Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Miezi kadhaa iliyopita kuna tukio la askari usalama barabarani kusimamisha gari aina ya Rolls-Royce Cullinan Series II (Gari ya zaidi ya Billioni 2 za kitanzania) maeneo ya Masaki ila dereva...
37 Reactions
238 Replies
16K Views
Naamini huyu dada chinaa angawafaa wana Arusha kuwa mbunge wao kuliko huyo laghai Makonda.
1 Reactions
1 Replies
160 Views
Mtu anataka kuhalalisha uoga uliopo tayari. Ungekuwa kweli hakuna hofu, basi isingehitajika kutamka hivi. ================= "Tunaomba kura zenu Wanamsata, la muhimu sana Wanamsata, tarehe 29...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche akitoa salamu za rambirambi kwenye msiba wa baba yake Askofu Benson Bagonza.
8 Reactions
15 Replies
494 Views
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia (CUF) Samandito Gombo amesema siku 100 baada ya kuchaguliwa kuwa Rais atahakikisha anaanzisha mchakato wa katiba mpya na itakuwa ni siku ya...
1 Reactions
2 Replies
165 Views
Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia CCM, Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi leo Septemba 28, 2025 ametoa ahadi ya Upanuzi kwenye maegesho ya Kivuko cha Magogoni na Kigamboni Shabaha ikiwa ni...
2 Reactions
3 Replies
270 Views
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Mhe Dkt Jakaya Mrisho kikwete amesema kuwa anaamini Bunge lijalo wabunge wa Pwani wote watakuwa wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na pia anaamini hiyo itakuwa Kwa Nchi...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Nimekaa na wagombea wa nafasi za udiwani na nimewaambia siwezi kuomba barabara alafu diwani anaenda kumpa Tarura barabara laini laini,huyo diwani hawezi kunifaa kwenye jimbo langu,na wanasema...
3 Reactions
2 Replies
175 Views
Wakuu Bwege anasema Nchi hii, ukitaka kupata taabu, kosoa wakubwa. Wanachotaka ni ujikombe kwao; jambo zuri uwapigie makofi, baya pigie makofi. Ameyasema hayo wakati kifanya mahojiano na...
6 Reactions
4 Replies
296 Views
Seleman Bungara maarufu "Bwege" amemtaka Rais Samia kutoa majibu kuhusu tuhuma zinazohusu kutekwa kwa baadhi ya watu, Bwege amesisitiza kuwa kukaa kimya katika tuhuma hizo ni sawa na kuthibitisha...
2 Reactions
5 Replies
350 Views
Kada wa Chama cha ACT-Wazalendo na aliyewahi kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Seleman Bungura maarufu kama Bwege, akizungumza na kituo cha Mwanahalisi TV leo Septemba 28, 2025...
7 Reactions
6 Replies
448 Views
GT Ni aibu kuitwa Mtanzania. The reference kwamba binadamu walikuwa Nyani nadhani ilichukuiiwa Tanzania.
4 Reactions
9 Replies
292 Views
Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Instagram Mgombea Udiwani kata ya Mchikichi Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nurdin Bilal Juma (Shetta) ameandika: "Tuilinde amani yetu kwa wivu mkubwa ndugu...
3 Reactions
8 Replies
386 Views
Kizungumza kupitia Clouds TV, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema: “Kampeni za mwaka huu zina ustaarabu, polisi hawashushi wagombea kwenye majukwaa.”
1 Reactions
12 Replies
517 Views
Wakuu Nilikuwa nasikiliza speech za viongozi mbalimbali duniani leo pale Umoja wa Mataifa Lakini hii ya Dr Mpango sijaielewa kabisa Mmepewa platform ya kuongea na kuzungumzia mambo ya...
17 Reactions
44 Replies
1K Views
Deodatus Balile, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) akizungumza na Clouds TV leo, Septemba 29, 2025 amesema; "Wakati tunakua miaka ya 70 hadi 80 tulikuwa tunaoga mtoni pale kijijini...
1 Reactions
18 Replies
671 Views
Wakuu, Wananchi wa toka sehemu mbalimbali wameonyesha kufurahishwa na mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Samia jinsi anavyojitoa kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao pindi wanapokubwa...
5 Reactions
17 Replies
340 Views
Harakati za ahadi zisizo wezekana kutekelezeka zinazidi kuongezeka kwa CCM! Ila wasituone Watanzania ni wajinga tunarekodi vyote na muda ukifika watakipata wanachostaili Mimi nipo siti ya mbele...
1 Reactions
2 Replies
188 Views
Hivi ndivyo wananchi wa Kigoma walivyojitokeza kwenye ufunguzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma mjini. Soma Pia: - GE2025 - Clayton Chipando (Baba Levo) ateuliwa kugombea ubunge...
1 Reactions
4 Replies
506 Views
Hii sio bahati mbaya hata kidogo Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli. Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha...
25 Reactions
92 Replies
6K Views
Back
Top Bottom