Shehe Mwinyi mdogo ameamua kuifanya Zenj emirate au sheikdoom?

Shehe Mwinyi mdogo ameamua kuifanya Zenj emirate au sheikdoom?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2026
Posts
214
Reaction score
310
1781838129811.png
1781838229927.png
1781838229955.png

Taratibu, ule, msimamo kuwa nchi haina dini ila watu wake wana dini unaanza kumomonyolewa tena na wale usiowategemea. Naona kama Zenj, taratibu, inaanza kuwa taifa la kiislam. Ni bahati mbaya na hasara kiasi gani. Nilidhani msomi kama Daktari Mwinyi asingekuwa hovyo hivi. Ama kweli, elimu ya mja haiondoi upumbavu wa mhusika. Je, tungoje na Tanzania nzima kuwa taifa la kiislam? Je, hatua hii haivunji muungano japo ushavunjika zamani kwa kukosa maana na mantiki? Zaidi ya hitajio la kuvunja huu muungano wa kinafiki na kinyonyaji, nini kifanyike kuunusuru kama kweli unapaswa kunusuliwa? Je, kwa uchawa, ukihiyo na uzwazwa uliopo, kuna mtanzania mwenye uwezo wa kukemea na kukomesha udini na uhafidhina huu uchwara? Je, na Bara ikitangaza kuwa ni taifa la kibantu lenye dini asilia kinzani na hizi nyemelezi na za kitumwa, itakuwaje? Je inawezekana wakati huu chini ya huyu expert?
 

Attachments

  • 1781838153840.png
    1781838153840.png
    83.5 KB · Views: 8
  • 1781838183710.png
    1781838183710.png
    88.6 KB · Views: 10
View attachment 3610853View attachment 3610857View attachment 3610858
Taratibu, ule, msimamo kuwa nchi haina dini ila watu wake wana dini unaanza kumomonyolewa tena na wale usiowategemea. Naona kama Zenj, taratibu, inaanza kuwa taifa la kiislam. Ni bahati mbaya na hasara kiasi gani. Nilidhani msomi kama Daktari Mwinyi asingekuwa hovyo hivi. Ama kweli, elimu ya mja haiondoi upumbavu wa mhusika. Je, tungoje na Tanzania nzima kuwa taifa la kiislam? Je, hatua hii haivunji muungano japo ushavunjika zamani kwa kukosa maana na mantiki? Zaidi ya hitajio la kuvunja huu muungano wa kinafiki na kinyonyaji, nini kifanyike kuunusuru kama kweli unapaswa kunusuliwa? Je, kwa uchawa, ukihiyo na uzwazwa uliopo, kuna mtanzania mwenye uwezo wa kukemea na kukomesha udini na uhafidhina huu uchwara? Je, na Bara ikitangaza kuwa ni taifa la kibantu lenye dini asilia kinzani na hizi nyemelezi na za kitumwa, itakuwaje? Je inawezekana wakati huu chini ya huyu expert?
 

Attachments

  • sddefault.jpg
    sddefault.jpg
    54.4 KB · Views: 10
View attachment 3610853View attachment 3610857View attachment 3610858
Taratibu, ule, msimamo kuwa nchi haina dini ila watu wake wana dini unaanza kumomonyolewa tena na wale usiowategemea. Naona kama Zenj, taratibu, inaanza kuwa taifa la kiislam. Ni bahati mbaya na hasara kiasi gani. Nilidhani msomi kama Daktari Mwinyi asingekuwa hovyo hivi. Ama kweli, elimu ya mja haiondoi upumbavu wa mhusika. Je, tungoje na Tanzania nzima kuwa taifa la kiislam? Je, hatua hii haivunji muungano japo ushavunjika zamani kwa kukosa maana na mantiki? Zaidi ya hitajio la kuvunja huu muungano wa kinafiki na kinyonyaji, nini kifanyike kuunusuru kama kweli unapaswa kunusuliwa? Je, kwa uchawa, ukihiyo na uzwazwa uliopo, kuna mtanzania mwenye uwezo wa kukemea na kukomesha udini na uhafidhina huu uchwara? Je, na Bara ikitangaza kuwa ni taifa la kibantu lenye dini asilia kinzani na hizi nyemelezi na za kitumwa, itakuwaje? Je inawezekana wakati huu chini ya huyu expert?
Zanzibar ni nchi huru..
 
