Picha ya Bendera ya Tanganyika kwa ambao hatujawahi kuiona

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,268
17,097
Hii ya TANGANYIKA

Flag_of_Tanganyikan_Republic.png


Na hii ya TANU
1200px-Flag_of_Tanganyika_African_National_Union.svg.png


Naona watu wanazichanganya sana!
 
Straight corner

Historia ya bendera yetu tangu utawala wa wajerumani 1885

Flag of Deutsch-Ostafrika (1885-1919

Flag of Tanganyika (1919-1961

Flag of the Republic of Tanganyika 1961–64

Flag of the United Republic of Tanzania 1964–todate
 
Last edited by a moderator:
Binafsi nafahamu kuwa Tanganyika ilikuwa ni nchi kabla haijaungana na nchi ya Zanzibar na ilipata uhuru wake tarehe 9/12/1961.

Sio kuungana bali ILIPOOLEWA NA ZANZIBAR na kubadilishwa jina kuitwa Tanzania. Sasa labda baaada ya TALAKA ndio arudie jina lake la asili. (Alikuwa Miss Tanganyika alipoolewa akaitwa Ms Tanzania.).

Poleni waDanganyika
 
Feedback, shukran sana kwa hizi flags. na kusoma kwangu kote historia sikuwa nazijua hizi flags hasa za kabla ya uhuru...labda kwa sababu hazikuwa sehemu ya mitaala ya siasa ya waqt huo na kwa hiyo hazikuwa zinakuja kwenye mitihani hahaha! aisee umenifungua sana macho!:dance:
 
Wana jamvi nawakumbusha wale wote wenye kuipenda historia ya kweli kesho tubebe bendera yetu ya Tanganyika maana hatujawahi kuwa na nchi inayoitwa Tanzania Bara!!!! ZumbeMkuu, ulishashona vazi lako? Pls tuikumbushe jamii yetu na watoto wetu ili vizazi vijavyo viikumbe Tanganyika kwa kumaanisha na sio kubabaisha! Happy Birthday Tanganyika!
 
Wanasema tena leo usiku kutakua na mkesha wa Happy Birthday hapa Dar! Madege na Vifaru vya kijeshi vitakua vikipita huko na huko kuonyesha nguvu na ujasiri wa Tanganyika yetu!!!!
 
Wana jamvi nawakumbusha wale wote wenye kuipenda historia ya kweli kesho tubebe bendera yetu ya Tanganyika maana hatujawahi kuwa na nchi inayoitwa Tanzania Bara!!!! ZumbeMkuu, ulishashona vazi lako? Pls tuikumbushe jamii yetu na watoto wetu ili vizazi vijavyo viikumbe Tanganyika kwa kumaanisha na sio kubabaisha! Happy Birthday Tanganyika!

Right, hakuna nchi katika ramani ya dunia inayoitwa Tanzania bara, ujinga!!!! Nitabeba bendera ya Tanganyika au nitakwenda kulima, sina cha kusherehekea, maana hakuna Tanzania bara duniani. Tanganyika waliiua, sasa wanasherehekea nini. Stupid!!!!!!!!!!!!!
 
Right, hakuna nchi katika ramani ya dunia inayoitwa Tanzania bara, ujinga!!!! Nitabeba bendera ya Tanganyika au nitakwenda kulima, sina cha kusherehekea, maana hakuna Tanzania bara duniani. Tanganyika waliiua, sasa wanasherehekea nini. Stupid!!!!!!!!!!!!!

Kumbe na wewe umeliona hilo eeeh, afadhali mvua iendeleee kunyesha hadi uwanja wote ujae maji hizo ndege zao za kichina zishindwe kuruka! Na ntaomba baada ya shughuli watu expenditure!!!!
 
Hakuna sababu ya Kushabikia ukinga wa watawala ambao wameiua Tanganyika na kupachika jina eti Tanzania bara ni kuwasusia tuu mpaka pale Tanganyika yetu itakapo rudi
 
Wakuu hizo bendera za tanganyika zinapatikana vipi? Kuna watu wanazitengeneza? Au mchungaji mtikila atazi supply? Tujuze jinsi ya kuzipata hizo bendera za tanganyika
 
I thought tunasheherekea Tanzania bara. Tanganyika! Would it not be uhaini in its own version?
 
Au kama vipi kama kuna mtaalam wa mambo ya kienyeji atusaidie, ashushe mvua kama ya buku tatu hivi katika eneo la shamba la bibi,iwe na radi za kumwaga, pasitoshe pale.
 
Wakuu hizo bendera za tanganyika zinapatikana vipi? Kuna watu wanazitengeneza? Au mchungaji mtikila atazi supply? Tujuze jinsi ya kuzipata hizo bendera za tanganyika

Zipo sana tu Mkuu wangu, ngoja Zumbe Mkuu aje hapa atakuonyesheni, mvua inaendelea kunyesha naomba iwe kubwa zaidi ili huo mkesha usiwepo!
 
hapa kwa karibu namkumbuka ndugu yangu mtikila alivyokuwa anapigania uhuru wa tanganyika
 
hapa kwa karibu namkumbuka ndugu yangu mtikila alivyokuwa anapigania uhuru wa tanganyika

Si walisema ni Kichaa? kachanganyikiwa, hana akili, mwendawazimu mkubwa!!!! Leo hii ukweli unaonekana wazi kuwa Mtikila alikua sahihi!!!
 
Back
Top Bottom