Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tutumie mfano mwepesi vijana waelewe na wajue kwanini kina polepole, kina mdude wametekwa kina tundu lisu wamepigwa risasi nk. na kwanini kuna watu wanatumia nguvu nyingi kubaki madarakani...
2 Reactions
3 Replies
292 Views
Mgombea ubunge wa Karagwe, Innocent Bashungwa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama pekee chenye uwezo wa kuendelea kuongoza Serikali bila nchi kuingia kwenye machafuko. Bashungwa...
1 Reactions
6 Replies
253 Views
Mgombea ubunge wa Mkuranga kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Ulega "Serikali imejipanga vizuri kuhakikisha kwamba watu watakwenda watapiga kura kwa salama na amani, ukishamaliza...
2 Reactions
4 Replies
213 Views
Vitendo vya polisi vinaashiria jambo moja muhimu, kuwa hawa watu hawana akili, hawana weledi, Wamekosa Kabisa Hekima na Utu. Hakuna chochote wanachokijua isipokuwa kupiga watu na kuua. Kuna...
5 Reactions
6 Replies
391 Views
Mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini Paul Makonda yupo mkoani Shinyanga kusaka kura za mgombea mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan je, unadhani jimbo la Arusha Mjini halina kero? Mdau...
2 Reactions
7 Replies
354 Views
Katika pita pita zangu kwenye mitaa ya YouTube, nimekutana na video ya Rais Julius Nyerere akiwa New Delhi, India, akipokea tuzo. Ilikuwa mwaka 1982...
9 Reactions
31 Replies
1K Views
Mgombea Urais Samia Suluhu Hassan, Mgombea wa Urais wa Tanzania, akizungumza Maganzo, Kishapu Mkoani Shinyanga leo Jumamosi Oktoba 11, 2025 alisema: "Ilani niliyomkabidhi Mgombea Ubunge ni ya...
1 Reactions
10 Replies
347 Views
Waziri wa Maji na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Pangani Mkoani Tanga Mhe. Jumaa Aweso amesema dhamira ya Dkt . Samia Suluhu Hassan ya kutoa maji ziwa Viktoria ili kuhudumia wananchi wa Mkoa wa...
1 Reactions
2 Replies
197 Views
GT Watanzania tu watu wa ajabu sana utasikia ohh wazungu wamesema hivi mara vile unadhani wazungu wanaumizwa na haya yanayoendelea kwenu?. Hawa jamaa ni opportunities wataandika tu matamko...
1 Reactions
1 Replies
167 Views
"Uchaguzi huu wa Oktoba 29, 2025 ni uchaguzi wa kufanya maamuzi kati ya Maisha halisi na anasa, wapo wanaojadili anasa wakitaka ndio ziwe ajenda za uchaguzi kwamba haki na uhuru wetu umeondolewa...
1 Reactions
5 Replies
305 Views
Maria Paulo Mkazi wa Maswa akielezea furaha yake baada ya ombi lake la kupiga picha ya selfie kukubaliwa na Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyewasili mapema leo...
1 Reactions
4 Replies
307 Views
Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mkoani Shinyanga na Naibu Waziri, Ofisi ya waziri Mkuu (Kazi, Vijana na watu wenye ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi amesema ndani ya miaka minne...
1 Reactions
7 Replies
303 Views
Ni njia ya kuwatoa wadanganyika kwenye reli ama? Je ni namna ya kuepusha mijadala HOT ama kuna ihalisia? Kwenye vipindi kama hivi.. Timu maalum za kueneza uzushi kiufundi sana huwa active sana...
9 Reactions
54 Replies
3K Views
Mgombea ubunge wa jimbo la Bariadi vijijini, Masanja Kadogosa akizungumzia swala la kulinda amani hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania tarehe 29 mwezi wa 10 mwaka 2025...
2 Reactions
5 Replies
269 Views
Acha nianze kwa kutoa angalizo kwanza, Mimi sio mtabairi wala nabii lakini nina kipaji cha kuona na kutazama mbali sana. Ilani ya CCM ya 2025-2030 ni ya mabadiliko ya kweli na inayokidhi...
1 Reactions
13 Replies
714 Views
“Nawasikitikia sana weee...” Hivi kipi hamkielewi, eeh? Hata kama kusoma hamjui, vipi basi picha, ha? Wasaidizi woti waliyo chini ya Rais, na majeshi yote hayo yalikuwa na viapo viwili, wallah...
1 Reactions
18 Replies
592 Views
Mgombea Urais kupitia Chama cha NLD Doyo Hassan Doyo ameutaja mfumo wa elimu ya Tanzania kuwa ni usio na maslahi kwa wananchi wake. Doyo amezungumza hayo akiwa katika muendelezo wa kampeni zake...
1 Reactions
4 Replies
197 Views
Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia Chama cha Mapinduzi Hawa Mwaifunga leo Oktoba 7,2025 ameendelea na mikutano ya Kampeni kusaka kura za kuwa Mbunge wa Tabora mjini. Mwaifunga akiwa...
1 Reactions
3 Replies
326 Views
Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini kuptia chama Cha Mapinduzi CCM Paul Makonda amemhakikishia Mgombea urais kupitia cha hicho kuwa Oktoba 29 hakuna maandano na atapewa kura zakutosha...
1 Reactions
7 Replies
451 Views
Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu. Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya...
19 Reactions
84 Replies
5K Views
Back
Top Bottom