Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Guys. Ssi wataalamu wa intelijensia tushajua tayari hilo ni gharasa limetumwa kushambulia. 1 Eyes contacts pamoja na kuongea peke yake mda mwingi alikuwa hajiamini kuiangalia kamera. 2...
9 Reactions
18 Replies
488 Views
Kama watu wanafanya harusi ya zaidi ya bil 3 alafu wanaacha serikali yao inapewa msaada wa bil 2.6 kwa manyayasho. Hapo hakuna busara
3 Reactions
9 Replies
271 Views
  • Featured
Kada wa CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, hapaswi kulazimishwa kuomba msamaha ili aachiwe huru, akisisitiza kuwa hana kosa linalohitaji msamaha. Soma...
16 Reactions
39 Replies
1K Views
Kama watu wanafanya harusi ya zaidi ya bil 3 alafu wanaacha serikali yao inapewa msaada wa bil 2.6 kwa manyayasho. Hapo hakuna busara
0 Reactions
0 Replies
61 Views
Nakufahamu kwa namna ulivyopigania Chadema kwa muda mrefu tena kwa gharama ya damu Ulifungwa jela kwa kesi ya uongo Ukiwa Pamoja na. Sugu, najua unanifahamu vizuri n.a. unafahamu ushirikiano...
7 Reactions
18 Replies
428 Views
https://mohamedsaidsalum.com/
7 Reactions
5 Replies
189 Views
Sheikh Said Mwaipopo kupitia Mwaipopo TV chapisho la Julai 14, 2026, amemvaa Professor Anna Tibaijuka baada ya kuchapisha tamko kupitia Mtandao wa X akimtaka Rais Samia kumwachia huru Mwenyekiti...
0 Reactions
30 Replies
493 Views
Kampuni ya ndege ya Tanzania Atcl imeanza tena ruti ya ndege Dar-Chato-Mwanza baada ya kusitishwa kwa muda mrefu baada ya kifo cha Rais Magufuli na ikasemekana kuwa uwanja huo utatumika kwa ajili...
13 Reactions
48 Replies
1K Views
"Jambo la pili, kaka yangu Zitto Zuberi Kabwe, jifunzeni hata namna ya kuzungumza. Wewe ni mtu mdogo sana katika nchi hii. Huwezi ukamwambia Rais "tunataka umwachie Lissu. Wewe unamwambia Rais...
0 Reactions
17 Replies
302 Views
https://youtu.be/mg8bksltG8s?si=c88mbYJRZvPOgYrN Akihojiwa na Redio SAUT Digital Online leo, Balozi Mstaafu Dr Wilbroad Peter Slaa amemtetea John Heche (Makamu Mwenyekiti Tanganyika - CHADEMA)...
17 Reactions
24 Replies
709 Views
What Samia Suluhu, Jakaya Kikwete and their offsprings need to understand is that we are already living in Post CCM Tanzania! Whatever you think you know about manipulating internal politics of...
9 Reactions
41 Replies
594 Views
Katika hadhara mbalimbali za, maongezi yake (siziiti hotuba, kwa sababu Samia hahutubii, hana hotuba hata moja unayoweza kuitaja kuwa mfano wa hotuba) zake za hivi karibuni,; ameonyesha ulalamishi...
43 Reactions
65 Replies
2K Views
"Jambo lingine kuonekana kweli wewe ni mtu wa ajabu wa ovyo sana tu. Ungejifikiri tu. Zitto Kabwe uliingia kwenye uchaguzi, wewe una masters, yaani una digrii mbili, umeshindwa na mtu mmoja mdogo...
1 Reactions
9 Replies
175 Views
Huwezi kumtenganisha rais Samia na hayati John Magufuli. Kwahiyo rais Samia ni moja ya “legacies “ za Magufuli.
0 Reactions
7 Replies
111 Views
Tulia Axon amejiondoa kugombea Uspika Tukumbuke Tulia Akson ndo spika wa bunge la Dunia (IPU) na Kwa kupoteza nafasi ya Spika katika Taifa lake automatically anapoteza fursa ya kuwa Spika IPU...
19 Reactions
86 Replies
5K Views
Sote ni mashahidi dhidi ya kuweweseka kwa chama cha demokrasia na maendeleo, chadema baada ya mwanachama wake na nguli wa siasa za Tanzania, senior politician Joseph Selasini Shao, kupendeza...
0 Reactions
20 Replies
268 Views
  • Redirect
Wakuu, Hii video inatrend kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii Hawa wananchi wa kwenye hiki kijiji cha Kisaki (Kata ya Kisaki), kilichopo katika Wilaya ya Morogoro Vijijini, Mkoa wa...
0 Reactions
Replies
Views
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Kati, Ashura Masoud, amesema chama hicho kina taarifa na ushahidi wa awali unaojumuisha picha, video, mawasiliano pamoja na miamala ya fedha inayodaiwa kutumwa kutoka...
4 Reactions
14 Replies
503 Views
Kesi ya Tundu Lissu imejaa drama kwelikweli... Inashangaza kuona kuwa, kumbe hata mahakama ya rufaa (Court of Appeal) nayo imeshikwa "makende" na watawala wahuni na wauaji wa ndugu zetu 29/10...
9 Reactions
21 Replies
570 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…