Nimeelekeza kuondolewa kwa masharti yanayokwamisha utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwenye halmashauri zetu - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
📍Dodoma-Tanzania
🗓️Januari 29, 2029
———————————————...
📍MOROGORO - Mkuu wa Mkoa, Adam Malima, amesema hatua zitachukuliwa dhidi ya Watumishi wote wanaokwamisha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa stendi ya magari ya mizigo (malori) ya Mikumi, Wilayani...
Abdul Malik xxxxx tupo naye ubalozini akiwa ni Mwambata wa Balozi wa Egypt hapa nchi X. Tulikuwa na meeting na katika maongezi tukizungumzis mambo kadhaa wa kadhaa akaanzisha mazungumzo about...
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Kahama, Emmanuel Cherehani amehoji utaratibu wa mgonjwa kulipia fedha ya kwenda kumuona daktari katika hospitali za Umma hapa nchini ambapo amedai wagonjwa hulipishwa...
kutokana na projection za IMF uchumi wa tanzania ulikadiriwa kukua kwa 7-8% wakati mwaka unaanza: Mwaka wa 2023 kwenda 2024 GDP ilikua $70-$75B lakini mpaka mwisho wa mwaka huu GDP yetu ni ~$90B...
Kila script wanayotoa waigizaji wanakosea.
Script ya kwanza ni ile ya maandamano ya kwenda ubalozi wa Vatican Tanzania, kuna makosa mengi ya kiufundi yalifanyika ikakosa mvuto.
Script ya pili ni...
Shule za serikali kwa mujibu wa takwimu za TAMISEMI ni kuwa mikoa yote Tanzania ina shule ambazo zinawalimu chini ya 10. Hata hivyo Lindi inaongoza kwa kuwa na shule nyingi zenye waalimu chini ya...
Naenda moja kwa moja kwenye hoja yangu ya kichokozi.
Nimeona kama huu "msala" kuna watu wanataka kujitoa au kujifanya hawakuhusika yaani wame "mute" huku kadhia yote akiachiwa "Ma Mkwe". Ni kama...
Alikuwa ndani ya bajaji kama abiria, mbele bajaji ikasimamishwa na polisi kwa ukaguzi, askari wa JWTZ (jeshi namba 6 kwa ubora duniani) akashuka na sare zake akawa anamwamrisha polisi awaachie...
1. Samia hakutoa amri kuamuru mauaji ya raia na wananchi- Hii itasemwa ili kujaribu kumsafisha Samia kwenye jumuiya ya Kimataifa na kujaribu kumuepusha na kikombe cha ICC.
2. Wakuu wa Majeshi ya...
Hebu tutafakari kwa pamoja Wakuu,
Vigezo gani vilitumika na CAF kuichagua Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027? HIYO NI KESHO TU ETI
Kwanza, Kenya na Uganda wamekwishamaliza ujenzi wa viwanja...
Mbunge Masaburi kasema Ukweli.
Tanesco ni shirika Mojawapo tuu kati ya mashirika mengi ambayo Sasa yanapata faida baada ya Serikali ya Samia kufanya mageuzi ya kisekta.
----
Mbunge wa Jimbo la...
Umeua maelfu ya Wananchi wako.
Wananchi wana hasira kiasi wakipata nafasi watakunyonga live dunia ishuhudie.
Viongozi wa dini ya kikristo wamekukataa waziwazi. Waislam wenye akili na hofu ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Usishindane na aliyebarikiwa, usishindane na aliyepewa kibali na Mungu, usishindane na aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu. Lazima mfahamu na ifahamike ya kuwa Aliyepewa...
ANAANDIKA ASKOFU BAGONZA
NADHANI TUNAJICHANGANYA?! Au ni Mimi Najichanganya?!
1. SAFARI YA VATICAN
Tungepatana nyumbani kwanza na wawakilishi wa Papa kabla ya kwenda kwa Papa. Tumempiga Padre...
Papa akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania
Ni katika nchi ya Tanzania ambayo Tume ya uchunguzi iko inafanya kazi ili kubaini wahusika wa vurugu zilizoibuka mwezi Oktoba 2025 iliyopita...
Mkutano wa pili wa Bunge la 13 unaendelea na vikao vyake leo Januari 29, 2026 jijini Dodoma.
Miongoni mwa shughuli za leo ni wabunge kuuliza maswali kwa Waziri Mkuu pamoja na maswali ya kawaida...
Kuna mkanganyiko mkubwa unaoenezwa kwa makusudi katika mjadala wa kisiasa nchini Tanzania kuhusu dhana ya maridhiano. Neno hili linatumika kana kwamba ni suluhisho la kila tatizo la kitaifa, bila...