Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Mashariki kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jesca Kishoa, amesema anajilaumu kuchelewa kujiunga na CCM baada ya kutumia muda mrefu akiwa Chama cha CHADEMA...
0 Reactions
0 Replies
224 Views
Shamra shamra za kampeni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea kushika kasi! Leo magari yenye chata la mtia nia kupitia Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda yameonekana...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Comprado... Hatutaki matajiri wapiga Dili, mtu mmoja anafanya kitu kinaitwa Transfer price faida anapata yeye in return kuwaumiza watanzania haswa wenye kipato Cha chini Kumbe yule bwana ndio...
3 Reactions
3 Replies
361 Views
Polepole leo amesema kuwa wakati wa utawala wa Magufuli, yeye alikuwa akitumika kama mtu wa kati, baina ya Magufuli na Warioba, na kati ya Magufuli na Mkapa. Akaeleza kuwa kila mara Warioba...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Revocatus Chipando, maarufu kama Baba Levo, leo ameanza rasmi kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka...
0 Reactions
4 Replies
386 Views
Hii ni fedhea, aibu na kuporomoka Kwa ukuaji wa Demokrasia. Kwa kuwa ni Uchaguzi wa maigizo ata media zinalipoti kiutani utani. By the way Kuna international observers mwaka huu? Mto wa Mbu...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Mgombea urais wa Chama cha UPDP, Twalib Kadenge amewashangaza wananchi wa Mwanza kwa staili yake ya kampeni ya kucheza muziki kila baada ya kutoa ahadi moja na kuzungumzia sera za chama chake...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Mimi niliku scout kama mtu elite na Marxist. Uliteuliwa kufanya tathmini ya Mali za chama na baadae Rais Magufuli alivutiwa na wewe akakuteua kuwa katibu mkuu wa chama na hatimae katibu mkuu...
16 Reactions
25 Replies
2K Views
Chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mradi wa Maji wa Same–Mwanga–Korogwe ulianza rasmi mwaka 2014 baada ya utafiti wa awali kuanza mwaka 2006, lakini ulikwama kwa takriban miaka 20 kutokana na...
0 Reactions
9 Replies
473 Views
Kwa hali ya sasa, wengi wanadhani Lissu kafungwa tu kama mbinu ya kawaida ya kumzuia(delay tactics), lakini mambo yatakuwa tofauti na tulivyozoea. tumezoea upinzani wakikamatwa huwa kuna nafasi...
2 Reactions
108 Replies
5K Views
Nimeshangaa sana huyu mwanaCCM kuongea namna hii. Kwamba wasiompigia kura Rais Samia wasipande SGR au kutumia barabara zilizojengwa kwa kodi za Watanzania. Hajui kuwa kila mtanzania awe CCM au...
0 Reactions
5 Replies
426 Views
Toka kwa martin maranja masese (X) "Leo utaratibu umebadilika Mahakama Kuu katika siku ya pili ya kesi ya uhaini Jamhuri Vs. Tundu A.M Lissu. Tofauti na jana ilivyokuwa, kesi imehamishwa kutoka...
12 Reactions
30 Replies
2K Views
Awamu hii ya sita, hususan baada ya Rais Samia kumteua Wambura kuwa IGP, tumeshuhudia ukatili mkubwa tena wa wazi unaotekekezwa na polisi dhidi ya viongozi na wanachama wa CHADEMA. Mara kadhaa...
3 Reactions
13 Replies
648 Views
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan akiendelea na Kampeni ya Uchaguzi Manyoni Mkoani Singida leo tarehe 09 Septemba, 2025 ameahidi kuboresha...
11 Reactions
51 Replies
2K Views
"Tutaacha yote, Tutakesha kumsubiri kipenzi chetu Samia Suluhu Hassan utumishi wake umeyagusa maisha yetu kwa namna ya kipekee kwa hakika OktobaTunatiki" sauti hizi za makundi mbalimbali...
0 Reactions
5 Replies
386 Views
Rais mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete, amesema hana pingamizi lolote kwa mkewe, Salma Kikwete kuendelea kufanya kazi za uwakilishi bungeni Amewataka wananchi wa Jimbo la Mchinga, lililopo mkoani...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Mdogo wangu Polepole heshima nyingi kwako. Kiumri ninakuzidi lakini umenizidi mengi kwenye taaluma na uzoefu. Najua unanifahamu maana tangu tukiwa wanafunzi tumefahamiana na hata ulipokuwa Mwenezi...
58 Reactions
88 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amefikishwa tena leo katika Mahakama Kuu, kwa ajili ya usikilizwaji wa mapingamizi katika kesi ya uhaini inayomkabili. Leo...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Huwa navutika kumfuatilia kila anapofanya mkutano wa kisiasa, matokeo yake naishia kuwa dissapointed, Hauishi mkutano hajataja Heche, CHADEMA n.k Wataalamu huko CCM msaidieni huyu mzee wetu...
3 Reactions
10 Replies
545 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelalamikia kile ilichodai kuwa uwepo wa askari wanaovaa kiraia wanaojazana kwenye chumba cha Mahakama huku wananchi (makada wa CHADEMA) waliojitokeza...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom