Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwana mtandao wa muda mrefu na mtoto wa mjini Rais msitaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete alishindwa kumwachia urais anayemtaka 2015 baada ya wazalendo wa nchi kuchukua hatua kali za kulinda nchi...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Peres Magiri ametoa wito kwa wananchi kutambua umuhimu wa lishe Bora kwa afya ya mwili wa binadamu kwani ni Msingi wa mambo mengi ikiwemo kufanyakazi na kufikiri sawasawa...
0 Reactions
2 Replies
410 Views
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewateua Rais Samia Suluhu Hassan na mgombea mwenza wake, Dk Emmanuel Nchimbi, kugombea nafasi ya urais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
3 Reactions
8 Replies
796 Views
Tuwe tu wakweli. Polepole anatafuta tu kick. Mnaotegemea CCM itatikisika kwa porojo za Polepole mnajidanganya. Kwa CCM ,Polepole ni debe tupu,litapiga kelele ila usiku wake utafika litalala...
10 Reactions
116 Replies
3K Views
Nimejiridhisha kuwa Gwajima hana kumbukumbu au anatumika vibaya. Siamini kama Gwajima hajui namna yeye alivyoteuliwa na vikao vya CCM kuwa mgombea ubunge wa Kawe. kama amesahau kuwa kwenye...
4 Reactions
17 Replies
868 Views
Michael Kimbaki, Mshindi wa Kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kuwania Ubunge Jimbo la Tarime Mjini, amekubali maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM yaliyompendekeza Ester Matiko kuwa...
1 Reactions
3 Replies
614 Views
Amejenga vituo vya polisi 472 vya kata na kuboresha makazi ya askari. Na kutoa magari mapya ya polisi ili kurahisisha utendaji wa majukumu
0 Reactions
5 Replies
342 Views
Wakuu habari, Tufuatilie live ya Jeshi la Polisi ikitoa tamko kuelekea kampeni za vyama vya siasa inayotarajiwa kuanza kesho Agosti 28, 2025 https://youtu.be/oMKspe2-o1Y?si=K58UWSQsgIJMBPg7...
0 Reactions
7 Replies
653 Views
Mtunga Sheria? Mtu anayetakiwa kusimamia serikali bungeni?!! TISS mpo, tume ya uchaguzi mpo, CCM mpo? Je huyu anajua kusoma na kuandika ?
39 Reactions
91 Replies
7K Views
Nasamehe janja, ila kupiga ulikuwa unapiga ila sio kivile tulivyokuwa tunaaminishana kitaani. Siamini ulikuwa unagusa hata 1%. Huu ni msimamo wangu mwenyewe sio wa chama. No reforms no election...
0 Reactions
6 Replies
737 Views
TAARIFA KWA UMMA Kesho Agosti 28,2025 kama ilivyotangazwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kampeni za wagombea nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani zitaanza rasmi. Jeshi la Polisi...
0 Reactions
4 Replies
335 Views
1. Mgombea urais wa CCM ni halali japo walivunja katiba yao. 2. Mgombea wa ACT ni batili amevunja katiba yao. 3. Mgombea wa chadema ni mhaini yuko jela. 4. CCM mbele kwa mbele.
9 Reactions
43 Replies
2K Views
Tanzania Kunufaika na Fursa Lukuki Kupitia Ushirikiano wa Afrika na Singapore Miongoni mwa maeneo ya ushirikiano ni masoko ya mazao ya kilimo, elimu na mafunzo kwa vijana, nishati jadidifu, na...
0 Reactions
0 Replies
365 Views
Palikuwa na uzi humu: Soma: Polepole kuitisha mifumo ya uchaguzi na NIDA kuhusiana na CCM kukaguliwa, ili kujiridhisha ina maana gani kiufundi? Uzi huo ulikuwa na maelezo ya kina katika lugha...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=Z2GEtzscmaY https://www.youtube.com/watch?v=2cTVOqAW2xg Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akirudisha fomu ya Uchaguzi...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshiriki hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Afrika na Singapore (SAMEV), uliofanyika tarehe 26 Agosti 2025 jijini...
1 Reactions
1 Replies
376 Views
  • Closed
Heshima sana wanajamvi, Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025. Inakadiriwa kanisa Katoliki...
47 Reactions
218 Replies
9K Views
Wanabodi, Leo, naendelea na zile mada zangu fikirishi za KMT, Kwa Maslahi ya Taifa。Somo la leo ni la kitu kinachoitwa “Kibali”。 Kufuatia Watanzania waliowengi hawapendi kusoma vitu virefu,mada...
37 Reactions
161 Replies
11K Views
Aliongeza kuwa Wizara ya Fedha imeidhinisha bajeti ya dharura ya dola milioni 18.7 ili kuushughulikia mzozo huo. Rais Duma Boko alisema jeshi litasimamia usambazaji wa dawa za dharura, huku...
1 Reactions
2 Replies
415 Views
Akina Mpina, Cyprian, Massey nk Wote wamekwenda act wazalendo Chaumma kuna nini mbona hawaendi? 🐼
0 Reactions
14 Replies
729 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…