Mbunge wa Viti Maalum mstaafu kupitia CHADEMA, Felista Njau, ameendelea na mbinu yake ya kampeni kwa kuingia moja kwa moja sokoni badala ya mikutano ya hadhara, akiwahimiza wananchi kumpa kura ya...
Sheria inasemaje? Kesi kurushwa live...
Mahakama haiwezi kuingiza mamia ya watu ila wakii-stream kesi hata tulioko vijijini tunaangalia.
Sijui sheria inasemaje?
Au vyombo vya habari havijawahi...
Mgombea urais kwa tiketi ya NLD, National League for Democracy,Bw. Doyo Hassan amefika Butiama leo.
Alipokelewa na Madaraka Nyerere na Andrew Nyerere.
Ametembelea kaburi,ameonyeshwa residence...
Nakuacha na kichupa hicho, sita lia nakutoa machozi,
Nitafurahi kwani hukumu yako inakuja,
Unakula wenzio na wewe Utaliwa.
https://youtu.be/CjZTT1rix8M?si=wlTyehT-zvrX8uc3
Kuna mti mkubwa wenye kivuli, lakini mizizi yake inanyonya maji yote ya shamba.
Nyuki wanapiga kelele juu ya tunda moja tu, ila mashamba mengine yanakauka.
Wazee wa baraza wanapiga mihuri bila...
"Tunafanya kazi ili kuinua Taifa na utu wa mtu na ndio maana tunasema Kazi na Utu, tunasonga mbele, sasa hii ni kwa Taifa hata mtu mmoja mmoja, ukifanya kazi ipasavyo unainua utu wako mwenyewe...
Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameeleza kuwa ikiwa Chama hicho kitapewa ridhaa Oktoba, 29, 2025, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya...
Sote tunafahamu juu ya utendaji mbaya kabisa wa jeshi la polisi linapokuja suala la haki. Polisi walio wengi hakuna chochote wanachoelewa, zaidi ya kuoiga watu.
Kuna matukio mengi kwenye mahakama...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias Mulumbe, amesema serikali ya ADC itahakikisha kila halmashauri nchini inakuwa...
Wakuu,
Mnakumbuka kuna uzi niliweka kuwa baadhi ya waliomteka Bonge wanajulikana stendi ya Magufuli na wala siyo siri?
Huyo Benk ni anajulikana vizuri hapo almaarufu kama Tall, baada ya tukio...
Mh Rais Samia ilani ya ccm inasemaje kuhusu utekwaji na kuuwa kwa vijana wa kitanzania?
Lejea mdude, SOKA shyrose na wenzake?
Je vijana msio na ajira mtampa ajira Samia Suluhu hassani?
Tutaenda pale bandarini kwa DP world wengine bungeni, wengine nendeni ikulu nendeni, wengine nendeni kwenye tume huru kudai mabadiliko wanajifanya hawasikii.
Sasa tuone watalinda wapi.
Wakuu,
Huu uchaguzi ni balaa!
======
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamtafuta Joseph Shila, Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Mitunduruni, Wilaya ya Singida kwa tuhuma za...
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Singida Mjini, Hamis Nkua, amechomwa kisu katika mkono wa kushoto begani.
Akizungumza na Nipashe Digital katika Hospitali ya Rufaa ya Mandewa...
Mgombea Urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo, amewaasa wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye zoezi la kupiga kura, akisisitiza kuwa ndio njia pekee itakayowezesha...
Je, Hamphrey Polepole anaandaliwa kurithi mikoba ya Lisu na nafasi ya uenyekiti wa chadema masalia Taifa?
Kwanini sasa, na mbona mapema mno?
Kwasasababu kuna kila dalili na viashiria vya...
Nasema "alitaka kumuua" kwa sababu ukiangalia yale matundu ya risasi upande wake wa gari utajua kuwa hawa watu hawakutaka kumtishia tu. Walidhamiria kumuua.
Niungane na Watanzania wenzangu...
Mgombea Udiwani Kata ya Zingiziwa Jimbo la Ukonga, Jijini Dar es Salaam kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Selemani Kaniki ametoa wito kwa Jeshi la Polisi kutoa elimu kwa Jeshi la akiba (Mgambo)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.