Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ili kutunza Amani yetu ni vizuri likabaki jina moja tu. NB: Mboe aende CHAUMWA apitishwe chap kuwa mgombea Urais kuzuga wapiga Kura na wafadhili.
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Au kwa sababu siku hizi tuna kizazi cha “ School Bus “? Huwa napenda kumtolea mfano Dr Nchimbi na 2030 nitampigia Kampeni nchi nzima kwa sababu hajawahi kuyumba wala kuyumbishwa kwenye utumishi...
3 Reactions
6 Replies
317 Views
Kwa yanayotokea kuna ushahidi kwamba ccm ilikiuka au haikufuata taratibu kumpata mgombea wao wa nafasi ya urais. Ofisi ya msajiri wa vya siasa imewachukulia hatua gani? Au nayo iko sehemu ya ccm...
4 Reactions
47 Replies
1K Views
Hakuna nchi ambayo haina mtu anayenung’unika- hakuna, hata ungelifanyaje kutakuwa na mtu pale ana matatizo yake na atanung’unika kwa wakati wake na mahali alipo. Ukisema watu wananung’unika nchini...
1 Reactions
1 Replies
278 Views
Mojawapo ya sekta zilizochaguliwa kupewa kipaumbele na Dira2050 ya maendeleo katika kuleta mageuzi kiuchumi ifikapo 2050 ni sekta ya madini ambayo kwa kipindi cha miaka kumi (2014-2024) imekuwa...
1 Reactions
8 Replies
418 Views
Kumbe jamaa aliwahi kuwa mkweli kusimamia utaratibu akatoswa mbaya. Huwa wanasema huyu jamaa sio msomi lakini kwa hilo amekuwa zaidi ya wasomi. Viva Lusinde Viva! Viva Kibajaj Viva!
11 Reactions
70 Replies
4K Views
Muda wa kampeni ukafika. Kampeni ilianza kati ya Trump na Rais Joe Biden. Mdahalo wa kwanza ukaandaliwa kati ya Trump na Biden. Biden akafanya vibaya pamoja na kuibiwa maswali ya mdahalo kabla...
17 Reactions
45 Replies
3K Views
Ibra Line, ambaye ni mtia nia kupitia CCM, anajulikana sana kwenye mitandao ya kijamii akitoa mamilioni ya fedha kama michango katika makanisa na misikiti huko Moshi Mjini. Hii inakuja wakati...
0 Reactions
3 Replies
361 Views
Kichwa cha Habari kinajieleza kinagaubaga Tunakumbushana tu Nawatakia Siku njema 🙏
2 Reactions
15 Replies
557 Views
https://www.facebook.com/share/v/15eTpk7HpN/
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Huu ndio ukweli na Mr. Slow Slow alikulia timing vizuri sana na ukaingia kwenye mtego. Kama ulishindwa kukaza kutokana na pressure iliokuwepo au kutokana na dalili mbaya ulioiona, basi ujue...
21 Reactions
52 Replies
3K Views
Familia ya Bushiri pazi wamshukuru Rais Samia kwa msaada wa kisheria waliopata kurudisha nyumba yao iliyopo Congo mchikichi iliyodhulumiwa kwa takribani miaka 25 iliyopita
0 Reactions
10 Replies
673 Views
Usajili wa Vyeti vya Kuzaliwa kwa Watoto Chini ya Miaka Mitano ni Haki ya Msingi Inayopaswa Kutekelezwa kwa Wakati – Mhe. Randeep Sarai Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada, Mhe. Randeep...
0 Reactions
0 Replies
253 Views
Walitaka Uraisi kwa miaka 10 lakini wote hawapo!! Tubadilishe mifumo badala ya uchawa
1 Reactions
4 Replies
616 Views
"ACT NDIO CHAMA KICHANGA KWA UMRI NA KINACHO KUA KWA KASI ZAIDI TANZANIA" - Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Ndg. Ado
1 Reactions
9 Replies
399 Views
Kauli ya Daniel Kalinga Mtumishi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Wakati akifunga mafunzo kwa Watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo kutoka mikoa ya Iringa,Ruvuma na Njombe.
0 Reactions
1 Replies
368 Views
Kuweni makini sana na hicho mnachokitamani. Ukweli siwezi kuwaficha na upo wazi, Hata iweje, Hio nafasi mnayotamani master planner achomoke haiwezi kubaki wazi, Never ! Ni lazima itajazwa muda...
2 Reactions
1 Replies
449 Views
Mwenyekiti wa CCT Ask Shoo ametoa hotuba ambayo sikutegemea. Kwenye hotuba yake ya kufungua Mkutano mkuu wa CCT Leo jul 3, 2025 mjini Dodoma alinyooka kwenye kauli yake ya kuunga mkono wazi...
12 Reactions
55 Replies
3K Views
Heche amesema Serikali kupitia Mpiga Chapa wake mkuu imesema kanuni za Uchaguzi zitasainiwa wakati wa operation hivyo kama zitakuja zikiwa zimerekenishwa basi Chadema itangia kwenye Uchaguzi mkuu...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Viongozi wa dini, wazee wa mila na asasi za kiraia wametakiwa kushirikiana kwa karibu katika kupambana na vitendo vya rushwa wakati huu taifa likielekea kwenye uchaguzi mkuu, ili kusaidia jamii...
0 Reactions
3 Replies
408 Views
Back
Top Bottom