Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 5,071
- 15,348
Mkutano wa pili wa Bunge la 13 unaendelea na vikao vyake leo Januari 29, 2026 jijini Dodoma.
Miongoni mwa shughuli za leo ni wabunge kuuliza maswali kwa Waziri Mkuu pamoja na maswali ya kawaida yatakayojibiwa na serikali.
Aidha, Bunge litaendelea kujadili hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati akifungua Bunge la 13, ambayo ilieleza muelekeo wa serikali yake.
Miongoni mwa shughuli za leo ni wabunge kuuliza maswali kwa Waziri Mkuu pamoja na maswali ya kawaida yatakayojibiwa na serikali.
Aidha, Bunge litaendelea kujadili hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati akifungua Bunge la 13, ambayo ilieleza muelekeo wa serikali yake.