Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Akizungumza na vyombo vya habari leo Januari 20, 2026 Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema Serikali ya Tanzania kupitia TPDC inamiliki asilimia 15% katika Mradi wa Crude oil pipeline...
1 Reactions
3 Replies
152 Views
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi @ccmtanzania, @kenanikihongosi amesema CCM haitapoteza muda kujibu propaganda zinazoenezwa na watu wasiolitakia mema Taifa, badala...
0 Reactions
3 Replies
128 Views
Huyu alikua ni fanyabiashara mashuhuri wa simu za mkononi hapa bongo. Amekamatwa Oman akiwa amemeza kete za sembe, ni kipindi kama cha mwaka sasa alikua amehamia Oman baada ya mambo yake hapa TZ...
6 Reactions
138 Replies
41K Views
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka mkoani Tanga, Kazungu Bakari Kazungu, amewatolea uvivu vijana wanaojiita wanaharakati, Joseph Yona na Ahmed Kombo, kufuatia tuhuma zao nzito dhidi ya...
0 Reactions
2 Replies
178 Views
Namshukuru Mungu kuwa miongoni mwa watanzania waliopata bahati kushiriki siasa za Tanzania tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingine mwaka 1995. Lakini Kila miaka inavyosonga mbele naona idadi ya...
1 Reactions
0 Replies
55 Views
π——π—žπ—§. 𝗠π—ͺπ—œπ—šπ—¨π—Ÿπ—¨ 𝗔𝗙𝗔𝗑𝗬𝗔 π— π—”π—­π—¨π—‘π—šπ—¨π— π—­π—’ 𝗑𝗔 π— π—›π—”π—‘π——π—œπ—¦π—œ π— π—”π—¦π—”π—¨π—‘π—œ Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20, 2026 amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira...
0 Reactions
0 Replies
98 Views
Wanajamvi; nimeamka nikaona niseme kidogo. Kumekuwa na matukio mawili ambayo yamekuwa yakielezwa kama kigezo cha taswira njema kwa yaliyotokea nchini mwetu wakati na baada ya uchaguzi. Matukio...
2 Reactions
8 Replies
180 Views
Mpango wa maridhiano hautakubalika kwasababu hauna nia njema kwa taifa.Yaani Mama kachagua watu ambao ni majaji wa serikali hiyo hiyo ya CCM pekee kwante kamati ya kutafuta ukweli wakati yeye...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Katika press ya msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ameeleza namna ambavyo bandari ya DP World ilivyotatua changamoto ya ajira kwa viajana wasomi wa kitanzania ambapo amesema bandari hiyo...
0 Reactions
4 Replies
138 Views
Msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na vyombo vya habari leo Januari 20, 2026 amesema kuwa Rais Samia alifanya maamuzi makini ya kuingia mkataba wa upangishaji na uendeshwaji wa...
0 Reactions
5 Replies
206 Views
GT Hii tume ya chande ni ya mchongo kuna watu au tasisi itazipita kama haizioni japo ndizo zenye majibu sahihi. Wanahangaika na machinga na bodaboda ila ukweli wanaujua waupate wapi.. 1. TLS 2...
1 Reactions
7 Replies
201 Views
Karibu Jimbo la Iramba Magharibi
0 Reactions
0 Replies
70 Views
  • Redirect
Kauli hiyo imetolewa n.a. Mjumbe wa Tume hiyo Ombeni Sefue Bado haijafahamika namna matibabu hayo yanavyoweza kufanya kazi huku ikiwa bado baadhi ya marehemu hawajulikani waliko na kukiwa na...
1 Reactions
Replies
Views
Mwezi Novemba mwaka jana Mkutano Mkuu wa Maaskofu wa kikatoliki Marekani ulitoa tamko kulani sera za serikali ya Trump za kuwatimua na kuwapakazia wahamiaji waliokuwepo Marekani. Hii ilikuwa...
4 Reactions
2 Replies
114 Views
Picha linaanza siku ya uchaguzi internet na vyombo vya habari vinaminywa na wapinzani wanaenguliwa hapo hujue hakukuwa na uchaguzi.
1 Reactions
5 Replies
126 Views
Sijui ni nani msimamizi wa jambo hili linaloitwa press conference nchini . Kwa maoni yangu ni kwamba kila mwenye fedha anaitisha press conference na hakuna wa kumbabaisha. Tabia hii itakomeshwa lini?
2 Reactions
15 Replies
476 Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mwalimu Nyerere Foundation, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa mtu ni mahakama. Aliongeza kwamba, β€œLeo mtu anaingia kwenye...
11 Reactions
51 Replies
1K Views
  • Redirect
Natambua kwamba ulipokea wito wa kuhojiwa na kinachoitwa Tume ya Jaji Othman Chande kuhusu Mauaji ya Oktoba 29 na kuendelea, ulipangiwa kuhojiwa tarehe 22 January hii Soma pia Askofu Mwamakula...
5 Reactions
Replies
Views
Kile kitendo cha kueleza kuwa alikuwa anafanya mawasiliano ya kila mara na Humphrey ni circumstantial evidence kuwa huyu mzee anajuwa wapi alipopelekwa Polepole. Kama walijadili juu ya Polepole...
13 Reactions
31 Replies
720 Views
Hakika DW wanastahili tuzo. Na wafanyakazi wake wanaitendea vizuri fani ya uandishi wa habari. Hii ni jana/ juzi tarehe 18 Januari. https://youtu.be/1evPobXaZXM?si=Q9nzoGZEYBlbvqwG Safi sana...
10 Reactions
12 Replies
404 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…