Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

π——π—žπ—§. 𝗠π—ͺπ—œπ—šπ—¨π—Ÿπ—¨ π—”π—’π—‘π—šπ—’π—­π—” π—žπ—œπ—žπ—”π—’ 𝗖𝗛𝗔 π—žπ—¨π—π—”π——π—œπ—Ÿπ—œ π—–π—›π—”π—‘π—šπ—”π— π—’π—§π—’ 𝗭𝗔 π—žπ—œπ—•π—œπ—”π—¦π—›π—”π—₯𝗔 π—žπ—”π—§π—œ 𝗬𝗔 π—§π—”π—‘π—­π—”π—‘π—œπ—” 𝗑𝗔 π—­π—”π— π—•π—œπ—” Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 16, 2026 ameongoza kikao cha kimkakati na Mawaziri, Naibu...
1 Reactions
1 Replies
123 Views
Mungu wabariki Wazungu ,wabariki sana sana sana , waendelee kuwepo Hapa Duniani na wazidi kua na Nguvu !!. Wakuu, Muda wowote tangu Sasa Marekan na Ulaya watatangaza Vikwazo dhidi ya Top...
78 Reactions
128 Replies
6K Views
GT. Ila Mungu anajua kuwaumbua wajinga leo wansema FR Kitima ni Askofu. Hii ni project endelevu ya kujaribu. kulichafua kanisa ikiongozwa na Mwigulu Nchemba.
6 Reactions
47 Replies
909 Views
Ukiangalia Tanzania kwa macho ya wazi bila ujinga, bila woga, bila kuogopa nani atasema nini, utajua huu ni mojawapo ya nchi tajiri sana duniani, sio Afrika tu, hata baadhi ya nchi za Ulaya...
7 Reactions
11 Replies
239 Views
Moja ya jambo lilosumbua US na EU ni nini sababu ilivyo nyuma ya Anguko lao la Ushawishi katika Bara Afrika. Siasa zao za Kuwabeba Viongozi Vibaraka Kwa muongo mingi ilizalisha Chuki za Wananchi...
4 Reactions
6 Replies
276 Views
Nimesikiliza video ya dada Mmoja anajiita Lucy Michael mkazi wa Yombo Dovya Kata ya Makangarawe, anajitambulisha kuwa yeye ni Mkatoliki akimtuhumu Padri Kitima kwa kujihusisha na siasa...
0 Reactions
0 Replies
93 Views
Niseme wazi. Hata wakati wa utawala wa chama kimoja, ilikuwa nadra kwa mgombea urais kushinda karibia aslimia mia. Hii ilitokea hata wakati ambapo mgombea husika alikuwa akigombea na kivuli kama...
1 Reactions
6 Replies
159 Views
Baada ya Samia, DGIS Mombo, IGP Wambura, CDF Mkunda na washirika wao wote kufikishwa kwenye Mahakama ya Makosa ya Jinai ya Kimataifa pale ndipo Serikali ya Tanzania itaanza kuongozwa kwa akili na...
4 Reactions
6 Replies
231 Views
Kijana Deogratius James Ottaru (37), mkazi wa Kijiji cha Kirima Kati, Kata ya Kibosho Kirima, wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amekutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake aliyokuwa akiishi...
0 Reactions
7 Replies
200 Views
Mapinduzi makubwa ya Chama mapinduzi ni kuacha Genge la wauaji na watekaji Kwa wananchi Hakuna maendeleo yanayozidi haki ya kuishi Kwa raia hata mmoja Hata wakoloni walileta maendeleo makubwa...
5 Reactions
6 Replies
126 Views
Machafuko ya uchaguzi wa Oktoba 2025 nchini Tanzania yalifunikwa na giza zito la kuzimwa kwa intaneti, baada ya mrindimo wa bunduki kunyamaza ghafla. Sasa, ushahidi mpya unafichua kile ambacho...
16 Reactions
54 Replies
1K Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 17, 2026 ameongoza kikao cha kazi kuhusu ujenzi wa miradi ya barabara za haraka (Express Ways) kwa ubia kupitia mfumo wa PPP. Kikao hicho...
1 Reactions
1 Replies
140 Views
Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Dkt. Juma Zuberi Homera amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo kuwahamisha watumishi wawili wa...
0 Reactions
10 Replies
140 Views
Naomba nisiandike sana ila huu mchezo wa vijana ndani ya chama na serikali kuwajibu wazee walio tupatia hili taifa naomba niwakumbushe hamtodumu na wala hamtofika miaka waliofika na kama na tania...
8 Reactions
10 Replies
247 Views
Kuna chawa anaitwa kikaragosi aka kihongosii. Juzi, alijitokeza na kujaribu eti kumkosoa mzee Warioba. Kumkosoa mtu yeyote si kosa. Ila kosa ni kushindwa kujibu hoja na kuzua matusi na uzushi...
2 Reactions
8 Replies
193 Views
Godbless anadai amekuwa akifuatiliwa na watu wasiojuilikana, Lema ameandika kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii ujumbe huu.... Kwa siku kadhaa sasa, nimekuwa nikifuatiliwa na watu...
1 Reactions
2 Replies
194 Views
Nina uhakika kinachoendelea dhidi ya Katoliki si mzaha wala burudani, bali ni dharau, dhihaka na kejeli ya wazi dhidi ya Katoliki na Imani ya Kikristo kwa ujumla. Hii ni hatua hatari sana kwa...
9 Reactions
13 Replies
360 Views
Ndugu zangu, mnifundishe mwenzenu, Naanzaje kumpenda mtu aliyeruhusu mauwaji ya kikatili kiasi kile? Nimepoteza ndugu zangu wanne katika tukio la maandamano ya 29 October 2015 ya kupinga...
1 Reactions
1 Replies
75 Views
Siku chache baada ya mahabusu Michael Rambau (18), kudaiwa kujinyonga ndani ya Kituo Cha Polisi Kati-Moshi, mkoani Kilimanjaro, waombolezaji waliokuwa wamekusanyika leo nyumbani kwa wazazi wa...
2 Reactions
7 Replies
237 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…