Au kwa sababu siku hizi tuna kizazi cha “ School Bus “?
Huwa napenda kumtolea mfano Dr Nchimbi na 2030 nitampigia Kampeni nchi nzima kwa sababu hajawahi kuyumba wala kuyumbishwa kwenye utumishi...
Kwa yanayotokea kuna ushahidi kwamba ccm ilikiuka au haikufuata taratibu kumpata mgombea wao wa nafasi ya urais.
Ofisi ya msajiri wa vya siasa imewachukulia hatua gani?
Au nayo iko sehemu ya ccm...
Hakuna nchi ambayo haina mtu anayenung’unika- hakuna, hata ungelifanyaje kutakuwa na mtu pale ana matatizo yake na atanung’unika kwa wakati wake na mahali alipo. Ukisema watu wananung’unika nchini...
Mojawapo ya sekta zilizochaguliwa kupewa kipaumbele na Dira2050 ya maendeleo katika kuleta mageuzi kiuchumi ifikapo 2050 ni sekta ya madini ambayo kwa kipindi cha miaka kumi (2014-2024) imekuwa...
Kumbe jamaa aliwahi kuwa mkweli kusimamia utaratibu akatoswa mbaya. Huwa wanasema huyu jamaa sio msomi lakini kwa hilo amekuwa zaidi ya wasomi. Viva Lusinde Viva! Viva Kibajaj Viva!
Muda wa kampeni ukafika. Kampeni ilianza kati ya Trump na Rais Joe Biden. Mdahalo wa kwanza ukaandaliwa kati ya Trump na Biden. Biden akafanya vibaya pamoja na kuibiwa maswali ya mdahalo kabla...
Ibra Line, ambaye ni mtia nia kupitia CCM, anajulikana sana kwenye mitandao ya kijamii akitoa mamilioni ya fedha kama michango katika makanisa na misikiti huko Moshi Mjini.
Hii inakuja wakati...
Huu ndio ukweli na Mr. Slow Slow alikulia timing vizuri sana na ukaingia kwenye mtego.
Kama ulishindwa kukaza kutokana na pressure iliokuwepo au kutokana na dalili mbaya ulioiona, basi ujue...
Familia ya Bushiri pazi wamshukuru Rais Samia kwa msaada wa kisheria waliopata kurudisha nyumba yao iliyopo Congo mchikichi iliyodhulumiwa kwa takribani miaka 25 iliyopita
Usajili wa Vyeti vya Kuzaliwa kwa Watoto Chini ya Miaka Mitano ni Haki ya Msingi Inayopaswa Kutekelezwa kwa Wakati – Mhe. Randeep Sarai
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada, Mhe. Randeep...
Kauli ya Daniel Kalinga Mtumishi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Wakati akifunga mafunzo kwa Watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo kutoka mikoa ya Iringa,Ruvuma na Njombe.
Kuweni makini sana na hicho mnachokitamani.
Ukweli siwezi kuwaficha na upo wazi, Hata iweje, Hio nafasi mnayotamani master planner achomoke haiwezi kubaki wazi, Never ! Ni lazima itajazwa muda...
Mwenyekiti wa CCT Ask Shoo ametoa hotuba ambayo sikutegemea.
Kwenye hotuba yake ya kufungua Mkutano mkuu wa CCT Leo jul 3, 2025 mjini Dodoma alinyooka kwenye kauli yake ya kuunga mkono wazi...
Heche amesema Serikali kupitia Mpiga Chapa wake mkuu imesema kanuni za Uchaguzi zitasainiwa wakati wa operation hivyo kama zitakuja zikiwa zimerekenishwa basi Chadema itangia kwenye Uchaguzi mkuu...
Viongozi wa dini, wazee wa mila na asasi za kiraia wametakiwa kushirikiana kwa karibu katika kupambana na vitendo vya rushwa wakati huu taifa likielekea kwenye uchaguzi mkuu, ili kusaidia jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.