Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna kila na strong justification sababu ya kuimarisha Ulinzi wa Askofu bagonza kwa msimamo wake wa kutetea HAKI. Yaliyotokea kwa Fr. Kitima hayako mbali naye kwa msimamo wake wa kiroho kutetea...
6 Reactions
9 Replies
806 Views
GT Nimepiga hesabu zangu zinakataa katakata uchaguzi haupo, Nimepiga ramli, nimeongea na wazee lakini wapi mababu wanasema mwaka huu mgumu sana. Sijui huko Mbeleni kitatokea nini ila uchaguzi...
2 Reactions
7 Replies
539 Views
Baada ya kuelezwa Kuwa Kifo ni Kifoo, na hiki cha Mzee Kibao ni Kifo Tu, Kwa nini hicho kina kelele Sana. Na tukapewa mlinganisho wa Mtoto wa Shule Kwa walioendelea kapiga risasi na kuua wenzake...
2 Reactions
7 Replies
769 Views
MBUNGE LUCY SABU: DKT. SAMIA ANA KURA ZA KISHINDO SIMIYU Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa kutokea Mkoa wa Simiyu, Lucy John Sabu amesema kuwa kutokana na maendeleo makubwa aliyofanya Rais wa...
0 Reactions
1 Replies
380 Views
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Frank Kailembo amekemea wanasiasa wanaowasemea watumishi wa umma na kueleza kuwa yapo majukwa na taratibu za kisheria zinazowapa mwanya...
0 Reactions
8 Replies
599 Views
Kwa sababu ya tatizo kubwa la ajira the vijana wanaomaliza vyuo hoja ya waziri mkuu Majaliwa inahitaji mjadala wa kina zaidi badala kupuuzwa kwa sababu ya kutoeleweka kwake na hasira ya...
12 Reactions
25 Replies
1K Views
Kufanya kazi sekta binafsi nchi hii ni zaidi ya kuwa mtoto yatima hawana mtetezi, kamishna wa kazi yupo tu km bendera. Kuna maeneo km vyuo vikuu binafsi wahadhiri wana mishahara midogo kuliko...
0 Reactions
1 Replies
420 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nikiangalia namna Rais Samia anavyoongoza Taifa letu katika muelekeo sahihi na wenye kuleta matumaini. Nikiangalia namna maendeleo makubwa na mambo makubwa yaliyofanyika...
1 Reactions
77 Replies
2K Views
Ieleweke wazi kuwa Kanisa Katoliki halifanyi siasa ila kuna baadhi ya mapadre na maaskofu ndio wanafanya siasa sio wote Wengine wako kwenye shughuli zao za kitume hawahangaiki na siasa Kusema...
1 Reactions
6 Replies
308 Views
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema mtu yeyote asiwagombanishe wananchi kwa sababu wakigawanyika hakuna maendeleo yanayoweza kufanikiwa. Shigongo amesema atatangulia mbele ya wananchi...
0 Reactions
5 Replies
445 Views
Mgogoro wa kiuongozi ndani ya Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) umechukua sura mpya baada ya kundi la viongozi wa chama hicho, tarehe 29 Aprili 2025, kutoka mikoa mbalimbali nchini, kufika...
1 Reactions
17 Replies
802 Views
Nchi kwa sasa inajiendesha yrnyewe na imefila kwenye ile formulae ya survival of the fittest. Kama huauko fit kujilinda basi unatekwa na wasiojulikana au hakuna anayekujali kabisa as if serikali...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Tuwe tu wakweli tangu alipoingia mzee Mkapa madarakani CCM ilia za kutumia maguvu kutokana na aina ya Siasa za Upinzani zilivyo Hakuna Rais atakubali CCM Ifie mikononi mwake Kanisa linapiga...
0 Reactions
3 Replies
211 Views
Mara nyingi mambo unayoona yanatokea hapa bongo ujue wanaigilizia pahala fulani Jaribu kufuatilia matokeo ya Uchaguzi unaoendelea UK ndio utajua Chadema wanacopy mbinu mikakati kutoka huko...
0 Reactions
3 Replies
270 Views
Wanachama 44 wa CCM na CUF katika Kijiji cha Namiungo Wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wamejiunga na Chama cha ACT Wazalendo mbele ya Katibu Mkuu wa chama hicho Ado Shaibu jana tarehe 1 Mei 2025...
1 Reactions
0 Replies
280 Views
Raisi wa Finland Mwezi huu atavisit nchi kafhaa za Africa ikiwemo Tanzania, sasa tunataka afikiria mara mbili mbili kujusu kuvisi Tanzania make nchi isha haribika imekuwa nchi ya kuuana na...
3 Reactions
4 Replies
560 Views
Ndugu zangu Watanzania, Muwe Mnaelewa tunaposema ya kuwa CCM ndio chama chenye uchungu na Maisha ya kila mtanzania, ndio chama chenye kujali watu pasipo ubaguzi ,ndio chama chenye huruma ,upendo...
4 Reactions
225 Replies
8K Views
* Asema unampigia debe mmoja wa wanasiasa nchini * Aonya walio chini yake kutojiingiza, Tume yasema ni hatari NA MWANDISHI WETU MKUU wa makanisa ya Evangelistic Assemblies of God Tanzania...
3 Reactions
168 Replies
26K Views
Fuatilia kinachojiri kwenye Maadhimisho ya siku ya Mei Mosi Kitaifa, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha, leo Mei 1, 2024 https://www.youtube.com/live/ou5SjfKQdUs?si=ZGhP6q5GsAM4R5SS Maadhimisho...
3 Reactions
134 Replies
14K Views
Tunaomba mama siku ya sherehe za siku ya wafanyakazi uje umejipanga. Hujawai ongeza mishahara tangu umeingia madarakani. Mwaka huu Tunaweza Fanya mabadiriko
0 Reactions
37 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…