Mmejifunza nini kwa mzee wetu Mtei?

Mmejifunza nini kwa mzee wetu Mtei?

Kufa ni kufa kuna vibe, kumepoa , kifo ni kifo.. una hela, maskini utakufa.

Jk atakufa asubuhi atazikwa kesho yake na uisilamu hauna vibe mana kifo ni ibada chap sanaaaaa wanakufukia maisha yanaendelea we unaesubiri vibe endelea kusubiri
 
Vibe la kwenye msiba linasaidia kitu gani sasa?
 
Kufa ni kufa kuna vibe, kumepoa , kifo ni kifo.. una hela, maskini utakufa.

Jk atakufa asubuhi atazikwa kesho yake na uisilamu hauna vibe mana kifo ni ibada chap sanaaaaa wanakufukia maisha yanaendelea we unaesubiri vibe endelea kusubiri
Upo sawa ,ila kuna vifo , hata salamu za lambilambi hutozipata.leo Chadema wanajipanga kuanza ujenzi wa chuo ambacho kitaitwa Mtei ili kutunza legacy yake ,unafkili angekua Butiku au makamu mwenyekiti wa ccm ,nani ataweza kuwazia ujinga huu?
 
Wakuu salamu hamna hapa , nawauliza nyie wahuni mmejifunza nini, siku Kikwete anafariki usitegee vibe kama hili ,maana wananchi wanamkuchukia sana .

Mzee Mtei kafaliki ila legacy ameacha sio ya kuigwa, pamoja na mapesa yote , ila mzee katuacha ,
Bumbavu ccm
Maneno yako ni kweli kwa wakati tulionao Kikwete anachukiwa sana kwani watu wamebaini kuwa yeye ndiye anayempoteza Samia . Ishara hiyo ilionekana hapo juzi alipofiwa na shemeji yake dada ya mkewe; hakukuwa na watu wengi kuja kumfariji except wale machawa wake wa kila siku! The only dignitary present apart from the SHEIKH MKUU was retired General Mwamunyange!!!
Hakujawahi kutokea Rais mstaafu akachukiwa na wananchi baada ya kustaafu kama huyu mkwere!
 
Upo sawa ,ila kuna vifo , hata salamu za lambilambi hutozipata.leo Chadema wanajipanga kuanza ujenzi wa chuo ambacho kitaitwa Mtei ili kutunza legacy yake ,unafkili angekua Butiku au makamu mwenyekiti wa ccm ,nani ataweza kuwazia ujinga huu?
Mmmmh kaka kweli JK afe leo kusiwe n asalama za rambirambi uko serious kabisaa....

Hili la chuo kaka tuliache ukweli unajulikana.
 
Nilichojifunza mimi,ni kusimamia Msimamo hasa kwa kitu kilichopo ndani ya TAALUMA yangu..RIP Governor Mtei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom