Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

1. Posho za wabunge 2. Posho na mshahara na maslahi ya Rais 3. Posho na maslahi ya mawaziri 4. Maslahi ya jaji mkuu 5. Spika na naibu wake 6. Wakurugenzi Kawaida Afrika akiingia mpya au chama...
1 Reactions
9 Replies
871 Views
Wakuu, Nimefuatilia harakati za Chama Cha Demokrasia na Maendeleo,nimejiridhisha kuwa CHADEMA ina maono,dira na taswira nzuri juu ya Tanzania ya kesho. Kauli mbiu yao ya no reform no election...
1 Reactions
0 Replies
278 Views
Hili limesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho John Heche alipoongea na Waandishi wa Habari Kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni. Amesema Msimamo wa Taasisi hizo unafanana na Msimamo...
4 Reactions
16 Replies
930 Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akipokea taarifa na kisha kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Musoma, mkoani Mara, leo Jumatano...
0 Reactions
2 Replies
504 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa, leo amefichua kuwa malumbano ya kiuongozi katika utekelezaji wa mradi mmoja yalikwamisha...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Angalieni, Kama ni Wizi kufanyika, Report ya CAG imejiweka wazi yenyeweee!!. Ila hatujawahi sikia Serikali imechukua Hatua yoyote Kwa Wahusika. Sasa angalia Maajabu, Majuzi hapa, Mbunge Mrisho...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Tukiwaambia huko Lumumba hakukaliki muwe mnaelewa jamani. CCM kupitia Katibu Mwenezi wake Taifa, Qmos Makalla wametangaza ziara ya kusini mwa nchi, mikoa ya Lindi na Mtwara kuanzia tarehe 10...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Juzi Mahakama Kuu ilitoa agizo kwa wahudhuriaji wote wa kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na Wenzake watatu kwamba kuanzia leo ni lazima wavae barakoa wanapogusa eneo la Mahakama hiyo ...
30 Reactions
129 Replies
9K Views
Hivyo ndivyo ilivyokuwa leo Mahakamani, ambapo Wadau wa Maendeleo wa Tanzania kutoka kwenye Taasisi za Kimataifa wameshiriki kesi hiyo ya Ugaidi kwa lengo la kujua kinachoendelea, Maofisa hao...
55 Reactions
223 Replies
24K Views
Pamoja na Serikali ya Tanzania kutopendezwa na Wawakilishi wa kimataifa kutoka EU , UN na Waheshimiwa Mabalozi kujionea dhuluma dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe Mahakamani , lakini...
21 Reactions
78 Replies
9K Views
Je, viongozi wa chama tawala wanakubaliana na Ibrahim Traore kama Rais Wa Burkina Faso?
2 Reactions
1 Replies
485 Views
RC Chalamila akipiga marufuku mikutano ya kisiasa eneo la Kariakoo pasipokuwa na mamlaka ya kisheria kufanya hivyo Uovu binafsi hutendwa na mtu mmoja mmoja kutokana na maamuzi ya mtu mmoja huyo...
2 Reactions
3 Replies
502 Views
SEKTA YA MADINI YAFIKIA MCHANGO WA ASILIMIA 10.1 KATIKA PATO LA TAIFA ▪ Rais Samia apongezwa kwa mageuzi makubwa ya sekta ya madini ▪ Wizara yafikia lengo kabla ya mwaka 2025 ▪ Sekta Yatajwa...
1 Reactions
1 Replies
382 Views
Naanza na hii 👇👇 https://www.instagram.com/p/DFieFuRt3Dw/?igsh=MWxweHVlbHV5enB1cA==
6 Reactions
112 Replies
3K Views
Familia ya Katibu Mwenezi wa CCM Mbeya Mjini, Philimon Mng'ong'o, imekumbwa na hofu baada ya watu wasiojulikana kuvamia nyumbani kwake usiku wa kuamkia Aprili 22, 2025 na kuchoma gari. Moto huo...
10 Reactions
46 Replies
3K Views
Ndugu wanabodi mimi naomba kupendekeza kama kunaweza kupatikana taasisi yoyote iwe ndani au nje ya nchi yenye kuheshimika na kuaminika isiyo na upande wowote basi tuialike iwaite mezani serikali...
11 Reactions
63 Replies
2K Views
Leo Aprili 23, 2025 Makamu Mwenyekiti ACT Wazalendo Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Lindi Mjini. Ndugu Mchinjita amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa...
1 Reactions
3 Replies
490 Views
Tulipopata uhuru miaka ya 60, tulikuwa tuna maadui wakuu watatu. 1. Ujinga 2. Maradhi 3. Umasikini. Ukiangalia kwa juu juu, utagundua kuwa hawa maadui watatu kwa kiasi kikubwa wanazidi kupunguzwa...
8 Reactions
20 Replies
1K Views
Luhaga Mpina alikuwa na mpango kuhamia chadema akagombee Ubunge huko. Hata hivyo kitendo cha chadema kugomea uchaguzi kimemvuruga. Soma pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa...
2 Reactions
9 Replies
897 Views
Mgombea wa chama chochote cha siasa kuchaguliwa na mpiga kura hua ni hiyari, uhuru na haki ya mwananchi mpiga kura. Mgombea wa cha siasa kukataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, sio kuibiwa...
5 Reactions
84 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…