Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Familia ya Bushiri pazi wamshukuru Rais Samia kwa msaada wa kisheria waliopata kurudisha nyumba yao iliyopo Congo mchikichi iliyodhulumiwa kwa takribani miaka 25 iliyopita
0 Reactions
10 Replies
689 Views
Usajili wa Vyeti vya Kuzaliwa kwa Watoto Chini ya Miaka Mitano ni Haki ya Msingi Inayopaswa Kutekelezwa kwa Wakati – Mhe. Randeep Sarai Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada, Mhe. Randeep...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Walitaka Uraisi kwa miaka 10 lakini wote hawapo!! Tubadilishe mifumo badala ya uchawa
1 Reactions
4 Replies
634 Views
"ACT NDIO CHAMA KICHANGA KWA UMRI NA KINACHO KUA KWA KASI ZAIDI TANZANIA" - Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Ndg. Ado
1 Reactions
9 Replies
416 Views
Kauli ya Daniel Kalinga Mtumishi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Wakati akifunga mafunzo kwa Watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo kutoka mikoa ya Iringa,Ruvuma na Njombe.
0 Reactions
1 Replies
379 Views
Kuweni makini sana na hicho mnachokitamani. Ukweli siwezi kuwaficha na upo wazi, Hata iweje, Hio nafasi mnayotamani master planner achomoke haiwezi kubaki wazi, Never ! Ni lazima itajazwa muda...
2 Reactions
1 Replies
464 Views
Mwenyekiti wa CCT Ask Shoo ametoa hotuba ambayo sikutegemea. Kwenye hotuba yake ya kufungua Mkutano mkuu wa CCT Leo jul 3, 2025 mjini Dodoma alinyooka kwenye kauli yake ya kuunga mkono wazi...
12 Reactions
55 Replies
3K Views
Heche amesema Serikali kupitia Mpiga Chapa wake mkuu imesema kanuni za Uchaguzi zitasainiwa wakati wa operation hivyo kama zitakuja zikiwa zimerekenishwa basi Chadema itangia kwenye Uchaguzi mkuu...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Viongozi wa dini, wazee wa mila na asasi za kiraia wametakiwa kushirikiana kwa karibu katika kupambana na vitendo vya rushwa wakati huu taifa likielekea kwenye uchaguzi mkuu, ili kusaidia jamii...
0 Reactions
3 Replies
421 Views
WARATIBU wa uchaguzi , wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo wamekutana jijini Arusha kwa siku tatu kwa ajili ya mafunzo ikiwa ni maandalizi ya kuwawezesha...
0 Reactions
1 Replies
256 Views
Wanawake wamefurika katika chuo cha Veta Chato Mkoani Geita, wakichangamkia progaramu iliyotolewa na Rais wa Tanzania Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan iliyo na lengo la kukuza ujuzi kwao na...
0 Reactions
3 Replies
306 Views
Huenda jina la Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba likakosekana miongoni mwa watakaogombea urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Kupata...
0 Reactions
0 Replies
358 Views
Kutokana na kukosekana kwa stendi ya mabasi katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James Ameiagiza Halmashauri hiyo kuhakikisha kuwa baada ya miezi miwili stendi...
0 Reactions
0 Replies
277 Views
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mh Petro Magoti akiskiliza na kutatua kero za wananchi wake
0 Reactions
1 Replies
278 Views
Nilikuwa nawaza hapa leo hii asubuhi baada ya kutoka mazoezini. Kwamba Mwaka 2015 kulitokea sintofahamu katika uteuzi wa Mgombea wao. Vurugu kati ya Befnard Membe na Edward Lowasa. Basi ilibidi...
14 Reactions
76 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kaeni mkao wa kula ,kaeni mkao wa kufunguliwa akili na macho,kaeni mkao wa kufumbuliwa vitendawili na mabano ,kaeni mkao wa kuonyeshwa ya sirini na gizani ,kaeni mkao wa...
8 Reactions
196 Replies
7K Views
Ni ukweli na uwazi usiopingika wafuasi wa chadema walijaribu kwa kila hali na mbinu zote kulilia CCM ipate mgombea ambaye ni "weak" ili waweze kuinanga CCM wakati wa kampeni. Samia asingepitishwa...
-1 Reactions
27 Replies
1K Views
Huyu Jasiri Tundu Lisu akikohoa tu hadi CCM kunayumbayumba kidogo Askofu Gwajima na Komredi Polepole hawakuweza kumaliza Press zao bila kutaja Reform Mzee Mwinyi ni baba wa Demokrasia Tundu...
30 Reactions
105 Replies
4K Views
https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/experts-back-ppp-model-for-vision-2050-growth-5124098 === Kwa tafsiri isiyo sahihi sana, Wataalam wamekubaliana kwamba ikiwa Tanzania inahama...
3 Reactions
19 Replies
848 Views
“Nguvu yetu ndani ya CCM ni umoja, na umoja tunao, CCM iko sawa sawa kabisa, kuna mshikamano wa kutosha, …ndani ya CCM hakuna makundi…”-Makamu Mwenyekiti wa CCM-Stephen Wasira.
0 Reactions
8 Replies
548 Views
Back
Top Bottom