Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,232
Pamoja na Serikali ya Tanzania kutopendezwa na Wawakilishi wa kimataifa kutoka EU , UN na Waheshimiwa Mabalozi kujionea dhuluma dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe Mahakamani , lakini Wazungu hao wameendelea kupuuza wito huo wa Wizara ya mambo ya nje na kuendelea kumiminika kwenye Mahakama ya Uhujumu Uchumi ili kujua kinachoendelea .
Muathirika wa utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 aliyeponea tundu la sindano Tito Magoti naye amejivuta kusikiliza ugaidi wa Laki 6
Muathirika wa utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 aliyeponea tundu la sindano Tito Magoti naye amejivuta kusikiliza ugaidi wa Laki 6