Ni miaka mingi kumekuwa na kilio cha kufanyiwa mabadiliko ya tume ya uchaguzi ila mwaka jana baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa chadema kama chama cha upinzani chini ya mwenyekiti freeman...
Habari Wana bodi, niende kwenye mada Moja kwa Moja!.
Polisi wetu Wana tabia zinazofanana, wanapenda kutumia nguvu kuliko akili(labda hawana akili), wanapenda ubabe na wanafurahia kupiga raia...
Tunaweza kujifunza sasa tukiamua kabla hazijaja nyakati ngumu.. Nguvu ya uma ni nguvu ya ajabu mno
Imewachukua vijana wa Nepal masaa 36, kupata uhuru wao kuondoa serikali isiyowajibika...
Hatujaona ushujaa kama ule,askari mmoja kapigwa teke, mwingine kapigwa ngumi.
Lakini yule mtu alikuwa cornered. He was fighting his way out.
Lakini kama alivyosema Afande Muliro,ukumbi ulikuwa...
Wakuu mimi kuna kitu bado sielewi, hivi inawezekana vipi huyu mtu kuwa na kashfa mpaka watoto wake kuanikwa hadharani anaweza vipi kulinda maslahi mapana ya nchi?
Kama yeye yuko hivyo vipi hao wa...
Inaonekana kwa sasa kuna hali isiyo ya kawaida, kana kwamba polisi wetu wanapewa posho au zawadi kubwa pindi wanapoonyesha wamempiga mfuasi wa CHADEMA. ile video inayosambaa ikionyesha mfuasi...
Mdogo wangu mwenye akili nyingi Ndg Humphrey Polepole hongera sana.
Wakuu wa vyombo vya ulinzi na Usalama wanashirikiana na watawala haramu kuifisadi nchi
Uchaguzi Mkuu 2025 ni haramu na batili...
Kwa wale tunaofuatilia habari za kimataifa tumeona jinsi raia wa Nepal hasa vijana walivyoiangusha Serikali Yao kutokana na ugumu wa maisha. Hali kama hio naiona ikija kutokea Tanzania. Nasemea...
Tume imekubali pingamizi lililowasilishwa na Ndugu Hamza Saidi Johari Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya uteuzi wa Ndugu Luhaga Joelson Mpina kuwa mgombea wa kiti cha Rais kupitia Chama cha...
Serikali kupitia wizara ya Habari, sanaa, utamaduni na michezo imepiga marufuku Vyombo vya habari na wananchi ku post au kuhabarisha hayo matukio ya mapinduzi na kusema kuwa ni kinyume na sheria...
1.Kwanza angalia Mabox ya kupigia kura
2.Polisi walikuwa hawapigi raia pamoja na vurugu
3.Mkapa anaonekana Anaogopa kama vile kasukumizwa kwenye kugombea na hakuwa tiyari
4. Naona Mzee Mrema...
Wakuu habari zenu,
Naanza kwa kutoa shukran kwa mwenyezi Mungu ambaye ametufikisha siku ya leo,
Baada ya kuwepo habari za chini chini juu ya VATICAN- YA WARUMI na UTAWALA WA TANZANIA, kwa miaka...
Mgombea ubunge wa jimbo la Ukonga kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Bakari Shingo amewaahidi wakazi wa jimbo hilo kuwa atatumia fedha za mfuko wa jimbo kutatua changamoto zao kwa haraka na...
Daraja la Ngara.
Hili daraja limejengwa na wakala wa barabara za mijini na vijijini TARURA na limegharimu kiasi cha shilingi milioni 763 kupitia mpango wa serikali wa kupunguza vikwazo...
Chukueni kila mtu lakini hili la kuchukua wanafunzi tena siku nzima ya masomo kila mwenye akili inabidi alipinge hili.
Mfano nasikia huko korogwe Tanga leo kisa nchimbi wanafunzi hawana masomo...
Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Simanjiro kupitia ACT-Wazalendo Ndg.Olekai Letion Laizer amesema kuwa ikiwa atachaguliwa kuwa mbunge wa Simanjiro atakwenda kutetea maslahi ya wananchi wa...
Watu mbalimbali mashuhuri nchini Tanzania wamelaani kitendo cha Jeshi la Polisi kuwapiga kwa virungu baadhi ya wafuasi wa CHADEMA ambao waligoma kuondoka katika nje ya Mahakama Kuu jijini Dar es...
Wananchi toka Oyster bay, Mikocheni, Kawe, Mbezi Beach, Tegeta, Mbweni na Bunju wamemchangia pesa ya kuchukua fomu na ya kampeni Miss Tanzania na Mkuu wa Wilaya Mstaafu Mheshimiwa Dr Basila...