Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kikao kilichowapitisha ni kile kile, Katiba ni ile ile na Utamaduni ni ule ule sasa kwanini ashupaliwe mtu mmoja tu? Acheni hizo 🐼
16 Reactions
114 Replies
4K Views
guest-1787180022
WANANCHI WA KATA YA MAWENZI WAAMKA: WAMCHOSWA NA DIWANI ALIYEKAA MADARAKANI ZAIDI YA MIAKA 15 BILA MAFANIKIO Moshi, Tanzania – Katika kile kinachoonekana kuwa mwamko mpya wa kisiasa miongoni mwa...
0 Reactions
0 Replies
226 Views
Salaama wanjamvi Napenda kujuzwa kama Balozi Polepole amejibiwa kivyovyote vile na mtu/kiongozi kutoka Serikalini au chama CCM na kama ndio tupia hapa mambo kwa ushahidi Asanteni
9 Reactions
77 Replies
3K Views
Dar es Salaam: Habari za chinichini zinapenyeza kuwa uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) upo mbioni kumfukuza na kumfuta uachana Mh Balozi Humprey Polepole na pia kumuondolea hadhi ya ubalozi...
19 Reactions
109 Replies
6K Views
Tunako katabia kidogo Watanzania, nadhani kitaifa, 'uwoga' wa kutoa mawazo tofauti, na nadhani nayo ni kasoro, katika demokrasia kila mtu lazima asikilizwe hata kama hukubaliani naye, na...
1 Reactions
1 Replies
330 Views
Badala ya kuongelea mabadiliko ya katiba kuongelea tamaduni ambazo ndizo zimeleta umasikini Polepole hatutaki tamaduni za CCM zimeleta umasikini mkubwa nchini. Watanzania wanataka maendeleo na...
0 Reactions
1 Replies
249 Views
EDIT: Sio waziri tu, ni viongozi wakiwemo mawaziri, maspika, wakuu wa mikoa, wabunge, n.k. Kujua matatizo ya wananchi kwa ukaribu ni msingi wa utatuzi wa kweli. Ni muhimu kwa viongozi kuwa...
39 Reactions
132 Replies
4K Views
Wakubwa hadi wababa wazima unakuta wao ni mama, mama hata sisi tuna mama tuacheni kuleta umama kwenye mambo nyeti ya taifa tena ya msingi kweli kweli hizi ni akili za wapi ? Mbona samia alipokuwa...
2 Reactions
12 Replies
522 Views
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu !!! Ccm kuwatapeli vyama vingine huwa wanaona raha lkn Samia kawatapeli sasa wanahaha mpaka wanatamani kutoana roho. Haya machungu ya kina Polepole...
0 Reactions
0 Replies
251 Views
My Take Kama umeumia Kwa Kukosa Cheo Cha majukwani hupaswi Kukata tawi ulilokalia
11 Reactions
136 Replies
7K Views
Kwa ujinga unaofanyika CCM, tegemea Rais kutoka Msoga baada ya Mama...kuna mtu anamtayarisha mwanawe
0 Reactions
6 Replies
401 Views
MSIMAMIZI Msaidizi wa Jimbo la Kivule, Wilaya ya Ilala, Dk. Mussa Ally ameipongeza serikali kwa kuwaruhusu wafungwa kushiriki katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu kwa mara ya kwanza...
0 Reactions
0 Replies
229 Views
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi amesema hatojiunga na chama chake cha kisiasa katika mchakato wa uchaguzi kwa sababu haamini kama mazingira ya sasa...
0 Reactions
1 Replies
248 Views
Hii nchi kuna mambo yanaendelea kufanyika yasiyo na maana kabisa. Sasa hivi ukipita maeneo mengi ya nchi hasa Barabara kuu kuna diversion na ni mradi wakubadilisha kalavati za kupitisha maji...
8 Reactions
31 Replies
1K Views
Je kuna utofauti gani kati ya adui na mpinzani ?. Adui- huyu yeye hawezi Ku-expose mipango yake katika kadamnasi Mpinzani - huyu anakupinga waziwazi kwa kukuonesha kuwa hiki sio au Ana-ku...
0 Reactions
0 Replies
237 Views
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika [TLS] Boniface Mwabukusi ambae alikuwa mstari wa mbele pamoja na makamanda wa CHADEMA katika kuhubiri NRNE tayari amewageuka wenzake na sasa anahamasisha...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Ikumbukwe kuwa 2010 Chadema ndio iliunda Kambi rasmi ya Upinzani bungeni na baadhi ya Wabunge wao walitaka ufanyike Uchaguzi wa KUB Mbowe na Tundu Lisu wakakataa kwa madai kuwa nafasi hiyo ni ya...
0 Reactions
5 Replies
326 Views
Yeye kama anatibiwa huko India kwa Fedha za Abduli, atulie atibiwe akipona Ashukuru, Akifa, atulie !!. Katiba ya CCM Ibada ya 100 (5) Unapofika wakati wa uchaguzi, Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa...
13 Reactions
37 Replies
2K Views
Back
Top Bottom