Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

My Take Ongezeko la mishahara limemwaga pesa mtaani na kuongeza mzunguko wa Fedha. ===== Chini ya Rais Samia, mishahara ya watumishi wa umma imeongezeka ikilinganishwa na mwaka 2020|21. Katika...
6 Reactions
93 Replies
3K Views
Hali ya kisiasa katika kata ya Msimbati imechukua mkondo wa taharuki, baada ya baadhi ya wananchi kudai kuwa hawatashiriki kupiga kura kufuatia jina la diwani wao kukatwa kwenye mchakato wa uteuzi.
8 Reactions
39 Replies
3K Views
Haya makundi historia ndani ya CCM itawakumbuka sana Nawatakia Dominica njema 🙏
0 Reactions
1 Replies
324 Views
Hili ni jambo la kipekee sana linakwenda kutokea nchini kwetu baada ya uchaguzi mkuu wa kihistoria wa oct.29,2025. Uhakika wa ushindi wa kishindo kwa ccm ni wa kiwango cha juu sana, kwasababu...
2 Reactions
72 Replies
2K Views
CCM imeamua kuwaacha wagombea wenye ushawishi kwa wananchi kwa kuwakomoa kwa kuamini yeyote ikimuweka anapata ubunge. Hata walioachwa hawana pa kwenda kwani wakifanya hivyo visasi vitawafuata...
1 Reactions
0 Replies
400 Views
Kada wa CCM , Msomi wa masuala ya Uchumi na Usimamizi wa Miradi, Mfanyabiashara na mdau wa maendeleo ya jamii, Comrade Enock Koola ameteuliwa na chama chake cha CCM kugombea jimbo la Vunjo...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Mpaka sasa nchi nzima tunakubaliana kwamba utendaji wa serikali unazorota kila kukicha, wafanyakazi wa serikali wanafanyakazi wanavyojisikia, kama hauamini hili subiri utakapopata shida ya...
8 Reactions
63 Replies
3K Views
Baada ya Tundu Lissu kukiri kutamka maneno ya uasi na kukinukisha Jamuhuri imekosa mashahidi. Mawakili wa Serikali walidhani kuwa Lissu angekanusha matamshi yake kwa hiyo wakaandaa mashahidi...
122 Reactions
240 Replies
19K Views
Watanzania wazalendo kwa nchi yao wanajiuliza kwa jinsi jua lilivyokali mwaka huu hivi ingekuwaje mgao wa umeme kama Hayati Magufuli asingejenga bwawa la umeme la mwl Nyerere?. Ni majenereta...
8 Reactions
33 Replies
1K Views
c&p Kutoka X Hawa ndio wanapambana kwa nguvu zote ili wamnyonge Lissu. Tuwaombee maisha marefu ili nao siku moja wavalishwe pingu na kusimama Kizimbani Nassoro Katuga Tawabu Issa Job mrema...
4 Reactions
1 Replies
549 Views
Combination ya Makonda na Sabaya kwenye serikali ya awamu wa tano ilikuwa ya kuotea mbali na shida za wananchi zilitatuliwa papo kwa papo field. Sasa baada ya Makonda kurudi kama katibu mwenezi...
-8 Reactions
76 Replies
3K Views
Jimbo la Chato ni kama limetelekezwa na mbunge wake Medard Kalemani kwani toka atumbuliwe kwenye nafasi yake ya waziri wa nishati amegeuka bubu. Chato ilijengwa stendi nzuri sana ya mabasi lakini...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Akizungumza na Wananchi kwa njia ya Mtandao kutokea Baharini, Sugu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, pamoja na mambo mengine ameeleza jambo la kufedhehesha, ambalo linafichwa...
3 Reactions
13 Replies
896 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Gairo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ahmed Shabiby ameaminiwa tena na chama chake kupeperusha bendera kwenye mbio za ubunge wa jimbo hilo kwa mwaka...
2 Reactions
9 Replies
557 Views
Bwana Humphrey Polepole keshatuandaa vema kumsikiliza leo tar 21. O8. 2025.. Ni tangazo lenye hamasa kwamba litatokea jambo kubwa.. Kwa maneno yake ya siku za nyuma aliwahi kusema wasipomsikiliza...
40 Reactions
197 Replies
9K Views
Watajwa hapo juu waliunga mkono Juhudi za Shujaa Magufuli na Mungu wa mbinguni anazidi kuwabariki Tunakumbushana tu Nawatakia Dominica njema 🙏✔️
1 Reactions
2 Replies
289 Views
Mimi ni mwanachama halali kabisa wa ccm,niliomba kubadilishiwa kadi yangu iwe katika mfumo mpya. Mwezi july walinitumia ujumbe kuwa kadi yangu iko tayari,wakaniambia niende na kadi zangu za nida...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Kutokana na hali ilivyo CCM hawawezi kukubali nchi nzima washinde wao tu.. Kumbuka kuna makubaliano na ACT na Chaumma kuachiwa baadhi ya majimbo ili kuaminisha taasisi na jumuiya za kimataifa...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom