Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

~ Yameipa heshima Tanzania Kimataifa kama kinara wa mageuzi ya Afya Afrika Katika kipindi cha miaka michache iliyopita, sekta ya afya nchini Tanzania imepitia mageuzi makubwa ya kihistoria. Chini...
0 Reactions
1 Replies
108 Views
"Chadema na watanzania tunataka serikali ya mpito isiyoongozwa na Samia itakayowekwa chini ya uangalizi wa taasisi huru za kimataifa kwa kuwa serikali haina uhalali wowote CHADEMA inataka...
2 Reactions
7 Replies
289 Views
Inatia hasira na huruma.
3 Reactions
23 Replies
731 Views
Kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1984, Tanzania ilikuwa na salio la 0 (SIFURI) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Ni lini mkopo wa IMF ulilipwa kikamilifu na asilimia 100? Mkopo ulikuwa sifuri...
9 Reactions
41 Replies
3K Views
Habari Tanzania ! Pole kwa uchovu wa hapa na pale kwasababu ya kulitumikia Taifa letu hili la Tanzania. Poleni sana wanasiasa na watu wengine wenye njaa za madaraka na Mamlaka kwa mtazamo...
6 Reactions
44 Replies
584 Views
Kwa muda mfupi Zanzibar imeweza kukarabati Amani stadium kwa viwango vya FIFA, imejenga kiwanja kipya cha Gombani, Tanganyika yenye watu 60m tumeshindwa kumalizia kiwanja kimoja cha Arusha hadi...
3 Reactions
58 Replies
837 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema atamshauri Mwenyekiti wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Balozi Modest Jonathan Mero, kupunguza...
1 Reactions
3 Replies
269 Views
Licha ya Mitandao ya Kijamii kurahisisha mawasiliano na kupatikana kwa taarifa katika jamii, imesaidia pia kukuza demokrasia kwa kuwawezesha wananchi kutoa maoni, kuhoji viongozi, na kushiriki...
0 Reactions
2 Replies
170 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo ameyesema hayo leo Februari 16, 2026 wakati akitoa tathmini ya ziara ya Kikazi ya Rais Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
16 Replies
215 Views
Zama zetu wakati tunajifunza matumizi ya Lugha ya kiingereza, kuna msemo wengi wetu tuliushika kirahisi na kwa haraka mno. Msemo huo ni "vice versa is true" Matumizi ya huu msemo yalishika kasi...
4 Reactions
2 Replies
113 Views
Ukiacha maswali juu ya usalama na ufanisi wa kuweka mradi wowote wa kijamii maeneo ya Jangwani, kumekuwa na mkanganyiko juu ya ni mradi gani hasa unajengwa maeneo hayo. Juzi nimemsikia Samia...
3 Reactions
16 Replies
265 Views
Kauli ya Samia kumuita Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Ki-Petro Magoti kuwa kinafanya vizuri huko Kisarawe ni sawa na kumdogodisha. Najaribu kuwaza, mtu kama John Heche angemuita DC wa Kisarawe...
33 Reactions
87 Replies
2K Views
SAMIA NA ANGUKO LA KATIBA: KAMA HAMKUTAKA NIWAUE WATOTO WENU KWANINI MLIWARUHUSU WAINGIE BARABARANI KUFANYA MAANDAMANO YA KUNIPINDUA? I. USULI “Ukiona serikali ambayo haitaki kukosolewa, tambua...
59 Reactions
106 Replies
4K Views
Dunia nzima inajua kuwa Samia ndiye mama w demokrasia nchini; hasa baada ya kuruhusu vyama vingi ku resume kazi zao baada ya kufungiwa na mtangulizi wake, JPM. Kuwarudisha nchini akina Lissu...
1 Reactions
89 Replies
741 Views
  • Redirect
Tumezoea viongozi wetu na vyombo vya habari vya Bongo hutoa taarifa pale wanapokutana na viongozi mbalimbali wa kimataifa. Nimejaribu kutafuta habari ya mkutano wa Waziri wa Mambo ya Nje na...
4 Reactions
Replies
Views
Mwaka 1964 palitokea jaribio la mapinduzi ya kijeshi wana Tanu wanasema lilikuwa ni kama maasi ya wanajeshi wa Tanganyika Rifles. Chanzo ilikuwa Nyerere hakuwapa vyeo maaskari weusi wa...
16 Reactions
44 Replies
1K Views
Tununuapo gesi huwa mitungi inapimwa kwa kutumia vimizani vya kila aina visivyo na ubora, sasa wakati umefika wa kuondokana na hivyo vimizani vinavyotupunja ujazo na mamlaka ilazimishe makampuni...
7 Reactions
9 Replies
281 Views
Na. M. M. Mwanakijiji https://www.youtube.com/watch?v=4mGDNsyA53g Nilipata nafasi siku hizi mbili tatu kukutana na watu muhimu sana kwenye sakata la mauaji ya Oktoba 29-Novemba... Kitu ambacho...
59 Reactions
87 Replies
3K Views
Kwa hiyo sasa hivi watanganyika wakiwa na shida na Rais wamfate huko kwao zanzibari wakiwa nabarua za utambulisho kutoka Kwa wenyeviti wa mitaa? Swali jingine, je matumizi ya statehouse ambazo ni...
10 Reactions
23 Replies
571 Views
Daa Tanzania will never be the same again. Uko TikTok Kuna jamaa anajiita Habi, huyu mtu ana kiswahili Fulani hivi Cha kimagaribi. Jamaa ana confidence hatari saana lakini pia anaonekana ana buck...
54 Reactions
228 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…