Dr Slaa Chonde Chonde tuachie Tanzania Yetu.

Dr Slaa Chonde Chonde tuachie Tanzania Yetu.

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,931
Reaction score
4,550
Gazeti la MKAKATI la Aug 7-13/2015 lina ripoti kuwa umepanga kuzunguka nchi nzima kuhakikisha Lowassa haendi ikulu,eti hutakuwa ktk upande wowote wa chama na utatumia gharama zako,huu ni unafiki mkubwa,tayari hapa unataka ccm ishinde,waungwana tunajiuliza hivi tatizo ni Lowassa au tatizo ni ccm? Mbona hata wewe ulikatwa jina na ccm mwaka 1995 ndo ukakimbilia CDM? Kosa la Lowassa liko wapi? Si dhambi hata kidogo kutumia silaha ya adui ili kushinda vita,na ndo CDM tumefanya,kama wewe unasusa susa tu,Tanzania kwanza kabla ya yote,tunatambua umuhimu wako ndo maana tumekusihi sana urejee lakini bado umegoma basi tuachie nchi yetu maana wewe una mpango wa kwenda kuishi Roma Italy,tumekaribia kushinda vita halafu wewe unajitoa dk za mwisho kwa sababu ambazo hazina mashiko,kama Lowassa alikatwa jina kwa kuwa ni fisadi vp kuhusu kina Pinda,Bilal,Mwandosya,Jaji Ramadhani nao ni mafisadi au hawana maadili? Tunajua fika ni nani alipangwa kugombea ccm huyu John Alcohol alitokea kama zali la mentali tu,iacheni Tanzania.
 
Slaa Kaamua kukaa kimya hilo si kosa kama Hakubaliani na Maamuzi ya wenzie hata Mbowe kaheshimu uamuzi wake, Lipumba kakiri kushiriki Mchakato wote wa Kumleta Lowassa ila kwa dhamira yake anahisi yeye Binafsi kakosea na ameamua Kuachia ngazi kuajibika. Hajatukana wala kukashif mtu. Kashfa dhidi yao Chanzo ni kitu gani?
 
huyu hajielewi dr ndo mpango mzima

Kama ni mpango mzima yuko wapi huyo Dr wako? Rejea thread ya yericko Nyerere yenye heading: Hii secret code ya August ni nini? Wengi walimpuuza sana yericko kama ilivyo kawaida ya JF,sasa Dr slaa yuko wapi? Zitto yuko wapi? Lipumba yuko wapi? Mbowe ni mtoto wa mjini hawamuwezi,achana na system wewe,watanzania nyie ni kama vifaranga vya kuku tu hamjui lolote,si tusi hilo ila ndo ukweli halisi.
 
Gazeti la MKAKATI la Aug 7-13/2015 lina ripoti kuwa umepanga kuzunguka nchi nzima kuhakikisha Lowassa haendi ikulu,eti hutakuwa ktk upande wowote wa chama na utatumia gharama zako,huu ni unafiki mkubwa,tayari hapa unataka ccm ishinde,waungwana tunajiuliza hivi tatizo ni Lowassa au tatizo ni ccm? Mbona hata wewe ulikatwa jina na ccm mwaka 1995 ndo ukakimbilia CDM? Kosa la Lowassa liko wapi? Si dhambi hata kidogo kutumia silaha ya adui ili kushinda vita,na ndo CDM tumefanya,kama wewe unasusa susa tu,Tanzania kwanza kabla ya yote,tunatambua umuhimu wako ndo maana tumekusihi sana urejee lakini bado umegoma basi tuachie nchi yetu maana wewe una mpango wa kwenda kuishi Roma Italy,tumekaribia kushinda vita halafu wewe unajitoa dk za mwisho kwa sababu ambazo hazina mashiko,kama Lowassa alikatwa jina kwa kuwa ni fisadi vp kuhusu kina Pinda,Bilal,Mwandosya,Jaji Ramadhani nao ni mafisadi au hawana maadili? Tunajua fika ni nani alipangwa kugombea ccm huyu John Alcohol alitokea kama zali la mentali tu,iacheni Tanzania.

Babu yangu amekaa kimya we unamsakama tu na kutunga stori za uongo
Mwache dr slaa
 
CUF Ilikosea Kumpa Uongozi, Mtu Ambae Hakuwa Na Familia. CHADEMA Nao Walikosea Kumpa Mtu Uongozi Ambae Upadri Ulimshinda, Akaingia Kwenye Taasi Ya Ndoa, Familia Ikasambaratika, SASA MTU ALIYESHINDWA KUONGOZA FAMILIA YAKE MWENYEWE TAIFA ANGEWEZAJE KULIONGOZA?
 
Watu msiojitambua kama wewe mtasema sana juu ya dr lakini yupo sahihi kabisa.
 
