Ukiwasikiliza watu wa CCM wanapoiongolea Tanzania kama kisiwa cha amani kila mara wakati wa uchaguzi unaweza kufikiria ni jambo la kipekee sana linaloitofautisha Tanzania na nchi nyingine au...
[Dan4:1]Mfalme Nebukadreza, kwa watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wanaokaa katika dunia yote; Amani iongezeke kwenu.
[Dan4:4]Mimi, Nebukadreza, nalikuwa nikistarehe katika nyumba...
Aliyewahi kuwa Katibu wa CUF Mkoa wa Tanga Abdulrahman Hassan Amesema Chama cha Mapinduzi CCM, ndio chama pekee kinachoweza kuleta maendeleo nchini Tanzania huku akielezea historia yake na Vyama...
Katika nchi yetu kuna chombo kikuu kilichopewa majukumu makuu mawili yaani
1. Kulinda mipaka
2. Kulinda Katiba
Katika kutekeleza majukumu hayo chombo hiki hakiwezi kurelegate majukumu yake kwa...
Ukweli usemwe.
Kakamatwa kiduanzi sana.
Na hii inanifanya kufikiria kuwa Lengo lake la awali mpaka kupelekea kuachana na Ubalozi lilikuwa lingine na Baadae akapata Lengo lingne na akakosa namna...
Mjumbe wa halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa ndugu Richard Kasesela, Amewataka watanzania kukuza ufahamu na kuacha kuamini kila wanachokisikia na kukiona kwenye mitandao ya kijamii...
Aisee acha Mungu aitwe Mungu. Nimeamini malipo ni hapa hapa duniani.
Tundu Lissu baada ya kushinda uenyekiti Chadema,CCM waliumia sana walianzisha mizengwe ili mumdhoofisha.
Sote ni mashahidi...
Wakuu,
Jamaa kaelezea kwa lugha rahisi huku ukiwa unaona jinsi watu wanavyoweza kukudaka ukiwa umeachia sehemu ya location kutumika kwenye mtandao Instagram. Fuata maelekezo, jilinde.
Mbali na...
MWENYEKITI wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere, Paul Kimiti, amewataka baadhi ya viongozi na wanasiasa kuwa waangalifu katika matumizi ya mitandao ya kijamii, ili kulinda amani na...
Mbinu wanayoitumia hawa Watekaji ni Kumuwahi Kila Mmoja anayeonekana ana Uthubutu wa jambo letu !!.
Sasa katika hali ya Mmoja Mmoja ni rahisi wao kutumaliza na kuchomekea Woga.
Sasa basi kwakua...
Tuseme tu ni wanachama wa CCM Wameandamana kusaka kura Kariakoo:Alien::Alien::Alien:
-----------
Wananchi wa Kariakoo wamefanya maandamano ya amani kwa ajili ya kumpokea mgombea Udiwani wa Kata ya...
Chama tawala hoi, na vyama vya upinzani pia hoi. Mpiga kura anatakiwa achaguwe kati ya jiwe na kitu kigumu. Nitaanza mfungo tarehe 15 had siku ya Uchaguzi kuiomboea Tanzania isiyokuwa na...
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, akiwa ameambatana na Mke wake...
Kuna simulizi ya Bible kule Misri kuna fimbo ya muujiza ya Haruni ambapo alipoibwaga chini mbele ya Farao ikageuka nyoka..
Farao alipoona vile naye akawaita wachawi wake wote maarufu nao wakaja...
Sura kweli ni mwanajeshi,
Sare kweli ni za kijeshi,
Ila mawazo (Talking Points) ni ya ndugu Humphrey Polepole.
Wale wana-CCM ambao walidhani kwamba Polepole ana ushawishi mdogo hapa nchini...
Hawa wahuni na Genge lao , Suala la Maandamano limewatikisa sana .
Wamekaa kikao na kukubaliana kua, Wawakamate Top Officials wote wa CHADEMA wawekwe Ndani ,wake nao mpaka Huu Uchaguzi wao...
Leo nimejikuta naukumbuka huu wimbo
Yeah
Napiga goti natubu
Kwa mungu wangu na jamii
Nimefanya mambo mengi
Kwa kutumia cheo
Naamini cheo dhamana
Nisamehe nisamehe
Nang'atuka nimeshaikosea jamii...
Hapa ni njaa ndo imezidi na hili joto la Daslam, nilikuwa nawaheshimu sana hawa jamaa nimeamini njaa ni mbaya sana :AYOO:
-----------------
Umoja wa Rastafarians Tanzanian wamefanya matembezi ya...
ITV mna hiki kipindi kinaitwa "AIBU YAKO HATA WEWE" ambacho mmekuwa mkikitumia kukemea ukiukwaji wa taratibu na sheria za barabarani unaofanywa na madereva wa vyombo mbalimbali vya usafari kutoka...