Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Leo Septemba 18, 2025, kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu imeendelea katika Mahakama Kuu Dar es Salaam, ambapo upande wa Jamhuri umejibu hoja za mshitakiwa huyo, huku...
0 Reactions
3 Replies
634 Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambaye pia ni Mlezi wa Kata ya Kandawe Wilaya ya Magu, tarehe 17 Septemba 2025, amezindua Kampeni za Uchaguzi katika Kata hiyo ambapo amemnadi na...
1 Reactions
4 Replies
362 Views
Nimefuatilia mikutano kadhaa ya kampeni na nimeona kundi kubwa la vijana wakishiriki kikamilifu kuwasikiliza wagombea. Uwepo wao unaibua mjadala mkubwa kuhusu nafasi ya vijana katika siasa na...
1 Reactions
5 Replies
359 Views
Mtoto wa Rais Samia, Wanu Hafidh Ameir, ambaye pia ni mgombea Ubunge Makunduchi, amesema, "Tumeshuhudia ongezeko la ajira kwa vijana katika sekta tofauti, hasa kwenye sekta ya uchumi wa bluu. Pia...
1 Reactions
8 Replies
621 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini na Kada wa chama cha ACT Wazalendo, Selemani Bungala almaarufu "BWEGE" amesema Profesa Ibrahim Lipumba ni moja Kati ya watu wabaya Katika siàsa za Tanzania Kwani...
4 Reactions
11 Replies
913 Views
Bora huyu mwanamama kasema ukweli mtupu! Maana hawa wanasiasa mida hii wanajua kuzisaka kura kweli kwa njia ila wakizipata wanatokemea kabisa hadi miaka 5 ipite. ================ "sisi hatupendi...
3 Reactions
7 Replies
447 Views
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam imetupilia mbali hoja iliyokuwa umewasilishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini, ambaye alidai...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Wanachama 453 kutoka ngome ya ACT Wazalendo kisiwani Pemba leo wamejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kiongozi wao, Ndg. Faki Ali Juma, amesema uongozi bora wa Serikali ya Awamu ya Nane...
2 Reactions
8 Replies
401 Views
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram Mwanyekiti wa chama Cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoa wa njombe Bi Rose Mayemba amesema Kuwa Kuna watu wamemfata baba yake mzazi mzee Mayemba na...
2 Reactions
12 Replies
751 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, leo mbele ya Jopo la Majaji wa Mahakama Kuu aliomba kesi yake ya uhaini irushwe mara moja (i.e. ifutwe) ili kuzuia wafuasi wake kushambuliwa nje ya Mahakama...
3 Reactions
4 Replies
466 Views
Mgombea ubunge Same Magharibi Mkoa wa Kilimanjaro kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Gervas Mgonja, ametumia mkutano wake wa hadhara uliofanyika leo Septemba 17,2025 katika uwanja...
1 Reactions
3 Replies
313 Views
Mgombea wa nafasi ya rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassana akizungumza na Wananchi katika Mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika leo...
3 Reactions
18 Replies
628 Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Fadhili Maganya akiwa katika Kipindi cha mahojiano cha Medani za Siasa akijibu swali la Mwandishi wa Habari Edwin Odemba ikimtaka...
0 Reactions
4 Replies
510 Views
Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam imepanga kutoa uamuzi mdogo kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu Jumatatu ya tarehe...
1 Reactions
1 Replies
503 Views
Kuna wanasheria wengi walikua hawajui black's law Dictionary hii baada ya Lissu wanasheria wengi ndo wamefahamu hiki Kitabu
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Huyu Mzee Mimi namwita Mzee Leo maana umri wake analingana na Baba yangu mzazi, Lazima niseme maana kuficha Haina Tija, Mzee wangu huyu niliyembatiza Jina la Mzee Leo yeye na Baba Sifileo wote...
1 Reactions
6 Replies
604 Views
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi kwenye Mkutano wa Kampeni leo Septemba 18, 2025 katika Jimbo la Nungwi, visiwani Zanzibar amesema kuwa...
2 Reactions
4 Replies
436 Views
Mstahiki Meya Haji Sunday Manara (2025-2030) karibu City hall
1 Reactions
12 Replies
724 Views
Kama kichwa cha Habari kinavyosomeka, Habari ndo hiyo!
0 Reactions
0 Replies
175 Views
Back
Top Bottom