Tundu Lissu 🗣️Na Nyie ambao mna watoto mnawapeleka kuwa askari polisi mnawapeleka kwenda kutenda Dhambi za kusema uongo, mjue hivyo.
Kauli ya Mheshimiwa Tundu Lissu kwamba watoto wanaopelekwa...
Mpo salama!
Kwa uelewa wangu nafahamu Wazalendo(wapenda nchi) wa dhati wapo popote.
Kuna Wazalendo wapo CCM.
Kuna Wazalendo wapo CHADEMA
Kuna Wazalendo wapo vyama vingine vya upinzani.
Na kuna...
Wanabodi
Hili sio bandiko la kila mtu, ni bandiko la wale tuu wenye jicho la 3 na sikio la tatu.
Leo Rais Samia, akiwahutubia maofisa ugani, Ikulu ya Chamwino, kuna kitu Rais Samia amekisema...
Wanabodi,
Hii ni barua ya wazi ya mtu akimuandikia Dada yake.
Japo Dada yake huyo ni mtu mzima, ameolewa na ana watoto, hivyo kwa watoto wake wanamwita Mama na ana wajukuu ambao wanamwita Bibi...
Wakuu,
JAL flight 123, few seconds to impact, kapteni alimwambia co-pilot, "it is the end". Ni maneno ambayo aliniambia mkuu mara baada ya kufika ofisini kwake.
Nilijua hapa anao ujumbe fulani...
Hivi hawa ni watu kweli? Au serikali hii inaongozwa na Mashetani ila hatujui?
Mtu unamfungia jela miezi 10 ili hali ukijua kuwa Hana kesi ila unamkomoa, halafu una mleta mahakamani anakopambana...
Dr. Ferdinand Masau (Bingwa wa Magonjwa wa Moyo na Upasuaji) aliamua kuacha kazi nzuri ya kulipa huko Marekani na kurudi nyumbani kuleta ujuzi wake na vipaji vyake ili kusaidia Watanzania wenzake...
Ndio Maana hata hawawaandai kabisa Mashahidi wao wa mchongo, zaidi ya kile kibanda cha mbao kilichotengenezwa Keko Fenicha kwenye ofisi za SUMA JKT
Ukimsikiliza shahidi wa kificho aliyepachikwa...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 44 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.
Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio...
Kwa jinsi Magufuli alivyowakosesha agenda za kusimamia, njia za kutengeneza matukio zinaweza kwa mtazamo wao kuwa ni mbadala wa kujiongezea umaarufu.
Haya matukio ya akina Lwakatare yalikuwa na...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ametoa rai kwa wabunge kupinga na kusahihisha upotoshaji wa taarifa kuhusu Muungano, hususan kupitia...
Kwa muda mrefu tumeilalamikia katiba yetu kwamba inabana demokrasia. Hata hivyo ni mara chache mno tumeweza kutaja vipengele ambavyo ni tatizo. Leo nimeamua kwa kuanzia kutajia ibara angalu mbili...
Kesi ya Lissu: Shahidi anasema hajui kama kuzuia uchaguzi, kuandamana ni kosa sasa mtu kama huyu ameendaje mwenyewe polisi kushtaki kosa?
Kuna upumbavu mwingi sana kwenye jeshi la polisi lazima...
Salaam Wakuu,
Yaani sasa ndo nimegundua kwamba, Mtu akipata madaraka kwa kumwaga damu, anakuwa ananuka damu hata aoge kwa jiki.
Juzi Karikaoo wakati wa Uzinduzi wa Soko lililoungua, baada ya...
Tanzania ilijengwa juu ya misingi ya haki, usawa, na heshima ya uhai wa binadamu. Lakini ni lazima tujiulize kwa ujasiri: Je, bado misingi hiyo inaheshimiwa? Je, Taifa linaweza kusonga mbele...
Mzee Kipara huko alipo Bombuli atakua anakumbuka safari za nje na CHIEF. Mpaka sasa amemiss ile ya;
1. Kagame Inauguration, Rwanda.
2. SADC Summit Zimbabwe,
3. Kenya kwa Odinga AUC
4. China...
Jana kwa mara ya kwanza zilifanyika tuzo za “TanzaniaCreators Awards” nchini.
Nashukuru kuwa mmoja wa washindi wa tuzo hizo Ni hatua nzuri saaaana kwa watengeneza maudhui nchini.Kwa habari...