Wazee wa Mkataba Mwitongo ndio walishauri Nchimbi arudishwe kwenye Uongozi

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,712
6,515
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
 
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
Utunzi Bado Uko chini

Consult magwiji
 
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
Yani watu walikaa chini wakakubaliana hivyo kabisa? Wewe umejuaje hilo?

Sikatai kwamba inaonekana kuna upendeleo, watoto wa watu fulani wanaonekana kupata nafasi za uongozi kirahisi, tunapata picha kwamba majina yanawasaidia. Hilo kulibishia ni vigumu.

Lakini, unatuambia kuna kikao kilikaa na kupanga hili kabisa?

Umejuaje? Unaweza vipi kuthibitisha haya maneno ni ya kweli na si chumvi za conspiracy theories tu?

Mbona watoto wengine kama kina Kippi Warioba kila wakigombea wanakatwa tu, kaka Kippi kagombea u Meya Dar kashindwa, kagombea ubunge Kawe kashindwa.
 
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
YANA MWISHO HAYA.........
 
Back
Top Bottom