Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Man, listen up! This thing is getting outta hand now! Hii nchi yetu Tanzania, nchi ya amani, nchi ya watu wastaarabu — imegeuka kuwa uwanja wa political games and dirty power struggles! Na siyo...
29 Reactions
64 Replies
3K Views
MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CCM DAR Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdory Mpango, amekutana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wanabodi, Hii ni Makala Yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo. Angalizo: Hii Mada ni Swali na Alama ya Kuuliza iko wazi na sio Statement!. Nimeanza hivyo kwasababu mimi mwenzenu niliwahi kuitwa...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Vipi iwapo Chama chetu cha Chadema kitashinda uchaguzi wataruhusu au tuseme kukubaliana na nchi wanazozitegemea kuwapa sapoti, yaani Chadema itaruhusu uvutaji wa bangi na mambo mengine. Kila kitu...
0 Reactions
4 Replies
266 Views
Nasema hivyo nikirejea toleo la kitabu cha Eric Kabendera, kuhusu maisha na utendaji wa kazi wa hayati Rais Magufuli kipindi akiwa madarakani. Huyu mwandishi alitoa tuhuma nzito sana dhidi Rais...
64 Reactions
130 Replies
5K Views
Tukiangalia historia, tulianza na utawala wa Jakaya Kikwete, ambaye alileta matumaini na mabadiliko kadhaa katika sekta mbalimbali. Hata hivyo, alikumbana na changamoto nyingi, na baadhi ya ahadi...
9 Reactions
80 Replies
3K Views
Maumivu unayoyapata ndiyo maumivu tunayoyapata sisi ambao hatujaweza hata kuupata mwili wa Ben Saanane ili tumzike kimila na kwa taratibu zetu. Israel walipambana for 10 years kuupata mwili wa...
3 Reactions
50 Replies
2K Views
Katika kila awamu lazima watu hawa wawepo. 1. Ambao wanamtetea rais sababu ni dini yao/dhehebu lao 2. Sababu anatoka chama chao 3. Sababu wanatafuta nao teuzi 4. Sababu hawana kazi wanajikomba...
3 Reactions
10 Replies
529 Views
Wananchi wa Kata ya Bwiregi wamempongeza Mbunge wa Jimbo la Butiama na Naibu Waziri Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini kwa kufanikisha Bilioni 1.5 ambayo ilitumika katika miradi mbalimbali ya...
0 Reactions
0 Replies
288 Views
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman akiambatana na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Zanzibar Ismail Jussa Ladhu wamefanya ziara ya ujenzi wa Chama eneo la kisiwa...
2 Reactions
0 Replies
278 Views
Waasisi wa Taifa letu la Tanzania kwa uzalendo wao walipambana kuifanya ardhi yetu kuwa hifadhi ya viumbe vyote, wenye utamaduni (binadamu) na visivyo na utamaduni (wanyama). Watanzania wa leo...
0 Reactions
0 Replies
273 Views
Ningependa kufahamu serikali imefikia wapi katika mchakato wa kuanzisha baraza la vijana la Taifa maana ni chombo muhimu sana katika uwezeshaji na usimamizi wa masuala ya vijana nchini
0 Reactions
0 Replies
203 Views
Akihojiwa kupitia Ayotv mtoto wa Hayati John Magufuli , Jessica Magufuli, amesema kuwa taarifa za kifo cha baba yake alizipata wakati huo akiwa Dodoma kupitia mitandao ya kijamii kama watanzania...
9 Reactions
76 Replies
6K Views
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho Maarufu zaidi Barani Africa kwa sasa hii hapa. Nitakuwepo kwenye Mkutano huo ili kuwaletea kila kitakachosemwa na Viongozi. Usibanduke JF.
9 Reactions
30 Replies
2K Views
GT Nimefatilia watawala wetu hasa hawa wa CCM tangu vugu vugu la No reforms no election kutamka neno HAKI imekuwa ni kaa la moto midomoni mwao. Wao kwa sasa wamejificha kwenye kichaka cha.Amani...
4 Reactions
10 Replies
471 Views
MBUNGE ZUBERI KUCHAUKA ASHAURI TATHIMINI IFANYIKE GHARAMA ZA KUUNGANISHWA UMEME Mbunge wa Jimbo la Liwale mkoani Lindi, Zuberi Kuchauka ameishauri Serikali kupitia Wizara ya Nishati kufanya...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Katibu Mwenezi wa CCM Amos Makalla amshangaa John Heche Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA kwa kuita watu waende mahakamani kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu asema "Hizo ni Harakati...
0 Reactions
3 Replies
350 Views
Maaskofu wasaidizi jimbo la Bukoba, Mhashamu Method Kilaini na Mshashamu Eusebius Nzigilwa wa jimbo kuu katoliki la Dar es salaam wamefunguka na kutoa taarifa kuwa wameamua kurudisha mgao wa fedha...
5 Reactions
106 Replies
17K Views
Kwa uchungu mkubwa Nabii ROLINGA amesema watanzania wamechoshwa na Polisi na Serikali kumwaga damu za Watanzania wasio na hatia. Ametaka watawala waache mara moja kutesa na kumwaga damu ya...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Katema cheche kule yani ni kama kaamuwa kujilipuwa.
5 Reactions
78 Replies
5K Views
Back
Top Bottom