Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Watu mbalimbali mashuhuri nchini Tanzania wamelaani kitendo cha Jeshi la Polisi kuwapiga kwa virungu baadhi ya wafuasi wa CHADEMA ambao waligoma kuondoka katika nje ya Mahakama Kuu jijini Dar es...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Wananchi toka Oyster bay, Mikocheni, Kawe, Mbezi Beach, Tegeta, Mbweni na Bunju wamemchangia pesa ya kuchukua fomu na ya kampeni Miss Tanzania na Mkuu wa Wilaya Mstaafu Mheshimiwa Dr Basila...
3 Reactions
55 Replies
4K Views
Ili kuwa mwandishi mzuri wa habari, ni lazima uwepo eneo la tukio. (To be a good journalist, you have to be there.) Ryszard Kapuściński Ni ngumu sana kulizungumzia jambo kiundani kama aukuwepo...
2 Reactions
4 Replies
540 Views
Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Kanda ya Pwani limelaani hatua ya Polisi Mkoa wa Morogoro kumshikilia mwanachama wake, Lucy Shayo, kwa zaidi ya siku tatu bila dhamana, wakidai kitendo...
1 Reactions
4 Replies
457 Views
Chama cha ACT Wazalendo kimethibitisha kuwa Mgombea wake wa Urais, Luhaga Joelson Mpina, amewekewa mapingamizi matatu ya uteuzi wake na Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na wagombea urais wa...
5 Reactions
46 Replies
3K Views
ampeni za Uchaguzi Mkuu zimeendelea katika Jimbo la Mbarali, mkoani Mbeya, ambapo baadhi ya wakazi wametoa ombi kwa mgombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bahati Ndingo, kusimamia...
0 Reactions
0 Replies
164 Views
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman leo September 13 anazindua kampeni zake katika uwanja wa Tibirinzi, Chake Chake, Pemba kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa...
2 Reactions
2 Replies
370 Views
Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina, leo Septemba 13, 2025 anatarajiwa kuzungumza na Waandishi wa Habari baada ya kurejesha fomu zake katika Ofisi ya Tume Jijini Dar es...
3 Reactions
3 Replies
511 Views
Mgombea Urais kwa tiketi ya CHAUMMA, Salum Mwalim amewaomba wananchi wautumie vyema uchaguzi kuleta viongozi bora baada ya kuwapima nia na uwezo wao wa kuchagiza maendeleo. Mwalim ametoa rai hiyo...
0 Reactions
0 Replies
189 Views
Naona sasa Zitto taa ya kijani imewaka. Comedian anapayula hovyo. Zitto anamwaga madini.
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Akiongea katika mkutano wa kampeni za Urais, mkoani Kigoma, Mgombea wa CCM, Samia Suluhu amesema jimbo la Kigoma ana watoto wawili(Baba Levo na mwingine), kwani huyo mwingine ana vibao vinavyosema...
12 Reactions
71 Replies
4K Views
Juzijuzi Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania lilitoa taarifa kwamba wanapitia majina ya vijana ambao wamechaguliwa kujiunga na jeshi hilo. Itakumbukwa kuwa mwezi April mwaka huu JWTZ walitoa...
8 Reactions
54 Replies
4K Views
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso ameainisha sababu za Watanzania kumpa kura Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan. Akizungumza kwenye...
2 Reactions
15 Replies
647 Views
Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Agnesta Lambert Kaiza amesema licha ya changamoto za kiuchumi anazodai zimesababishwa na uongozi uliopo chini ya...
1 Reactions
2 Replies
273 Views
Jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu, masjala ndogo ya Dar es Salaam, ambao ni Jaji Dunstan Nduguru, Jaji James Karayemana na Jaji Ferdinand, wametupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Tundu...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Ni aibu kubwa Rais kuwa mtuhumiwa, familia yake, wasaidizi wake, unajisikiaje amani ukiwa umezungukwa na watuhumiwa wa uhalifu, na umezungukwa na watendaji waandamizi, wanaishi maisha ya kufuja...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Hii si utani ni kwamba utaratibu wa Afrika hatutaki kuaibika wakati ukweli unajulikana CRDB wamehakiwa na kila mtanzania pesa zimeonekana kupungua kwenye account yake Na hawajui lini itarejea ni...
32 Reactions
173 Replies
10K Views
"Nimefanya ka research kidogo, kuongea na manguli kadhaa wa kadhaa pia kuchukua wasaa kujiridhisha." Yafuatayo ni Yatokanayo: Ashukuriwe mwana halisi wa nchi hii Humphrey bin Polepole...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu, Aliyekuwa mtia nia wa Ubunge jimbo la Ulanga na Mshindi wa Pili wa Kura za Maoni Mkoani Morogoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdallah Kirungu, amemuombea radhi mgombea wa...
1 Reactions
4 Replies
528 Views
Ndiyo police nyie ni ndugu zetu na wengine ni marafiki zetu na jamaa zetu pia. Tunajua nyie mko kazani lakini punguzeni kutumia nguvu kubwa pasipo na ulazima. Tukio la leo mahakamani sio tukio la...
3 Reactions
3 Replies
271 Views
Back
Top Bottom