALUMU. Lazima waombe poo.
15 Reactions
57 Replies
1K Views
Wafanya biashara wameachana kabisa na utaratibu wa kutoa risiti za kielectronic badala yake wanafosi tuuziane kienyeji niliuliza kwa nini na itakuwaje mimi nikakamatwa na hii bidhaa wananiambia...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu; Ukitoa lile la Maraidhiano ambalo Serikali na CCM wameamua kulibeba na kutumia chawa na kupe wao kusambaza, haya ni mambo mengine manne ambayo wakiyafanya na baada ya Marekani...
12 Reactions
22 Replies
672 Views
Mange Kimambi amelaumu CHADEMA kuwa ni waoga na kwa kuwa haihusiki Moja kwa Moja na maandamano ya 7/7 wiki 2 au 3 toka sasa yanayohamasishwa kwa kasi sana kupitia social medias mbalimbali...
7 Reactions
43 Replies
846 Views
Kwa wale wapenda nchi na haki naomba tujadili jinsi ya kufanikisha maandamano ya 7/7. Ishu za kuwaongelea hao viongozi fake ni kupoteza muelekeo kabisa. Na wanataka kututoa katika reli. Tuanze...
1 Reactions
4 Replies
94 Views
Umewahi kujiuliza kwanini miradi mingi mtaani kwetukama barabara, ujenzi wa madarasa, au usambazaji wa umeme na maji inachelewa sana, alafu kiongozi aliyefeli anahamishwa tu kituo cha kazi badala...
0 Reactions
1 Replies
99 Views
Wote tunajua ugumu wa maisha unayoikumba Kenya hasa kwa Mwananchi asiye na ajira yyte. Ni vema viongozi wa chadema wakatoa ufafanuzi wa nani anafadhiri maisha ya viongozi wao ambao walikimbilia...
3 Reactions
100 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…