Tangu kumalizika mchakato wa kumpata mgombea urais wa chama kile, mh Kayanza Peter hasikiki, mbaya zaidi chama, vyombo vya habari na hata serikali hakuna anayeeleza aliko!
Mim ninauliza yuko wapi mzee wetu, maana hakuna namna nyingine sasa ya kujua aliko!
Mim ninauliza yuko wapi mzee wetu, maana hakuna namna nyingine sasa ya kujua aliko!