Kama ameamua kukaa kimya na hataki kuendelea kuwa katibu mkuu wa CHADEMA si aachie ngazi ya ukatibu ale matapishi yake kwa kurudi CCM. Huyu mzee mwenzangu tumeshamkatia tamaa na kwa kuwa ametuandaa kisaikolojia kuwa anaondoka, yeye aondoke tu ila tunampongeza kwa kutujengea nyumba nzuri, kwa kuwa kaisusa mwenyewe ngoja tuifaidi hatumfuati ng'oooooooo.
 
Watu msiojitambua kama wewe mtasema sana juu ya dr lakini yupo sahihi kabisa.
Tangu lini umeanza kumpenda Dr Slaa mkuu ?! wewe si ndiye ulikuwa msitari wa mbele kumtukana tena matusi ya nguoni au tuyaweke hapa matusi yako?!!
 
[Q"UOTE=Simciyu. C.a Yetu;13566241]Watu msiojitambua kama wewe mtasema sana juu ya dr lakini yupo sahihi kabisa.[/QUOTE]
Vds
CUF Ilikosea Kumpa Uongozi, Mtu Ambae Hakuwa Na down ofg 9. CHADEMA Nao Walikosea Kumpa Mtu Uongozi Ambae Upadri Ulimshinda, Aka in goal 9 Kwenye Taasi Ya Ndoa, Familia Ikasambaratika, SAcSA MTU AfhgLIYESHINDWA KUONGOZA FAMILIA YAKE MWENYEWE TAIFA ANGEWEZAJE KULIONGOZj



LA?
 
Gazeti la MKAKATI la Aug 7-13/2015 lina ripoti kuwa umepanga kuzunguka nchi nzima kuhakikisha Lowassa haendi ikulu,eti hutakuwa ktk upande wowote wa chama na utatumia gharama zako,huu ni unafiki mkubwa,tayari hapa unataka ccm ishinde,waungwana tunajiuliza hivi tatizo ni Lowassa au tatizo ni ccm? Mbona hata wewe ulikatwa jina na ccm mwaka 1995 ndo ukakimbilia CDM? Kosa la Lowassa liko wapi? Si dhambi hata kidogo kutumia silaha ya adui ili kushinda vita,na ndo CDM tumefanya,kama wewe unasusa susa tu,Tanzania kwanza kabla ya yote,tunatambua umuhimu wako ndo maana tumekusihi sana urejee lakini bado umegoma basi tuachie nchi yetu maana wewe una mpango wa kwenda kuishi Roma Italy,tumekaribia kushinda vita halafu wewe unajitoa dk za mwisho kwa sababu ambazo hazina mashiko,kama Lowassa alikatwa jina kwa kuwa ni fisadi vp kuhusu kina Pinda,Bilal,Mwandosya,Jaji Ramadhani nao ni mafisadi au hawana maadili? Tunajua fika ni nani alipangwa kugombea ccm huyu John Alcohol alitokea kama zali la mentali tu,iacheni Tanzania.
Kuna walioahangaika kuleta uhuru Tanzania; leo hii una haki kabisa kuutumia uhuru huo kutoa mawazo yako. Vile vile kuna walioahangaika sana kutuonyesha kuwa CCM ndiyo chanzio cha matatizo yetu. Iwapo CCM ni jiwe fulani ambalo tunatakiwa tulisukumie lianguke mtaloni, basi mtu yeyote akija upande wetu tutashirikiana kulisukuma jiwe hilo; ila kama unajua kuwa CCM ni wamachama pamoja na viongozi wao, basi iwapo wanachama hao na viongozi wao wakihamia kwetu hatuwezi kuendelea kusema kuwa adui wetu ni CCM tena, bali adui yetu anakuwa yuko ndani yetu sisi wenyewe.
 
Watu msiojitambua kama wewe mtasema sana juu ya dr lakini yupo sahihi kabisa.

Umeanza kumpenda lini dr slaa wewe? Cku zote ulikuwa unamtolea maneno ya kashfa eti leo unampenda acha unafiki wa kichawi.
 
Kwani lazima awe nanyi??!!
Mbona imekuwa ugomvi??!

Demokrasia ni pamoja na kuheshimu mawazo ya wengine. . . . . . . .
 
Tangu lini umeanza kumpenda Dr Slaa mkuu ?! wewe si ndiye ulikuwa msitari wa mbele kumtukana tena matusi ya nguoni au tuyaweke hapa matusi yako?!!

Tangu neno "kakatwa" liliposhika hatamu na neno hakuna adui wa kudumu lilipoingizwa siasa za Tanzania rasmi watu weeengi walibadilika. . . . . . . .Sikutegemea wewe kuuliza hili
 
CUF Ilikosea Kumpa Uongozi, Mtu Ambae Hakuwa Na Familia. CHADEMA Nao Walikosea Kumpa Mtu Uongozi Ambae Upadri Ulimshinda, Akaingia Kwenye Taasi Ya Ndoa, Familia Ikasambaratika, SASA MTU ALIYESHINDWA KUONGOZA FAMILIA YAKE MWENYEWE TAIFA ANGEWEZAJE KULIONGOZA?

Cdm ni kubwa kuliko dr slaa
 
Back
Top Bottom