Jana ni nilimuona Nape akisema Ukawa wananunua kadi za Ccm na kuwapa makundi ya watu ili wazichome moto na kuzichana hadharani. Kwanza niseme sijamuelewa Nape
Hivi kuna duka la kuuza kadi za...
Uchaguzi mwaka huu ni kati ya uadilifu na ufisadi na ujinga na ujanja. pande zote uadifu na ufisadi wapo wajanja na wajinga. kwenye ufisadi wajanja wanataka kufaidi uchumi wao binafsi, wanataka...
habari ndugu wana Jf
jana Waziri wa ujenzi na mgombea wa Ccm alikuwa mkoani morogoro akidai anawashukuru waliomdhamini na kila aliyekuja alipewa kiasi cha shilingi 20,000 na muhusika anacha...
Kuna habari kuwa Makamba ndie atakayemnadi Magufuli kama kinana alivyomnadi JK-makamba ndie aliyehusika kuandaa ilani ya CCM na akina Wassira. inaaminika kuwa ana uzoefu wa kuwasaidia wagombea...
Gazeti limeandika mengi kuhusu Mtatiro kukubali makubaliano ya UKAWA kuiachia Chadema jimbo la Segerea.Mwisho limeandika eti Julius ameamua kukaa pembeni na kuacha siasa.Mbinu za baadhi ya...
Mimi ni mwanachama na mkereketwa wa Chadema, nina kadi yangu toka mwaka 2007,
Japo mchakato na mwongozo wa kugawana majimbo ndani ya Ukawa haujakamilika ila ninataka kuwaasa viongozibwa Ukawa...
Gazeti la MKAKATI la Aug 7-13/2015 lina ripoti kuwa umepanga kuzunguka nchi nzima kuhakikisha Lowassa haendi ikulu,eti hutakuwa ktk upande wowote wa chama na utatumia gharama zako,huu ni unafiki...
Wakuu
Nimekuwa nikitafakari sana kauli ya Mh Rais juu ya CCM pale alipotoa kauli ya kuwa CCM lazima itashinda kwa njia yoyote ile tena akasisitiza zaidi kuwa tutawanyoosha, sasa naomba niwaulize...
MUUNGANO wa vyama vinne vinavyoshirikiana katika Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa), umejikuta ukikumbana na upinzani unaoshika kasi nje ya muungano huo, wakati ukikabiliana na sintofahamu...
Tangu kumalizika mchakato wa kumpata mgombea urais wa chama kile, mh Kayanza Peter hasikiki, mbaya zaidi chama, vyombo vya habari na hata serikali hakuna anayeeleza aliko!
Mim ninauliza yuko wapi...
Hebu mchambueni huyu mtu anaitwa Masaburi. Huyu ni Meya wa Dar es Salaam. Huyu ndiye aliyeuza UDA katika mazingira ya utata. Alikomba mabilioni. Leo anatumia pesa hiyo ya wizi kutaka ubunge jimbo...
Mgombie Udiwani wa Ccm Kupitia kiti Cha Chama cha Mapinduzi CCM LOBORA NDARIVOI jana saa Tano usiku amepigwa na Wananchi wa kata ya Themi Arusha Mtaa wa Kambarage akipita usiku nyumba kwa nyumba...
Ndugu wanajamvi nikiangalia majina mengi walioshinda kura za maoni ccm ni Team Lowasa.Je watakatwa Dodoma ili wasije kumuujumu Magufuri kwenye kura za uraisi?Naomba nijui itakuwaje Dodoma kukwepa...
WanaJF,
Leo ni tarehe 4/8/2015 siku ya Jumanne.Ni alfajiri njema kabisa ambapo Taifa litasimama wakati likishuhudia mkutano mkuu wa CHADEMA mshirika wa UKAWA utakaokuwa na kazi moja kubwa ya...
HALI ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza si shwali baada ya aliyekuwa Diwani wa Kata ya Mkuyuni, Charles Lugo (Fashion), na wanachama zaidi ya 100 kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF)...
Ikumbukwe kuwa huyu Mkurugenzi wa Shule za Alayansi Ndg Mageuzi( Bwire) wakati anaazisha hii shule alinyanganya wana Mahina Ardhi bila hata kuwalipa senti yoyote na ilifikia hata Mauaji...
Baada ya kuwasikiliza kwa kina watangaza nia wote wa CCM na hoja zao, watu wamejiongeza na kuwaangalia historia zao za utendaji huko nyuma, dhamira zao kulingana na historia zao na makundi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.