Huru vipi wakati iko chini ya Tanganyika kama koloni lake? Kwa anayebisha, ajiulize. Kwanini hana hadhi sawa na rais wa muungano?
Hivi kumbe hamjagundua kuwa awamu hii ni awamu ya ''wametutawala sana na mfumo Kristo wao sasa ni zamu yetu na wakijifanya kuleta nyunyunyu tutawakomesha''. Trust me, chunguzeni kwa umakini mtaona. Yes, kuna ''makafiri'' wanashirikiana nao, lakini ni kwa kuweka maslahi binafsi mbele na kutojua mkakati mzima. Ni yale yale ya waarabu kuchukuwa watumwa kwa kusaidiwa na wenyeji. Hii nafasi mzee wa Msoga alikuwa anaisubiri kwa hamu kubwa, na wakati wa awamu yake alishindwa kutokana na mazingira na woga. Yeye ndiye mastermind wa kila kitu. ''Mabeberu waliposema kuna ''ukandamizaji wa dini'' hawakubahatisha. Wana majasusi chungu nzima na wanajua mipango ya ndani na malengo yake kuliko wengi wanavyodhani. NB: Kuna nchi za kiarabu zinaratibu mambo kwa usiri sana sana, wameingia ndani kabisa ya mifumo ya usalama wa nchi.
 
View attachment 3610853View attachment 3610857View attachment 3610858
Taratibu, ule, msimamo kuwa nchi haina dini ila watu wake wana dini unaanza kumomonyolewa tena na wale usiowategemea. Naona kama Zenj, taratibu, inaanza kuwa taifa la kiislam. Ni bahati mbaya na hasara kiasi gani. Nilidhani msomi kama Daktari Mwinyi asingekuwa hovyo hivi. Ama kweli, elimu ya mja haiondoi upumbavu wa mhusika. Je, tungoje na Tanzania nzima kuwa taifa la kiislam? Je, hatua hii haivunji muungano japo ushavunjika zamani kwa kukosa maana na mantiki? Zaidi ya hitajio la kuvunja huu muungano wa kinafiki na kinyonyaji, nini kifanyike kuunusuru kama kweli unapaswa kunusuliwa? Je, kwa uchawa, ukihiyo na uzwazwa uliopo, kuna mtanzania mwenye uwezo wa kukemea na kukomesha udini na uhafidhina huu uchwara? Je, na Bara ikitangaza kuwa ni taifa la kibantu lenye dini asilia kinzani na hizi nyemelezi na za kitumwa, itakuwaje? Je inawezekana wakati huu chini ya huyu expert?
Acheni chuki, Magufuli kila wiki alikua kanisani wala hatukusema kitu
 
Hivi kumbe hamjagundua kuwa awamu hii ni awamu ya ''wametutawala sana na mfumo Kristo wao sasa ni zamu yetu na wakijifanya kuleta nyunyunyu tutawakomesha''. Trust me, chunguzeni kwa umakini mtaona. Yes, kuna ''makafiri'' wanashirikiana nao, lakini ni kwa kuweka maslahi binafsi mbele na kutojua mkakati mzima. Ni yale yale ya waarabu kuchukuwa watumwa kwa kusaidiwa na wenyeji. Hii nafasi mzee wa Msoga alikuwa anaisubiri kwa hamu kubwa, na wakati wa awamu yake alishindwa kutokana na mazingira na woga. Yeye ndiye mastermind wa kila kitu. ''Mabeberu waliposema kuna ''ukandamizaji wa dini'' hawakubahatisha. Wana majasusi chungu nzima na wanajua mipango ya ndani na malengo yake kuliko wengi wanavyodhani. NB: Kuna nchi za kiarabu zinaratibu mambo kwa usiri sana sana, wameingia ndani kabisa ya mifumo ya usalama wa nchi.
Taka taka tupu
 
Back
Top Bottom