Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kelele tu hizi za mitandaoni hazijawah kuwastua ccm. Wanaharakat uchwara endeleen kuteseka
2 Reactions
9 Replies
435 Views
Jana kwa mara ya kwanza zilifanyika tuzo za “TanzaniaCreators Awards” nchini. Nashukuru kuwa mmoja wa washindi wa tuzo hizo Ni hatua nzuri saaaana kwa watengeneza maudhui nchini.Kwa habari...
5 Reactions
5 Replies
236 Views
  • Featured
"Maridhiano ni jambo la hiari" Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumza Februari 10, 2026 katika mahojiano na BBC Swahili, amesema endapo kutakuwa na wadau watakaokataa kushiriki...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Wanabodi, Kwanza naomba kuchukua fursa hii kuungana na Wana JF wenzangu kupeana pole kwa kilichomkuta Mkuu Max. Alipokamatwa nilikwenda kumuona pale central na kuzungumza nae kwa kina. Kwa sasa...
51 Reactions
128 Replies
13K Views
Hayawi hayawi yamekua sasa Chadema Rasmi yakubali Maridhiano awali walikua wanasema hawataridhiana na Serikali haramu lakini sasa wamekubali wenyewe kwa masharti mawili. Hii ndo maana ya Siasa...
2 Reactions
36 Replies
750 Views
Anatenda kama hatendi,... Matendo yake yanafunikwa sana na kelele za mitandaoni lakini namuona ni kiongozi aliyeamua kutizama lengo na adhma yake kwa nguvu ya pekee. Kwa mawimbi anayopigwa nayo...
4 Reactions
54 Replies
502 Views
Ukimsikiliza Polepole utagundua hakuna cha maana sana anachokipigania, malalamiko yake mengi ni kama yanatokana na kuwekwa mbali na meza kuu au kutomkubali tu Mwenyekiti wa chama chake. Hayo...
17 Reactions
108 Replies
3K Views
Ilikuwa katikati ya miaka ya 1990 nikiwa afisa mdogo Makao Makuu ya Tanzania Harbours Authority (THA) katika Idara ya Masoko iliyokuwa ikiongozwa na Dr. Ramadhani Kitwana Dau. Idara hii ilikuwa...
62 Reactions
185 Replies
28K Views
  • Redirect
Jeshi la Magereza Tanzania linapenda kuujulisha umma kuwa, katika kutekeleza majukumu yake ya kuwapokea, kuwahifadhi na kuwarekebisha wale wote wanaoshikiliwa gerezani, wakati wote limekuwa...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu 'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza. Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili...
77 Reactions
405 Replies
65K Views
TAARIFA KWA UMMA JUU YA BARUA NILIYOIPOKEA KUTOKA KWENYE TUME YA UCHUNGUZI KUHUSU MATUKIO YA TAREHE 29 OKTOBA 2025 Nimepokea barua yenye Kumb. Na. SAE. 351/527/01 ya mwaliko/ombi la kuhudhuria...
34 Reactions
56 Replies
930 Views
https://www.youtube.com/watch?v=VvgEZ6hch6A Kwa mara nyingine tena, kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar wa Oktoba 29 mwaka jana zimeambatana na kikwazo baada ya upande wa Jamhuri...
1 Reactions
6 Replies
162 Views
Napenda kuwakumbusha Raisi Samia na CCM wote kwamba neno demokrasia halina maana sawa na haki, na wala demokrasia haihalalishi haki, na pia inaweza kupindisha haki au hata kuhalalisha ukosefu wa...
6 Reactions
17 Replies
255 Views
  • Redirect
Dubai CEO named in Epstein files resigns from DP World Story by Omar Abdel-Baqui DUBAI—DP World Chairman and Chief Executive Sultan Ahmed Bin Sulayem resigned from the Dubai-based global ports...
0 Reactions
Replies
Views
Sikutegemea kabisa kwa zama hizi kama serikali ingekuja na aina hii ya kuficha shahidi kwenye kiboksi cha plywood. Teknologia imekua sana huwezi kutumia kisanduku cha maboksi kumficha mtu, sauti...
8 Reactions
21 Replies
586 Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imeahirisha usikilizwaji wa mashahidi wa upande wa mashtaka katika kesi ya makosa ya mtandao inayomkabili Mchungaji Godfrey Malisa, baada ya mshtakiwa kuomba...
1 Reactions
6 Replies
307 Views
Bahati mbaya kwakuwa sasa maendeleo aliyoyafanya Samia yako wazi kabisa wanaomtukuza Magufuli wanaishia tu kusema angekuwa hai mpaka sasa tungekuwa mbali sana. Ahahaha 😂 😂 😂 😂 Huu ni...
2 Reactions
63 Replies
705 Views
Wakuu, Hili la Mkuu wa Mkoa kuwaita Wachina wahuni nyie wenzangu mnalionaje? Mkisikiliza huko mwisho anasema: "Sasa hawa ni wahuni. Pengine nyie mkiona hizo sura mnadhani hawa ni Wachina wa...
1 Reactions
5 Replies
279 Views
  • Redirect
shahidi wa leo ndio huyu, hawa ndio akina lucas wanaotusumbua humu jf hawajui wanafanya nini akili zao zipo uchi.
0 Reactions
Replies
Views
Ndugu zangu Watanzania, Watu wanakwenda kwenye nyumba za ibada kusikiliza neno la Mungu na siyo kwenda kusikiliza hisia za mtu na mtizamo wake wa kisiasa au mapenzi yake kwa chama fulani cha...
2 Reactions
42 Replies
431 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…