Namtafuta Kayanza Peter

Namtafuta Kayanza Peter

Wakuligo

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
259
Reaction score
107
Tangu kumalizika mchakato wa kumpata mgombea urais wa chama kile, mh Kayanza Peter hasikiki, mbaya zaidi chama, vyombo vya habari na hata serikali hakuna anayeeleza aliko!
Mim ninauliza yuko wapi mzee wetu, maana hakuna namna nyingine sasa ya kujua aliko!
 
Back
Top Bottom