Nimeona Heche, Sugu, Mbowe, Mnyika na Zitto wakitoa hotuba kali kwa serikali bila kupepesa macho, kiasi cha kumuacha Mwigulu akikenua tu asijue la kufanya.
Nataka kuamini hiki ndio kilimfanya...
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 imeanza kufanya vikao vyake kwa faragha, na kuzuia waandishi wa habari kuingia kwenye ukumbi...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika yatupasa na hatuna budi kumpigania ,kumtetea na kumlinda Rais wetu kwa jasho na Damu na kwa gharama yoyote ile iwayo. Yeye ndiye nembo ya Taifa letu,ndio...
Mfano mzuri ni ushahidi wa yule bibi wa Magomeni kota ambae alilazwa na maiti bahati nzuri akazinduka na akapatiwa matibabu Mungu akamsaidia akapona.
Kwa ujumla nguvu kubwa ilitumika kulinda...
Kabla ya kuwa na rais mwanamke, wapo wengi walijiaminisha kuwa mwanamke anaweza kuwa kiongozi bora kuliko wanaume. Japo wapo waliotangulia kuwa viongozi kama akina Mary Banda pale Malawi, Ellen...
Hili ndio swali kubwa la msingi linalopaswa kujibiwa.
Maridhiano kati ya nani nani? Nani aliddhulumiwa mpaka marudhiano yatafutwe?
Bila kuwekwa wazi kuwa wapo waliodhulumiwa haki zao za msingi...
Kipindi kile CHADEMA ilikuwa na nguvu kiasi cha kukaribia kuchukua dola. Dk Slaa alikubalika sana watu walitaka ukombozi.
Lakini Zitto Kabwe akatumiwa kuisaliti Cdm akawa anapewa pesa kwenye...
Wanabodi
Habari za Jumapili?.
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Ukifungua katika ya JMT ya mwaka 1977, neno la kwanza kwenye katiba ni neon "KWA KUWA SISI Wananchi wa...
Guys,
Hivi mshawai kujiuliza ,Hali ya Tanzania ingekuwaje kama MO29 isingetokea?
Binafsi MO29 imebadili political atmosphere ya Tanzania Kwa Hali ya juu. Kama MO29 isingetokea haya ndo yangekuwa...
Kaimu Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, Jaji Mkuu Mstaafu Profesa Ibrahim Juma, amesema Tume hiyo...
Karibu kusoma Jarida la Ofisi ya Waziri Mkuu, Toleo la Nne la Januari 2026, linalopatikana kupitia tovuti ya www.pmo.go.tz.
#WaziriMkuuNchemba #PMNchemba
Wakuu salamu hamna hapa , nawauliza nyie wahuni mmejifunza nini!
Mzee Mtei kafariki ila legacy ameacha sio ya kuigwa, pamoja na mapesa yote ila mzee katuacha.
Bumbavu CCM
Anandika Hilda Newton
HUJUMA MSIBA WA MUASISI WA CHADEMA MZEE EDWIN MTEI.
Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kwamba Mhe. Mbowe anatumia nafasi yake ya uanafamilia kuihujumu CHADEMA...
Kigoma Hatuna tena deni na Mama;
1. International airport imejengwa,
2. Lami mpaka mlangoni,
3. Ambulance boats kama zote Lake Tanganyika.
4. SGR mpaka Burundi.
Sasa Leo baada ya kuonekana live watu wakitoka ushuhuda wa moto moto,
Rais anailekeza tume ikusanye taarifa kifichoni Ili kupunguza kuendelea kueneza hasira hii ni sawa na kuficha vuzi kwa chupi...
Kwanini anadhani shughuli zake ni shughuli za Kitaifa, Nani Kamdanganya?
Anachopaswa kufahamu ni hiki, TANZANIA siyo Twanga Pepeta ama Extra Bongo ya Ally Choki
Watu washajiandaa kumlipua siku...
Akiwakilisha kundi la Wabunge walio wachache bungeni katika msiba wa Hayati Edwin Mtei, Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHAUMMA, Sigrada Mligo, amesema busara na hekima za Mzee Mtei ni nguzo muhimu...
KANISA KATOLIKI SI POPULISM.
Hata tukitoa nafasi ya kudhani kuwa WaandamaWAnaji walikuwa na nia njema, njia waliyotumia haiwezi kabisa kuzaa matokeo yoyote halali ndani ya mfumo wa Kanisa...
Simanzi imetawala wananchi walioathiriwa na vurugu zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, waliposimulia walichoshuhudia katika matukio hayo. Wakieleza walichoshuhudia baadhi ya...