Hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.
DAMU imeshamwagika.
Watu wamepata VILEMA.
Wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.
Umefika...
Aibu utaona wewe!!
Usiku huu kunafanyika show ya miaka 30 ya bongo fleva.
Mgeni rasmi ni Mwana FA, basi alipopanda jukwaani akaongea vizuri mpaka pale alipoanza kusema serikali ya awamu ya 6...
Hatari sana.
Miaka 30 ya bongo Fleva imeenda vizuri lakini mambo yameingia Dosari baada ya Mwana FA kuingiza siasa kwenye burudani na kuambulia kuzomewa.
Hii inamaana gani?
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, anatarajiwa kushuhudia Hafla ya uwasilishaji Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar, itakayofanyika...
Ndugu watanzania, husikeni na kichwa cha habari.
Kazi iliyotukuka ya makamu mwenyekiti wa chama pendwa CHADEMA, inahitaji kuungwa mkono na kila mzalendo yoyote popote alipo.
Ni wakati sasa...
Wanabodi,
Kufuatia Chama cha Democrasia na Maendeleo, Chadema, kukumbwa na migogoro, mitafaruku na sintofamu kadhaa wa kadhaa za hapa na pale haswa kuhusiana na hatma ya timua timua kwa baadhi...
Nilikuwa sijawahi kuchangia CHADEMA 'good money' zaidi ya vimichango vya hapa na pale. Sasa kwa kuwa maCCM yanataka kututoa kwenye reli hili viongozi wetu waache kushughulikia mambo ya msingi ya...
Kuna vyama vilishiriki uchaguzi Mkuu, vinalalamika kwamba CHADEMA Asifanye maridhiano na CCM bali maridhiano yafanywe na vyama vyote.
CHADEMA anataka uwajibikaji kabla ya maridhiano na Msamaha...
"Kuna, kuna, kuna, kuna unafiki ule unaofanyika Zanzibar wa kusema kitu tofauti na kufanya tofauti. Na mimi nasema mzungumzo ni moja ya nyenzo ambayo sisi kama Chadema tunaamini katika...
Unapokua Kiongozi uliyeitwa Kuwahudumia Wananchi, Huwa Kuna feeling Fulani hivi ,unapo achieve kitu Fulani kwa ajili ya Wananchi wako, na Wananchi wakakifurahia. Kwakweli ukiwa kama Kiongozi...
Tumewazoea viti maalum wetu akina Kabati, Shonza nk kutokana uswahilini sasa hawa Viti maalum wa ushuani wanaweza kuzinguana sana na mawakili
Hasa ukizingatia 2030 tutachagua Rais mpya
Wote...
Mfanyabiashara tajiri nchini Tanzania, Mohammed Dewji, amesema ana mpango wa kuwekeza dola milioni 100 za Marekani [TZS bilioni 263] katika mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta...
Kwasababu ni wazi kwenye baraza kuu la Chadema taifa lililoitishwa kufanyika mwezi September 2026, pataibuka mambo mazito na maazimio magumu sana ambayo yanaweza kupelekea kuitishwa kwa mkutano...
Huyu naye inasakiwa amepotezwa.
👇
Julius Mbalile Erick (pichani), alikuwa ni Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Murongo Jimbo la Kyerwa mkoani Kagera. Kwa mujibu wa taarifa ya aliyekuwa Mbunge wa...
Ukiona adui yako anakusifia jiangalie mara mbili mbili, lkn ukiona vilio vimezidi jua umewashika panapostahili.
Hawa unaowasikia ni vispika tu endelea kukaza kamba hadi mwenye spika atokeze pua...
Kwahiyo wale ambao mmejichotea mihela ya Abdul basi jaribuni kutunga UONGO mwingine ili mueleweke
Mali za Chadema zikiwemo hela ziko Chini ya Ofisi ya Katibu Mkuu na Baraza la Wadhamini na si...
Mwanasiasa asiye mwanaharakati ni tapeli anayesaka tonge kupitia kauli-mbiu na utambulishi wa vyama. Mwanaharakati ana lake jambo la kulisimamia kokote aliko hadi mwisho wake. Ukiniuliza mie...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Arusha, Elisa Mungure amesema licha ya kutokuwa mwanachama wa CCM, anamkubali Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi kutokana na msimamo...