Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ajali ilitokea usiku wa manane, dereva na abiria wakafa hapohapo. Tunaambiwa dereva alikuwa anamkwepa mwendesha baiskeli. Je nani alimuona huyo mwendesha baiskeli? Huyo aliyemuona alikuwa wapi...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Simiyu, Mussa Onesmo anadaiwa kukamatwa na Askari wa Jeshi la Polisi akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Simiyu ambako...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Mvumi (CCM) Livingstone Lusinde (Kibajaji) amekosoa mfumo unaotumika kutoa ajira nchini kwa madai mfumo huo umekuwa hauwatendei haki Watanzania na unachangia kuleta mawazo kwa...
1 Reactions
1 Replies
524 Views
Wana CCM tuna ile kitu wakati mwingine tunaita mob psychology. Tunaamua mambo kwa kuyaficha chini ya carpet , tukitegemea yataindoka yenyewe. Kusafisha makosa ya kisiasa inakuwa ngumu sana...
13 Reactions
99 Replies
4K Views
No Reforms No Election [emoji91] Hii ni nchi yetu sote tusitishane!
9 Reactions
73 Replies
4K Views
Asalaam Aleykum wana JF, Ama baada ya salamu hizo, niingie kwenye hoja. Mara nyingi na kwenye jamii nyingi, matajiri na watawala huogopa mabadiliko kwa sababu yanatishia maslahi yao tofauti na...
0 Reactions
4 Replies
351 Views
Msikilize hadi mwisho, utajifunza na kuacha mihemko ya kutaka kuingilia kesi iliyoko mahakamani. https://youtu.be/ZU3LGBjghAw?si=YC8lt5lASFFSCzIB
0 Reactions
1 Replies
328 Views
Katika mwendelezo wa kampeni ya No reform no election kwa siku ya jana nilimsikiliza Mh Heche kwa dk20 nimeona ongea yake inatofauti na kabla Mh Lissu hajakamatwa. Jana amezungumza akionesha...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Mwenye picha aliibuka kupinga, sasa aliyetajwa Prof Ndashau amekana huyo sio yeye πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜„ Comments ziwe fupifupi
13 Reactions
45 Replies
3K Views
Jamani tangu Lissu avae combati ya NO REFORMS NO ELECTION hakuna sauti ya kiongozi yeyote aliyemjibu. Ukiona ukimia kiasi hiki tujue na wao wanahitaji mabadiliko. Hivi visungira humu mtandaoni...
2 Reactions
8 Replies
580 Views
Wakuu, Sakata la Tundu Lissu kukamatwa na kuwekwa ndani kwa uahini limeendelea kuchukua sura mpya. Siku ya leo taasisi za haki za binadamu na sheria kutokea Afrika Mashariki yameungana na kutoa...
3 Reactions
3 Replies
742 Views
Serikali inaendelea na upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Victoria hadi mikoa ya Singida na Dodoma, ambao unatarajiwa kukamilika ifikapo Juni 2025. Naibu...
1 Reactions
4 Replies
607 Views
Taasisi za 9 Wanasheria zimeijia juu Serikali ya Tanzania kwa kumbambika kesi ya uwongo ya uhaini Mhe. Lissu na kumtaka Rais Samia kuirudia ahadi yake aliyoitoa alipoapishwa ya kuheshimu...
3 Reactions
5 Replies
789 Views
Hii si habari mbaya kwa mama kupatiwa mlango wa kutokea: Wanasiasa waachwe wafanye siasa! Heko Dr. Nchimbi rhumba liendelee: Kazi iendelee. "No reforms no election!"
11 Reactions
57 Replies
3K Views
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, amesema kwa ukanda wa mikoa ya Kusini, yeye anabakia kuwa 'Simba'. Nape ameyasema hayo leo, Aprili 13, 2025, wakati Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi na Mafunzo wa...
1 Reactions
6 Replies
778 Views
Watanzania amkeni hivi mnajuwa kwanini wahindi na warabu huwezi kuwaona wakishiriki kwenye harakati za kudai haki? Mwaka 1995 moja ya sababu mrema kuungwa mkono ni kwasababu alisema wahindi ndio...
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Amos Makala: CHADEMA wanakwenda kuleta virusi vya ebola na M-pox nchiki ili kuangamiza taifa letu. John Mwakangale: (akiwa kaburini) uli nhaaji! Jeshi la Polisi: Sisi kazi yetu ni kulinda amani...
3 Reactions
6 Replies
369 Views
My Take CCM Ina Hazina za kutosha https://www.instagram.com/reel/DGkiQDCMcev/?igsh=MTdtcGlmcXFkMTdwNw==
1 Reactions
18 Replies
594 Views
Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ametoa ushauri juu ya: (i) Uboreshaji wa sera yetu ya maafa (ii) Upatikanaji wa ajira nchi za nje Mbunge huyo amesema ajira za nje ya...
0 Reactions
0 Replies
419 Views
Mbunge wa Kyerwa, Innocent Bilakwate ameiomba Serikali ipunguze nauli ya daraja la VIP katika treni ya kisasa (SGR) kutoka TSh 150,000 hadi TSh 70,000 ili kuongeza mapato. Amesema bei ya juu...
0 Reactions
3 Replies
474 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…