Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
Juzi Mahakama Kuu ilitoa agizo kwa wahudhuriaji wote wa kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na Wenzake watatu kwamba kuanzia leo ni lazima wavae barakoa wanapogusa eneo la Mahakama hiyo .
Kiukweli amri ya Mahakama imetekelezwa kwa almost 100% , ambapo wahudhuriaji wengi wamevalia barakoa nyeupe lakini zina neno moja lililoandikwa juu yake liitwalo MCHONGO .
Uhahidi huu hapa .
Kiukweli amri ya Mahakama imetekelezwa kwa almost 100% , ambapo wahudhuriaji wengi wamevalia barakoa nyeupe lakini zina neno moja lililoandikwa juu yake liitwalo MCHONGO .
Uhahidi huu hapa .