Namshukuru Mungu kuwa miongoni mwa watanzania waliopata bahati kushiriki siasa za Tanzania tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingine mwaka 1995.
Lakini Kila miaka inavyosonga mbele naona idadi ya...
πππ§. π πͺπππ¨ππ¨ ππππ‘π¬π π πππ¨π‘ππ¨π ππ’ π‘π π πππ‘πππ¦π π ππ¦ππ¨π‘π
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20, 2026 amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira...
Wanajamvi; nimeamka nikaona niseme kidogo. Kumekuwa na matukio mawili ambayo yamekuwa yakielezwa kama kigezo cha taswira njema kwa yaliyotokea nchini mwetu wakati na baada ya uchaguzi. Matukio...
Mpango wa maridhiano hautakubalika kwasababu hauna nia njema kwa taifa.Yaani Mama kachagua watu ambao ni majaji wa serikali hiyo hiyo ya CCM pekee kwante kamati ya kutafuta ukweli wakati yeye...
Katika press ya msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ameeleza namna ambavyo bandari ya DP World ilivyotatua changamoto ya ajira kwa viajana wasomi wa kitanzania ambapo amesema bandari hiyo...
Msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na vyombo vya habari leo Januari 20, 2026 amesema kuwa Rais Samia alifanya maamuzi makini ya kuingia mkataba wa upangishaji na uendeshwaji wa...
GT
Hii tume ya chande ni ya mchongo kuna watu au tasisi itazipita kama haizioni japo ndizo zenye majibu sahihi.
Wanahangaika na machinga na bodaboda ila ukweli wanaujua waupate wapi..
1. TLS
2...
Kauli hiyo imetolewa n.a. Mjumbe wa Tume hiyo Ombeni Sefue
Bado haijafahamika namna matibabu hayo yanavyoweza kufanya kazi huku ikiwa bado baadhi ya marehemu hawajulikani waliko na kukiwa na...
Mwezi Novemba mwaka jana Mkutano Mkuu wa Maaskofu wa kikatoliki Marekani ulitoa tamko kulani sera za serikali ya Trump za kuwatimua na kuwapakazia wahamiaji waliokuwepo Marekani. Hii ilikuwa...
Sijui ni nani msimamizi wa jambo hili linaloitwa press conference nchini .
Kwa maoni yangu ni kwamba kila mwenye fedha anaitisha press conference na hakuna wa kumbabaisha.
Tabia hii itakomeshwa lini?
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mwalimu Nyerere Foundation, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa mtu ni mahakama. Aliongeza kwamba, βLeo mtu anaingia kwenye...
Natambua kwamba ulipokea wito wa kuhojiwa na kinachoitwa Tume ya Jaji Othman Chande kuhusu Mauaji ya Oktoba 29 na kuendelea, ulipangiwa kuhojiwa tarehe 22 January hii
Soma pia Askofu Mwamakula...
Kile kitendo cha kueleza kuwa alikuwa anafanya mawasiliano ya kila mara na Humphrey ni circumstantial evidence kuwa huyu mzee anajuwa wapi alipopelekwa Polepole.
Kama walijadili juu ya Polepole...
Hakika DW wanastahili tuzo.
Na wafanyakazi wake wanaitendea vizuri fani ya uandishi wa habari.
Hii ni jana/ juzi tarehe 18 Januari.
https://youtu.be/1evPobXaZXM?si=Q9nzoGZEYBlbvqwG
Safi sana...
Daaah, baada ya kuwasikiliza watu wawili kutoka Arusha na Dsm nimeamini mliwazika shimo Moja kama Taka taka aise shame on you!
Najiuliza hivi Rais awa wanao jitokeza kwa tume umasikia? Je kweli...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Fadhili Maganya, amesema mafunzo yanayotolewa na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ni suluhu muhimu katika...
Mzee wasira alikua na mdomo aswaaa, kwenye kampeini alikuwa anaongea Kwa dharau, kebehi na majivuno.
Mungu si Abdul Wala Mchengerwa kwenye MO29, vijana walipiga kiberiti nyumba ya Wasirra.
Hii...
Hamjambo!
1. Kuna nyumba hapa mwaka mpya na Christmas hawakusherehekea.
2. Hawakupika chakula cha maana.
3. Lakini Kila wakisikia taarifa msiba ya kiongozi wa kiserikali wanafanya tafrija...