Kauli hii ya Rais Samia ni vitisho dhidi ya vyombo vya habari “ukini parua na kuparua” ukini kuna vizuri na kukuna vizuri”

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,206
42,068
Rais Samia anaamini kwenye uhuru wa vyombo vya habari lakini anaamini kwenye kuambiwa vitu vizuri na anavyo vipenda!


Vyombo vya habari hili viwe huru havipaswi kuambiwa jinsi ya kuparua na kukuna vizuri kwani wao kama vyombo vya habari wanajua cha kufanya na wanazijua sheria hivyo hawapaswi kufundishwa jinsi ya kufanya kazi!

Ukiangalia na kuutafakari msemo aliotumia Samia ni wazi anapenda aambiwe anachopenda na anapenda asemwe bila kuumia kitu ambacho vyombo vya habari hawapaswi kusema!

Kwa Msemo huu wa Rais Samia ni vigumu kuamini kama yuko tayari kukosolewa na kuvumilia kweli maana kauli hii imekuwa kama maelekezo kwa wana habari jinsi ya kufanya
IMG_0924.jpg
 
Rais Samia anaamini kwenye uhuru wa vyombo vya habari lakini anaamini kwenye kuambiwa vitu vizuri na anavyo vipenda!


Vyombo vya habari hili viwe huru havipaswi kuambiwa jinsi ya kuparua na kukuna vizuri kwani wao kama vyombo vya habari wanajua cha kufanya na wanazijua sheria hivyo hawapaswi kufundishwa jinsi ya kufanya kazi!

Ukiangalia na kuutafakari msemo aliotumia Samia ni wazi anapenda aambiwe anachopenda na anapenda asemwe bila kuumia kitu ambacho vyombo vya habari hawapaswi kusema!

Kwa Msemo huu wa Rais Samia ni vigumu kuamini kama yuko tayari kukosolewa na kuvumilia kweli maana kauli hii imekuwa kama maelekezo kwa wana habari jinsi ya kufanyaView attachment 2210010
Huyu rais wetu ni basi tu hivyo hivyo hadi atakapopatikana mwingine.
 
Rais Samia anaamini kwenye uhuru wa vyombo vya habari lakini anaamini kwenye kuambiwa vitu vizuri na anavyo vipenda!


Vyombo vya habari hili viwe huru havipaswi kuambiwa jinsi ya kuparua na kukuna vizuri kwani wao kama vyombo vya habari wanajua cha kufanya na wanazijua sheria hivyo hawapaswi kufundishwa jinsi ya kufanya kazi!

Ukiangalia na kuutafakari msemo aliotumia Samia ni wazi anapenda aambiwe anachopenda na anapenda asemwe bila kuumia kitu ambacho vyombo vya habari hawapaswi kusema!

Kwa Msemo huu wa Rais Samia ni vigumu kuamini kama yuko tayari kukosolewa na kuvumilia kweli maana kauli hii imekuwa kama maelekezo kwa wana habari jinsi ya kufanyaView attachment 2210010
Huyu mama anaulevi wa madaraka ya urais kuliko Magufuli
 
Mkuno on the beat,ndo muone the second inavyokuaga na nguvu,tofauti na ile ya foolish age.Hadi hayo maneno yamkae mtu kichwani,ujue yako practiced sana.Aliyeelewa atulie.
 
Rais Samia anaamini kwenye uhuru wa vyombo vya habari lakini anaamini kwenye kuambiwa vitu vizuri na anavyo vipenda!


Vyombo vya habari hili viwe huru havipaswi kuambiwa jinsi ya kuparua na kukuna vizuri kwani wao kama vyombo vya habari wanajua cha kufanya na wanazijua sheria hivyo hawapaswi kufundishwa jinsi ya kufanya kazi!

Ukiangalia na kuutafakari msemo aliotumia Samia ni wazi anapenda aambiwe anachopenda na anapenda asemwe bila kuumia kitu ambacho vyombo vya habari hawapaswi kusema!

Kwa Msemo huu wa Rais Samia ni vigumu kuamini kama yuko tayari kukosolewa na kuvumilia kweli maana kauli hii imekuwa kama maelekezo kwa wana habari jinsi ya kufanyaView attachment 2210010
Tusimame pamoja kudai Katiba mpya inasikitisha kuna maMtu yanataka ubunge wakupewa
 
Back
Top Bottom