Hayati Magufuli enzi za uhai wake yalijengwa Maguest house mengi chato kwa mikopo ya mabenki wajenzi walikuwa ni wale AMBAO walikuwa waliamini Mzee MAGU angeishi MILELE na ndani ya miaka yake 10...
Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Kabaale – Hoima nchini Uganda kwenda kwenye peninsula ya Chongoleanimkoani Tanga nchini Tanzania kuanzia mwezi Julai, Meli ya kwanza...
Nimepitia ripoti ya robo ya pili ya mwaka ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania nimeona TCRA wametujulisha kuhusu kushuka kwa ubora wa mawasiliano ya simu nchini lakini hawajasema wanafanya nini...
Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Kufuatia kuibuka kwa kada mpya ya ajira ya uchawa, ambayo nasikia inalipa sana, kila mtu akisifia tuu uongozi au kiongozi anaitwa...
Mikataba ya serikali haramu inayofanyika kwa siri inayowahusu watanzania haikubariki inakuwa kama mtu anaingia mkataba binafsi.
Sasa kipimo cha mpumbavu ndio hiko utaona anaingia mikataba...
Unaposema mnyama fulani ana akili sana maana yake ni kwamba mnyama huyo ana uwezo wa kutunza kumbukumbu ipasavyo. Kinyume chake pia ni kweli.
Hii pia iko applicable kwa watu. Kama huna kumbukumbu...
Mashirika ya Ujasusi ya Mataifa ya Rwanda, Kenya, Marekani na Uingereza sasa yanapambana kuyafanya Mataifa yao kama maeneo ya msingi ya kukamata Uchumi wa kikanda na Kidunia.
Kwenye vyombo...
Hii ni Aibu sana kwa Chawa wote wa hapa JF na kwingineko, Teuzi zote zinatoka Msoga na nyie Mamluki hamna ushawishi wowote yaani.
Soma Pia: Mabadiliko ya Wizara Mbili na UTEUZI, Februari 6, 2026...
Mashirika ya haki za binadamu nchini Tanzania, yakiwemo Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika...
Hii nchi jamani, yaani hii tume useless ata aibu haina, Kwa kilichotokea MO29 unaanzaje kupoteza muda kufanya investigation Kwa kuwahoji kina
Majaliwa
Nape Nauye
Chalamila
Dr.Mpango
Makalla...
"Rais alisema ataunda tume jambo jema kabisa na mimi nikaona kwa uzoefu wangu tuunde tume ya kijaji, ukienda Kwenye account ya X utaona kwamba nilipendekeza i iundwe tume ya kijaji.
Sasa kama...
Asnte sana Maxence Melo ubarikiwe.
Tunajitahidi kuandika sense na si vinginevyo.
Watawala wangelijua hilo, ingeliwasaidia sana kujua direction nzuri ni ipi.
Lakini wao wanasema direction ya...
Shilingi ya Tanzania imeanza kushuka thamani dhidi ya dola ya Marekani. Kwa data za BoT kwa kipindi cha Jan 26 hadi Feb 5, thamani ya Shilingi imeshuka kwa takriban 3%.
Ikumbukwe kuwa bado...
Mpo salama wote.
1. Nataka niwahakikishie kipindi hiki kitakuwa kipindi kizuri Sana kwa ambao wataendelea kuwa machawa.
2. Watapata pesa nyingi Sana kutokana na kuwa ni kazi ngumu ya kujitoa...
Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Bakari Shingo, amejiondoa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi za uwakilishi wa Tanzania kwenye taasisi muhimu za kimataifa za mabunge baada ya kushindwa kukidhi...
Mungu wa CCM na Mungu wa Mwenyekiti wa CCM, siyo sawa na Mungu wa CHADEMA na Lissu. Hawa ni Mungu tofauti.
Mungu wa Mafwele, Wambura na Mkunda, Mulilo siyo sawa na Mungu wa wengine.
Na...
Uamuzi wa Mahakama Kuu katika Kesi ya Saidi ISSA Mohamed & Wenzake vs Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA & Katibu Mkuu wa CHADEMA juu ya pingamizi ya mamlaka ya Mahakama kusikiliza kesi hiyo utatolewa...