Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimeona Heche, Sugu, Mbowe, Mnyika na Zitto wakitoa hotuba kali kwa serikali bila kupepesa macho, kiasi cha kumuacha Mwigulu akikenua tu asijue la kufanya. Nataka kuamini hiki ndio kilimfanya...
2 Reactions
3 Replies
153 Views
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 imeanza kufanya vikao vyake kwa faragha, na kuzuia waandishi wa habari kuingia kwenye ukumbi...
1 Reactions
18 Replies
482 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika yatupasa na hatuna budi kumpigania ,kumtetea na kumlinda Rais wetu kwa jasho na Damu na kwa gharama yoyote ile iwayo. Yeye ndiye nembo ya Taifa letu,ndio...
3 Reactions
108 Replies
904 Views
Mfano mzuri ni ushahidi wa yule bibi wa Magomeni kota ambae alilazwa na maiti bahati nzuri akazinduka na akapatiwa matibabu Mungu akamsaidia akapona. Kwa ujumla nguvu kubwa ilitumika kulinda...
4 Reactions
14 Replies
263 Views
Kabla ya kuwa na rais mwanamke, wapo wengi walijiaminisha kuwa mwanamke anaweza kuwa kiongozi bora kuliko wanaume. Japo wapo waliotangulia kuwa viongozi kama akina Mary Banda pale Malawi, Ellen...
4 Reactions
24 Replies
474 Views
Hili ndio swali kubwa la msingi linalopaswa kujibiwa. Maridhiano kati ya nani nani? Nani aliddhulumiwa mpaka marudhiano yatafutwe? Bila kuwekwa wazi kuwa wapo waliodhulumiwa haki zao za msingi...
2 Reactions
11 Replies
190 Views
Kipindi kile CHADEMA ilikuwa na nguvu kiasi cha kukaribia kuchukua dola. Dk Slaa alikubalika sana watu walitaka ukombozi. Lakini Zitto Kabwe akatumiwa kuisaliti Cdm akawa anapewa pesa kwenye...
2 Reactions
5 Replies
109 Views
Wanabodi Habari za Jumapili?. Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo. Ukifungua katika ya JMT ya mwaka 1977, neno la kwanza kwenye katiba ni neon "KWA KUWA SISI Wananchi wa...
1 Reactions
6 Replies
170 Views
Guys, Hivi mshawai kujiuliza ,Hali ya Tanzania ingekuwaje kama MO29 isingetokea? Binafsi MO29 imebadili political atmosphere ya Tanzania Kwa Hali ya juu. Kama MO29 isingetokea haya ndo yangekuwa...
6 Reactions
8 Replies
148 Views
  • Redirect
Kaimu Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, Jaji Mkuu Mstaafu Profesa Ibrahim Juma, amesema Tume hiyo...
1 Reactions
Replies
Views
Karibu kusoma Jarida la Ofisi ya Waziri Mkuu, Toleo la Nne la Januari 2026, linalopatikana kupitia tovuti ya www.pmo.go.tz. #WaziriMkuuNchemba #PMNchemba
0 Reactions
0 Replies
63 Views
Wakuu salamu hamna hapa , nawauliza nyie wahuni mmejifunza nini! Mzee Mtei kafariki ila legacy ameacha sio ya kuigwa, pamoja na mapesa yote ila mzee katuacha. Bumbavu CCM
7 Reactions
14 Replies
376 Views
Anandika Hilda Newton HUJUMA MSIBA WA MUASISI WA CHADEMA MZEE EDWIN MTEI. Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kwamba Mhe. Mbowe anatumia nafasi yake ya uanafamilia kuihujumu CHADEMA...
16 Reactions
23 Replies
776 Views
Kigoma Hatuna tena deni na Mama; 1. International airport imejengwa, 2. Lami mpaka mlangoni, 3. Ambulance boats kama zote Lake Tanganyika. 4. SGR mpaka Burundi.
3 Reactions
28 Replies
1K Views
  • Redirect
Sasa Leo baada ya kuonekana live watu wakitoka ushuhuda wa moto moto, Rais anailekeza tume ikusanye taarifa kifichoni Ili kupunguza kuendelea kueneza hasira hii ni sawa na kuficha vuzi kwa chupi...
0 Reactions
Replies
Views
Kwanini anadhani shughuli zake ni shughuli za Kitaifa, Nani Kamdanganya? Anachopaswa kufahamu ni hiki, TANZANIA siyo Twanga Pepeta ama Extra Bongo ya Ally Choki Watu washajiandaa kumlipua siku...
17 Reactions
42 Replies
1K Views
Akiwakilisha kundi la Wabunge walio wachache bungeni katika msiba wa Hayati Edwin Mtei, Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHAUMMA, Sigrada Mligo, amesema busara na hekima za Mzee Mtei ni nguzo muhimu...
3 Reactions
20 Replies
301 Views
KANISA KATOLIKI SI POPULISM. Hata tukitoa nafasi ya kudhani kuwa WaandamaWAnaji walikuwa na nia njema, njia waliyotumia haiwezi kabisa kuzaa matokeo yoyote halali ndani ya mfumo wa Kanisa...
6 Reactions
8 Replies
266 Views
Simanzi imetawala wananchi walioathiriwa na vurugu zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, waliposimulia walichoshuhudia katika matukio hayo. Wakieleza walichoshuhudia baadhi ya...
13 Reactions
50 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…