Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Zanzibar Hamad Mkadam amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, wakati akipatiwa matibabu ya afya kwenye moja ya hospitali kisiwani Pemba...
0 Reactions
3 Replies
725 Views
Heri ya Pasaka kwa wote ! Tusherehekee sikukuu hii kwa furaha na baraka. Tusiwasahau wenzetu kama Tundu Lisu na wengine; wape upendo na duaa. Mungu awabariki wote! 🐣🙏
2 Reactions
3 Replies
330 Views
https://www.instagram.com/p/DIno9CuqUmN/?igsh=MXVzb3Y3aG11c3praw==
2 Reactions
24 Replies
884 Views
Wakuu Habari! Heri ya siku kuu ya Pasaka Kwa Wakristo wote. Nitumie pia nafasi hii kuwatakia Kila la Heri watani zangu wa jadi Simba sc Kwenye Mechi Yao ya mkondo wa kwanza nusu fainali SHIRIKISHO...
0 Reactions
3 Replies
437 Views
Rais Dk. John Magufuli akizungumza jambo na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema wakati akitoka kutoa heshima za mwisho kwenye msiba wa marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa...
15 Reactions
152 Replies
31K Views
Nimemsikiliza Prof. Janabi katika maneno yake ya utangulizi(introductory remarks ) wakati wa usaili wake mbele ya jopo. Hongera sana Prof. Janabi. Umejieleza vizuri sana na hata maswali...
5 Reactions
17 Replies
937 Views
Kama unabisha fanya utafiti natagundua hili Kwa mfano Swiss wana Haki na Amani Lakini Marekani wana Amani bila Haki Nawakumbusha tu wale wanaodhani No Reforms No Election itawaletea Haki na...
2 Reactions
3 Replies
212 Views
Mwenyekiti wa Baraza la wanawake wa Chadema (Bawacha) Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, Elizabeth Mollel amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Ocean Road, iliyopo Jijini...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu, Suala la Lissu na uminywaji wa demokrasia na uhuru wa maoni Tanzania linazidi kusambaa, Watanzania huu ndio muda wa kuamka na kuhakikisha kuna utawala wa sheria wa haki. ===== Mtafiti wa...
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Kuna mavyama mengine yapo kimkakati nimeamini, Laiti kama ACT na CHADEMA Wangesusia uchaguzi sidhani kama CCM ingeingia uchaguzi na vile vyama hewa 16, ingekua ni aibu dunia nzima maana idadi ya...
8 Reactions
17 Replies
817 Views
David Kafulila a.k.a "Tumbiri" amejipa jukumu la kuwa msemaji wa watawala kuonesha kuwa uchumi wa Tanzania upo Imara na himilivu kuliko hata wale wenye jukumu Hilo. Kafulila anaongea sana kuhusu...
16 Reactions
35 Replies
1K Views
Kuna taarifa kutoka vyanzo vya ndani vya kiserikali kwamba Heche atakamatwa na kupewa kesi Kama ya Tundu Lissu hivi karibuni ili kuunyamazisha kabisa umma! Mwenye kuweza kuomba juu ya Tanganyika...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Makamu Mwenyeliti wa CHADEMAB(Bara), John Heche amesema kuwa amekutana na Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu katika Gereza la Ukonga anakoshikiliwa na kiongozi huyo amewataka wanachana wa...
12 Reactions
15 Replies
2K Views
Hatimaye leo aliyekuwa Kigogo mwingine wa Chadema amerejea kwenye Chama hicho. Anthony Calist Komu alikuwa Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Chadema na Mbunge wa Moshi Vijijini 2015-2020. Komu...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Ma-Ded waanza kushushiwa moto,Sasa kuwapisha wenye uwezo wa kukusanya Mapato, Wakati halmashauri 85 zikikusanya mapato chini ya kiwango zilichopangiwa, Serikali imeanza kuchukua hatua dhidi...
4 Reactions
44 Replies
4K Views
Sabato Njema! Kesho nitakuwa Kanisa la Kimara Korogwe. Ukisoma Kitabu cha 1 Samweli 8 utakutana na Kisa cha kisiasa ambacho Waisrael wanakataa Kuongozwa na Mungu kama Mfalme wao. Kumbuka hapo...
6 Reactions
17 Replies
775 Views
Sheikh Ponda Issa Ponda amesema hakuna chama cha siasa nchini Tanzania kinachohamasisha vurugu, bali zinaakisi uwepo wa tatizo fulani. Ameeleza kuwa mtu mwenye busara anapobaini dalili za vurugu...
10 Reactions
33 Replies
2K Views
"Mwaka 2024/25 Ofisi ya Rais TAMISEMI iliidhinishiwa shilingi bilioni 254.82 kwa ajili ya kuratibu na kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024. Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni...
4 Reactions
42 Replies
2K Views
Umeme ni muhimu sana kwa maisha kwakua huchochea uzalishaji, biashara na maendeleo kwa ujumla. Umeme hufungua fursa za ujasiriamali na kuongeza kipato cha mwananchi na kupunguza ugumu wa maisha...
1 Reactions
2 Replies
331 Views
Zaidi ya miaka miwili iliyopita, mnamo Machi 2023, Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, alitembelea Tanzania. Akiwa huko, alipokelewa kwa ukarimu na Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye alikuwa...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom