Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa miaka ya karibuni zimesikika kauli mbali mbali kutoka kwa viongozi wa serikali juu ya wahitimu wa vyuo vikuu Tanzania kwamba elimu yetu ni ya kukariri, elimu yetu inazalisha graduates...
2 Reactions
12 Replies
889 Views
Hivi kuna mbunge huko amewahusisha JWTZ kwenye azimio lililotolewa na watu wa ulaya kuhamasisha mabadiliko ya haki nchini hebu naomba JamiiCheck mnisadie kupata majibu. Yani mtu amekushauri wewe...
14 Reactions
44 Replies
3K Views
Mbunge Mama Masubiri akichangia hoja bungeni amesema kuna viongozi wanawafahamu ni mashoga ndio maana kuna ukakasi kwenye kukemea jambo hilo Mbunge Mama Masaburi amesema zamani wao ukizaa mtoto...
42 Reactions
232 Replies
21K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema ushindi mkubwa wa CCM katika maeneo mbalimbali ni ushahidi wa wananchi...
1 Reactions
11 Replies
518 Views
TAMKO LA UBALOZI KUHUSU SHAMBULIO DHIDI YA PADRI CHARLES KITIMA Kufuatia shambulio la kushtua na la kikatili dhidi ya Padri Charles Kitima, tunaungana na Watanzania na kutoka kila upande wa...
7 Reactions
62 Replies
7K Views
Kama anawashangaa wanasheria vivyo hivyo na wao wanamshangaa kwa kushindwa kujenga hoja na kuleta hisia zake za nyumbani. Na nimshauri tu kwamba kaa mbali na hao watu, jamaa wakitoka arusha...
19 Reactions
37 Replies
2K Views
let me spit some real sh*t right now coz this ain't no joke! Tanzania tumewekwa ndani ya box la ujinga – system ni toxic, watu wanaongoza ni kama wana play video game na maisha yetu. Wanatuchezea...
15 Reactions
24 Replies
2K Views
Pamoja na Waziri Jaffo kuwafukuza kariakoo lakini wachina ndio marafiki zetu kitambo sana Hawa Ulaya wanadhani Tanganyika bado ipo hivyo wanaweza kutuburuza watakavyo Jumaa Mubarak 😁🇹🇿
2 Reactions
23 Replies
651 Views
Kwa kweli uongozi wa TFF na Bodi ya Ligi una changomoto kubwa sana hasa kutokana vilabu vya Yanga na Simba. Uongozi wao siyo imara. Ninauliza muda wa uongozi wao unaisha lini ili watupishe...
0 Reactions
4 Replies
475 Views
Harakati za kumsaka mahali alipo kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya, Mdude Nyagali zimeendelea kushika kasi. Makada na viongozi wa Chadema wameendelea kuweka kambi...
1 Reactions
0 Replies
413 Views
Lissu ni shujaa na nibaba wa taifa kama Nyerere ni watu wachache sana wenye moyo kama huu amejitoa maisha yake yote na kuacha familia yake na wapendwa wake kwaajili ya watanzania maskini sasa yupo...
27 Reactions
35 Replies
1K Views
Kwasababu ni wazi, mpaka sasa matumaini hakuna tena, Tundu Lisu amekata tamaa kabisa. Nguvu ya kisiasa, uwezo wa kiuchmi na ushawishi wa hoja wa chairman mbowe kwa wajumbe hauzuiliki kabisaa wala...
2 Reactions
45 Replies
2K Views
Wanachama wa CHADEMA mkoani Mbeya wamefanya maombi kwa ajili Mdude Nyagali kutoka kwenye kambi ya kumtafuta iliyowekwa Ofisi za Chama kanda Mbeya. Pi, Soma: RC Mbeya atoa TSh 5 Milioni kwa...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
RAIS DANIEL CHAPO AWASILI ZANZIBAR KWA ZIARA YA KIKAZI Rais wa Msumbiji Mheshimiwa Daniel Chapo tayari amewasili Zanzibar akitokea Jijini Dar Es Salaam ambapo akiwa Zanzibar atakua na ziara fupi...
0 Reactions
0 Replies
354 Views
Sio kwa rafu anazochezewa ....Maana yupo ndani kichaka kinachomwa na nyoka wanakimbia......Tunawategemea wanangu,,,...
1 Reactions
2 Replies
456 Views
Licha ya kuwa kiunganishi muhimu kati ya mikoa ya kusini na jiji la Dar es Salaam, barabara ya Somanga–Mtama bado ni kizungumkuti, hali inayosababisha usumbufu mkubwa kwa wasafiri, wafanyabiashara...
0 Reactions
0 Replies
264 Views
Kwa sababu Bunge letu ni la Vyama vingi basi Azimio la Bunge la Ulaya lazima lifikishwe ndani ya Bunge letu na kujadiliwa Huo ndio utaratibu
0 Reactions
1 Replies
210 Views
Takwimu zinaweza kutofautiana kutokana na chanzo cha taarifa na sababu zinginezo. Kwa mujibu wa IMF, GDP ya Tanzania ni dola [za Kimarekani] bilioni 85. Kuna watu huwa wanadai Tanzania kuna hela...
19 Reactions
84 Replies
5K Views
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUFIKIA 75% MWAKA 2030 - DKT. BITEKO 📌 Dkt. Biteko akutana na Balozi wa Japan nchini 📌 Tanzania na Japan kuendelea kuimarisha ushirikiano wake 📌 Dkt. Biteko...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Wakuu, Baada ya Tuzo za Kalamu ya Samia Mhariri wa Gazeti la Daily News alirusha jiwe angani, akasema, wenye D mbili na hata wale wenye F wameelewa. Maana kilichofanyika pale ni kuzika uhuru wa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…