Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Watoto wa Mkuu wa Usalama wa Taifa wakiwa wana enjoy matunda ya watanzania wasio na uchumi sahihi, Wanaonesha madolali na kutambia watanzania Wengine Nimekumbuka ilikuwa asubuhi tarehe...
63 Reactions
223 Replies
11K Views
Hii ya TANGANYIKA Na hii ya TANU Naona watu wanazichanganya sana!
7 Reactions
241 Replies
98K Views
Paroko Msaidizi wa Parokia ya Peramiho, Padre Frederick Mwabena amesema ni wajibu wa Kanisa Katoliki kutunza amani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Padre Mwabena amesisitiza kuwa...
1 Reactions
51 Replies
1K Views
John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, amekuwa mstari wa mbele katika mijadala ya kisiasa kwa njia ya mtandao, akizungumza kwa uwazi kuhusu masuala ya demokrasia, haki za binadamu, na...
0 Reactions
0 Replies
398 Views
Ipo kauli inayosema msanii ni kioo cha jamii, kwa sababu wanapaswa kuakisi na kuifunda jamii yao katika mstari ulionyooka katika nyanja zote. Kupitia sanaa yao wanalo jukumu la kuielimisha jamii...
0 Reactions
2 Replies
416 Views
Nimekuwa nikipitia mitandaoni nimeona umuhimu wa mabinti zetu katika kupambania haki na usawa. Wakati kwa miaka mingi ilikuwa inaonekana hii empowerment imekuja kumuondolea nafasi yamwanaume...
0 Reactions
3 Replies
288 Views
Salaam kwenu watukufu wanajukwaa. Nimeona nishee nanyi kile ambacho nimekihisi katika akili yangu kuwa ni hatari kwa mustakabali wa amani ya Taifa letu. Wakuu,hivi majuzi katika kesi ya uhaini...
11 Reactions
32 Replies
2K Views
Naona jamaa ameshajihakikishia nafasi mapema, hadi ameanza kupiga mikwara watu mapema ================= Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda...
0 Reactions
7 Replies
749 Views
Kwa sasa Mpina na ACT-Wazalendo wamefungua shauri lingine Mahakama Kuu, kupinga kuenguliwa kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu 2025. Pia soma > Rasmi: Pingamizi la Mwanasheria Mkuu wa Serikali...
0 Reactions
3 Replies
448 Views
Bi mkubwa anaendelea kutupangilia. Mimi nipo siti ya mbele kupata hizo fursa za kupata vipato ==================== Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi...
0 Reactions
10 Replies
458 Views
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Mwinyi, amesema endapo Watanzania watakipa ridhaa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuendelea kuongoza nchi, serikali ya...
2 Reactions
8 Replies
429 Views
Mtendaji wa kata katika ya Mwandege, jimbo la mkuranga Mkoa wa Pwani, Ally Mkawa na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Luguruni B katika kijiji cha lugwadu, Shukuru Mkumba Wameingia katika tuhuma za...
0 Reactions
10 Replies
528 Views
Baada ya CCM kula spana za kutosha kuhusu kutumia akaunti rasmi za Seriklai ikiwemo Youtube channel ya Ikulu naona somo limewaingia. Jana Septemba 18, 2025 wakati mama akifanya kampeni zake...
1 Reactions
5 Replies
398 Views
Wakili Maduhu ameonya dhidi ya vitendo vya wananchi kujaribu kushindana na askari polisi, akirejea baadhi ya video zilizozagaa mtandaoni. “Nimeona video, sijui kama ni ya kweli au imehaririwa...
2 Reactions
12 Replies
748 Views
Hii miaka aliyokuwa anaiongoza mama ilikuwa ya awamu ya 5 ya Magufuli, mama awamu yake inaaza Oktoba 2025 hadi 2030 kwa kuchaguliwa kwa kupiga kura hapo sasa anaenda kuwa rais kamili wa...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Kwenye press yake Jana Mgombea Udiwani Kariakoo, Haji Manara katetea kitendo cha Abdul kumiliki magari ya kifahari eti ni haki yako sababu ni mama yake ni Rais. Huu utetezi wa kihuni ungeupeleka...
8 Reactions
7 Replies
563 Views
Natamani yafuatayo Mohamed Nchegerwa aka mkwe awe waziri mkuu, Ridhiwan Kikwete awe naibu waziri mkuu Wanu Hafidh awe waziri wa mambo ya nchi za nje Salma Kikwete awe waziri wa ulinzi Kunje...
0 Reactions
2 Replies
278 Views
Kwa kusiliiza hoja za mawakili wa serikali na hoja za Lissu, majaji wa hii kesi kweli wanatenda haki kwa hii kesi kuendelea kuwepo mpaka muda huu? Kwa maneno mengine, majaji hawa wanatosha...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Lazima nicheke kwanza 🤣! Vijana wa Kipemba wenyewe wamesema hawana haja ya kuandamana, kwani hawajui hata sababu ya kufanya maandamano hayo — “eti mnataka tuandamane ili iweje sasa?” 😏...
0 Reactions
8 Replies
447 Views
Humphrey Polepole, aliyekuwa Balozi na Katibu wa Itikadi wa CCM, sasa ni mshindwa wa hali ya juu (pathetic loser) anayeandamwa na machungu, akidai kufichua siri za chama ili kuudhoofisha utawala...
14 Reactions
164 Replies
5K Views
Back
Top Bottom