GE2025 Wananchi: Tukimpigia simu Samia anapokea, anatusikiliza

GE2025 Wananchi: Tukimpigia simu Samia anapokea, anatusikiliza

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,985
Reaction score
8,219
Wakuu,

Wananchi wa toka sehemu mbalimbali wameonyesha kufurahishwa na mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Samia jinsi anavyojitoa kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao pindi wanapokubwa na kero mbalimbali katika sehemu zao za kazi.

Au wanasema uongo Wakuu, yaani wanasema Samia ndio mkombozi wao. :BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: Umasikini ni mbaya sana aisee! Tujitahidi kuwa madoni ndugu zetu wasionekanewakituaibisha kama hivi.

 
Wakuu,

Wananchi wa toka sehemu mbalimbali wameonyesha kufurahishwa na mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Samia jinsi anavyojitoa kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao pindi wanapokubwa na kero mbalimbali katika sehemu zao za kazi.

Au wanasema uongo Wakuu, yaani wanasema Samia ndio mkombozi wao. :BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: Umasikini ni mbaya sana aisee! Tujitahidi kuwa madoni ndugu zetu wasionekanewakituaibisha kama hivi.

Njaa mbaya sana! Watuonyeshe ushahidi
 
Wakuu,

Wananchi wa toka sehemu mbalimbali wameonyesha kufurahishwa na mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Samia jinsi anavyojitoa kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao pindi wanapokubwa na kero mbalimbali katika sehemu zao za kazi.

Au wanasema uongo Wakuu, yaani wanasema Samia ndio mkombozi wao. :BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: Umasikini ni mbaya sana aisee! Tujitahidi kuwa madoni ndugu zetu wasionekanewakituaibisha kama hivi.

Mtindo huu wa "uchawa" wengi walikuwa bado hawautambui. Bila shaka sasa kila mwenye akili nzuri atajuwa mleta mada ana maana gani.
 
Back
Top Bottom