Mbunge wa kuteuliwa na Rais na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amemuandikia Spika wa Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Dkt...
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kuwa 'no reform no election' ni lugha ya 'kitaa' lakini kwenye lugha ya kitaalamu kinachozungumzia uchaguzi ni katiba inayoelekezea ukomo wa...
Aliyekuwa diwani wa kata ya Kitandililo Imani Fute,akieleza sababu za kutochukua fomu ya kuomba kuteuliwa ili kugombea tena nafasi hiyo.
Diwani wa kata ya Kitambilo aliyemaliza muda wake, Imani...
Zitto na chama chake wanashambuliq CHADEMA badala ya CCM sijaona point za msingi kuhusu mikakati ya kulinda kura ni vipi watalinda kura hawasemi wao ni kuwachamba chadema tu.
Sijaona kampeni za...
Hili nalo lina ubishi? Famili ya mzee Ali Kibao, Mdude Nyagali na Dismas Soka hii ni mifano tu ya kutoa.
Je Padre Kitima anakosea anaposema kuna akina Lissu na wengine wengi wapo magerezani kwa...
Alikuwa na kiburi na akadhania yeye ni Mungu mtu kwa kutumia nafasi ya Ikulu
Lakini alikufa kama panzi mikononi kwa watoto wadogo.
Tunahitaji fairness kwenye taifa lefu, iwe ni suala la ajira...
My Take
Hakuna Mkoa ambao Hauna mali Kwa Tanzania ila Mkoa wa Lindi unaenda kuwa kitovu cha Madini mkakati Tanzania kama
-Graphite
-Nickel
-Gypsum
-Gesi asilimia
Ikumbukwe LNG plant yenye Thamani...
Serikali imekusanyika Tanganyika Packers, Kawe kuzindua Kanisa la Arise & Shine la Boniface Mwamposa. Televisheni ya Taifa ipo mubashara (LIVE).
Tanganyika Packers LTD, Kawe, Dar es Salaam...
Ndugu zangu Watanzania,
Ukiona vyaelea Ujue Vimeundwa ,ukiona miradi ya maendeleo inachipua na kumalizika kwa uharaka ,ufanisi na kwa kupendeza ujue juu yake kuna mikono ya Rais Samia ,ukiona...
NOTISI YA UTEUZI WA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI
WA UCHAGUZI YA MWAKA 2025
Jina 1. Notisi hii itajulikana kama Notisi ya Uteuzi wa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi...
Vichekesho vya kisiasa/kiutawala toka Afrika bara la watu weusi.
1. Kiwanda kinauliwa ili lijengwe kanisa watu wakaombe uchumi wa nchi ukue.
2. Rais wa nchi fulani mashariki mwa Afrika...
Wandugu, huyu aliyekuwa Mkurugenzi wa TRC ni kuwa alitumbuliwa kwa kuvurunda huko au anasubiria kupangiwa majukumu mengine makubwa....
Binafsi naweza kumpa maua yake kwa kusimamia uanzishwaji wa...
Nakumbuka mwaka 2015 kurudi nyuma wanachama wote wa CCM walikuwa wana haki ya kuchagua wagombea ubunge na udiwani, kuanzia mwaka 2020 ikawa wajumbe tu ndio wana haki ya kuchagua wagombea,
Sasa...
Hizi ni salaam zangu kwa Katibu Mkuu wa CCM (ambaye kimsingi ndiye Mratibu Mkuu wa shughuli za chama. Pamoja na kwamba binafsi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa, ni muumini wa siasa za...
Mtu ambaye hawezi hata kumshauri mke wake kwamba hili siyo sawa, ndio kuna watu eti mnategemea huyu Mzee anaweza kumshauri Rais kwamba hili siyo Sawa?
Picha ina ujumbe mrefu zaidi ya maneno hata...
Padre Dkt. Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), ametoa kauli nzito akisema kuwa viongozi wa dini lazima waonyeshe wazi kwamba aliyehusika katika...
Hakuna jambo lingine ACT wazalendo wanalitafuta zaidi ya kutaka Pesa za ruzuku na pesa za kujikimu wakipata wabunge,Wanahamasisha Raia waliokata tamaa ili wawatumie kwa maslahi yao binafsi siku ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.