Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

UTANGULIZI Mwaka 2017 Raisi Duterte alianzisha vita kali dhidi ya Madawa ya Kulevya nchini Ufilipino. Aliaua maelfu wa watu aliodai ni watumiaji na wauzaji wa madawa. Alienda hadi mbele ya...
70 Reactions
299 Replies
6K Views
Samia to the World!!!!! Mheshiwa Dr. Samia Suluhu Hassani amesafiri leo tarehe 02. 02. 2026 kuelekea Falme za Kiarabu UAE. Ambapo atashiriki katika mkutano wa World Government Summit (WGS 2026)...
6 Reactions
134 Replies
2K Views
Chama cha Mapinduzi kinaadhimisha miaka 49 tangu kilipoanzishwa Februari 5, 1977 baada ya kuunganishwa vyama vya TANU iliyokuwa Tanganyika na ASP iliyokuwa Zanzibar. Kwa hiyo CCM ni zilezile TANU...
2 Reactions
3 Replies
114 Views
Humu jukwaa kuna tuhuma ambazo Samia Suluhu anatupiwa ya kwamba ni mdini na amejaza waislamu katika wateule wake sasa najiuliza udini wa Samia uko wapi? Au udini wa Samia anaufanyia wapi? Mbona...
11 Reactions
234 Replies
3K Views
Mbunge viti Maalum wa Kagera Devotha Daniel Mburarugaba kwenye kipindi cha maswali na majibu bungeni leo Februari 5, 2026 amehoji Serikali imeweka mikakati gani kuhahakikisha maafisa wanapata...
0 Reactions
1 Replies
89 Views
Nahakama feki: alitoa mabango ya ccm kapewa kesi ya wizi wa ng'ombe kwa silaha
1 Reactions
8 Replies
248 Views
Rais Samia Suluhu Hassan, jana usiku alishiriki katika uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS) uliofanyika jijini Dubai, hatua inayolenga kuimarisha nafasi ya Afrika katika kuvutia...
2 Reactions
5 Replies
162 Views
Suala zima la kumwaga damu za watu ili muwe madarakani linatakiwa kuwauma kuliko mnavyo nadhania. Njia itumiwayo na kanisa katoliki la kutubu dhambi pale kwenye kichumba akaacho padri na muumini...
0 Reactions
2 Replies
163 Views
Wahusika wamekuwa wakitengeneza hadithi mbalimbali kuuhadaa umma, lakini ukweli ni kwamba watawala wana hofu ya nchi kuwekewa vikwazo vya kuuza dhahabu nje kutokana na ukiukwaji mkubwa wa haki za...
14 Reactions
15 Replies
439 Views
Wanabodi, Moja ya kanuni kuu za mwandishi wa habari is to tell nothing but the truth!, Tangu escrow ilipoanza, kwanza Suala la ESCROW Tupunguze Too Much Sensationalism na ku Dramatize, BOT...
74 Reactions
230 Replies
27K Views
Pale Mpingo House walitunza meno ya tembo na pembe za faru. Ghafla wakatamani pesa, wakatangaza kuuza. Bahati nzuri kwa TZ, Kenya walivuruga mpango huo, wakashindwa. Sasa wamekuja na jipya...
2 Reactions
3 Replies
112 Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba lile zuio feki la Mahakama la kuzuia Chadema kufanya shughuli za kisiasa limemalizika rasmi. Mwanzilishi wa Zuio Hilo ni Mzanzibar Said Issah Mohamed...
25 Reactions
48 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Makete, akichangia katika Bunge la 13, Mkutano wa Pili, Kikao cha 6, ameeleza kuwepo kwa mifuko ya vijana katika wizara mbalimbali licha ya kuwepo kwa Wizara rasmi ya Vijana...
1 Reactions
22 Replies
305 Views
  • Redirect
Wakifikia Zanzibar hakuna tabu ila Bara watatunyapaa mithili ya kinyesi Hawa wajomba wa mama. Ziara ya mama baada ya ushindi wa kishindo aliitwa na wajomba? Nina uhakika aliko ana amani kuliko...
0 Reactions
Replies
Views
Samia siyo Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba. Uchaguzi haukuwepo kwahiyo hajachaguliwa tena. Hana cha kujiuzulu. Labda tu asaidiane na wengine kutuletea serikali ya mpito, aende apumzike...
11 Reactions
23 Replies
657 Views
MBUNGE WA VITI MAALUM MARA AULIZA SWALI KUHUSU UWEKEZAJI WA VIWANDA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Ghati Zephania Chomete, ameuliza swali bungeni akiishukuru Serikali kwa majibu...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
  • Redirect
Kitu alichokifanya kabudi aibu naona mimi sijui alienda kuongea nini maskini na papa kwamba unashtaki wanaopinga mauwaji. Heti huyu ndio mnamuita genius sijui professor? ameenda kufanya kazi...
0 Reactions
Replies
Views
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ameahidi kuiombea Tanzania amani na utulivu, baada ya vurugu za Oktoba 29, mwaka jana, huku akidokeza amewahi kuishi nchini katika mikoa ya...
6 Reactions
43 Replies
763 Views
Habari wana ndugu Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi. Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke...
30 Reactions
107 Replies
13K Views
Naibu waziri wa Utumishi na utawala bora, Regina Ndege Qwaray akijibu swali la Mbunge viti maalum Latifa Juakali kuhusu serikali kutoa vipaumbele vya ajira kwa vijana wenye umri mkubwa. Naibu...
1 Reactions
18 Replies
287 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…