Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mkutano wa kujadili mchango wa Sekta ya Habari katika kufanikisha Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani Oktoba 2025, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko anatarajiwa kuwa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Mnisamehe lakini sasa budi niulize maswali yangu kadhaa, nipate mantiki na uelewa na nipate majibu ya kimantiki ya Mkuu wa Mkoa wa Daresalaam. Kwanza braza Chalamila anisaidie kuelewa ni...
1 Reactions
1 Replies
470 Views
Lissu anakubalika kama shujaa na mkombozi wa kweli acheni siasa za kiduanzi 👇
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Mchakato wa uchujaji wa wagombea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi Vijijini umetawaliwa na tuhuma nzito za rushwa, upendeleo na ubabe wa viongozi, hali iliyopelekea sintofahamu...
0 Reactions
7 Replies
752 Views
Huu ni ukweli mchungu ambao tunatakiwa kuishi nao milele na milele. Hakuna wa kuishusha Dola na hakuna wa kuishusha dini. Chukua upande ulio sahihi katka nyakati sahihi. KWA HISANI YA MTU WA...
1 Reactions
23 Replies
664 Views
Kwa sie tuliozaliwa zamani kidogo tulikuta mfumo mzuri sana uliokuwa unaliendesha hili Taifa. Mfumo huo ni kwamba, baada ya Bunge kuvunjwa, Wizara zote zilikuwa zinaongozwa na Makatibu Wakuu hadi...
1 Reactions
15 Replies
947 Views
Japokuwa Askofu Gwajima alisema anaongea kama raia wa kawaida lakini mifano yake ilionyesha anaongea kama mwanasiasa baada ya kuwataja akina Abdul Lakini huyu Padre Kitima wa Kanisa Moja Takatifu...
1 Reactions
7 Replies
516 Views
Ikumbukwe kuwa Vyama vyenye tabia ya kusajili Wanachama maprofesa na graduates ni CCM na Chadema pekee vilivyobaki hupendelea kusajili kwenye nyumba za Ibada kama CUF, ACT wazalendo, Chaumma nk…nk...
8 Reactions
26 Replies
901 Views
Mbunge wa kuteuliwa na Rais na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amemuandikia Spika wa Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Dkt...
14 Reactions
189 Replies
18K Views
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kuwa 'no reform no election' ni lugha ya 'kitaa' lakini kwenye lugha ya kitaalamu kinachozungumzia uchaguzi ni katiba inayoelekezea ukomo wa...
0 Reactions
13 Replies
701 Views
Aliyekuwa diwani wa kata ya Kitandililo Imani Fute,akieleza sababu za kutochukua fomu ya kuomba kuteuliwa ili kugombea tena nafasi hiyo. Diwani wa kata ya Kitambilo aliyemaliza muda wake, Imani...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Zitto na chama chake wanashambuliq CHADEMA badala ya CCM sijaona point za msingi kuhusu mikakati ya kulinda kura ni vipi watalinda kura hawasemi wao ni kuwachamba chadema tu. Sijaona kampeni za...
6 Reactions
65 Replies
2K Views
Nimeogopa sana Hivi Chadema ya akina Mwamba ilikuwa Dikteta Mtu au Dikteta Familia? Nimeuliza kiutafiti zaidi Ahsanteni sana Mlale unono 😄
1 Reactions
5 Replies
562 Views
Hili nalo lina ubishi? Famili ya mzee Ali Kibao, Mdude Nyagali na Dismas Soka hii ni mifano tu ya kutoa. Je Padre Kitima anakosea anaposema kuna akina Lissu na wengine wengi wapo magerezani kwa...
1 Reactions
3 Replies
441 Views
Alikuwa na kiburi na akadhania yeye ni Mungu mtu kwa kutumia nafasi ya Ikulu Lakini alikufa kama panzi mikononi kwa watoto wadogo. Tunahitaji fairness kwenye taifa lefu, iwe ni suala la ajira...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
My Take Hakuna Mkoa ambao Hauna mali Kwa Tanzania ila Mkoa wa Lindi unaenda kuwa kitovu cha Madini mkakati Tanzania kama -Graphite -Nickel -Gypsum -Gesi asilimia Ikumbukwe LNG plant yenye Thamani...
6 Reactions
52 Replies
2K Views
Serikali imekusanyika Tanganyika Packers, Kawe kuzindua Kanisa la Arise & Shine la Boniface Mwamposa. Televisheni ya Taifa ipo mubashara (LIVE). Tanganyika Packers LTD, Kawe, Dar es Salaam...
28 Reactions
104 Replies
7K Views
Ndugu zangu Watanzania, Ukiona vyaelea Ujue Vimeundwa ,ukiona miradi ya maendeleo inachipua na kumalizika kwa uharaka ,ufanisi na kwa kupendeza ujue juu yake kuna mikono ya Rais Samia ,ukiona...
2 Reactions
36 Replies
1K Views
Je angekuwa anajiandaa kumpisha Rais mwingine? Je angekuwa kashabadili katiba? Je uchumi ungekuwaje? SGR ingekuwa imefikia wapi? Hali ingekuwaje?
0 Reactions
9 Replies
356 Views
Back
Top Bottom