Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

"Najua nitakufa sitapona ugonjwa huu nawaacha watanzania wangu najua watalia sana nami nitawaombea kwa Mungu, naondoka nikiwa nime waachia taifa moja lenye umoja na amani. Wosia wangu kwao...
11 Reactions
97 Replies
2K Views
Rai imetolewa na Mjumbe wa Tume HURU Dr Cde Balozi Ramadhan Omar Mapuri kwa kuhimiza uwajibikaji.
0 Reactions
9 Replies
560 Views
Licha ya kuitwa mbabe, dikteta na majina mengine mabaya, Magufuli alikuwa na mvuto wa pekee kwa wananchi kiasi kwamba hata hotuba zake zilivuta usikivu mkubwa sana kila kona ya dunia. Raia...
5 Reactions
16 Replies
787 Views
Kwa sasa, CCM inapitia wakati mgumu kiuongozi, pengine kuliko wakati wowote ule wa uhai wake. CCM ilijigeuza kutoka chama cha ukombozi na kuwa chama cha kuleta maendeleo na ustawi kwa wananchi wa...
13 Reactions
79 Replies
5K Views
Sisi watanzania huwa tuna utaratibu wetu wa miaka mingi unaitwa "bora tukose wote" Kwahiyo msishangae Sana hii hali kutokea. Faida zake ni chanya na hasi .
1 Reactions
3 Replies
337 Views
Waliotoa mchele na pesa ndani ya CCM mwaka wa uchaguzi wameitwa watoa rushwa lakini Rais Samia ametoa baiskeli na manguo na yeye mbona hamsemi anagawa rushwa ? mwambieni Samia unatoa rushwa pia...
4 Reactions
18 Replies
782 Views
wahuni wameogopa kumshindàisha maza na makada wengine, Ivi hili lina chochote cha kutueleza juu ya uwezo wa maza kwenye Medani husika za uongozi na siasa kiujumla ?? Na je, hii haileti ishara...
23 Reactions
105 Replies
4K Views
Huenda uchangiaji pesa wa tone tone kwenye kibakuli ukahamia kwenye nyumba za ibada, baada ya uchangiaji wa tone tone kidigitali na kwenye mikutano ya hadhara kukauka na wanachadema kugoma...
2 Reactions
67 Replies
2K Views
2005 Top 3 waliochujwa Jakaya Mrisho Kikwete Dr Salim Ahmed Salim Prof Mark James Mwandosya Wagombea wengine Frederick Tluway Sumaye John Samwel Malecela Getrude Mongela Patrick Chokala...
11 Reactions
44 Replies
3K Views
Wana Jf, hivi ndugu Omary Mapuri aliyekuwa Propagandist wa CCM miaka ya 90 yupo wapi? Na je, mnakumbuka propaganda zake? Mwenye taarifa atujuze.
1 Reactions
13 Replies
3K Views
GT Kati ya watu ambao waliiokoa CCM kimawazo hasa siku za hivi karibuni alikuwa ni hayati Ben Mkapa kikwete ilikuwa imeshamshinda. Ujio wa Magufuli ulirudisha heshima na nguvu ya chama lakini...
2 Reactions
1 Replies
276 Views
Kila zama na kitabu chake..by Ali Hassan Mwinyi Tuangazie namna Tanzania yetu tungetaka iwe leo zama hizi. Ndoto zangu na zako mdau tuziunganishe. Hata Traore alianza na ndoto. Mabadiriko...
0 Reactions
4 Replies
243 Views
Sheria zetu za uchaguzi zinatamka wazi kuwa tokea mtu ametangaza nia ya kugombea, akianza kugawa zawadi kwa wapiga kura, hiyo itahesabika ni rushwa. Sa100 tangu alipojitangaza kuwa yeye ni...
5 Reactions
6 Replies
697 Views
NCHIMBI ALIVYOSUSAGA KIKAO CHA KAMATI KUU KISA WAGOMBEA KUENGULIWA KWA MASLAHI YA VIONGOZI https://youtu.be/x3vkxb2cAvI?si=cDvCP7UU7A0QTtu6
0 Reactions
0 Replies
319 Views
WAZIRI wa Nchi OR Utumishi na Utawala bora, George Boniface Simbachawene na Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima wanatajwa kwenye mbio za Urais mwaka 2025 mara tu baada ya Bunge la Bajeti...
23 Reactions
182 Replies
9K Views
Falsafa ya 4rs ndio iliyowapa fursa na nafasi ya wananchi wote kuungana tena na waTanazania wengine baada ya kujificha kwa mabeberu kwa kipindi kirefu kwa sababu na visingizio mbalimbali vya...
0 Reactions
29 Replies
803 Views
Wakati Mwl. Julius K. Nyerere anaongoza mapambano ya kuwaondoa wakoloni nchini, lengo kuu lilikuwa Tanganyika ijitawale na haswa kutimiza ndoto yake ya kuliunganisha bara la Afrika kuwa kitu...
1 Reactions
18 Replies
587 Views
Wanabodi Rais Samia alipoingia madarakani, amekuja na falsafa yake mpya ya 4R, kwa jina maarufu 4R za Samia. Je hizi 4R za Samia, zimesaidia kitu au ni maneno maneno tuu?. Karibu Tuzijadili...
1 Reactions
52 Replies
2K Views
Watanzania sasa hivi wamechachamaa hawamtaki Samia, kelele kibao mtandaoni Lakini ukitazama kwa umakini, Watanzania hii imekuwa ndio tabia yao, wanasema hawamtaki kiongozi ila akindoka wanatamani...
9 Reactions
48 Replies
2K Views
Hakuna haja ya kupiga Porojo nyingi, Angalia Mwenyewe Julai 20, 2025 Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini Mhe. Aida Khenani amefanya kikao cha ndani katika kata ya Kirando Jimbo la Nkasi Kaskazini...
26 Reactions
64 Replies
5K Views
Back
Top Bottom