Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF prof. Ibrahim Lipumba ametangaza kusitisha maandamano yaliyotakiwa kufanyika leo.
Source: Radio one habari za saa kwa ufupi na Abdallah Mwaipaya.
hivi watangazaji na waandishi wa starTv au sahara..media.je wanafanya haya ya kuyaelezea ya ccm tu na magufuli ni maelekezo ya tajiri wao au kupenda kwao waandishi.....yaani nimekuwa nafuatilia...
Watanzania wanaoijitambua wanataka mabadiliko. Chama tawala kinalijua jambo hili pia kinajua nguvu ya Edward Lowassa.
Kwa mantiki hiyo, chama tawala kitatumia fedha kiwango chochote kile ili...
Wadau;
Katika mwenendo tulipo sasa, taifa lipo katika mapito magumu sana na Vita kuu kati ya Mkono wa Shetani aliyelikandamiza taifa hili na uhai wake, dhidi ya Umma unaohangaika kwa miaka...
Kwako Dr. Slaa,
Nimekufahamu kwa takribani miaka 6. Ninafahamu baadhi ya tabia zako, unavyovipenda na usivyopenda. Wewe ni mtu mzima sana kwa sasa na kila ufanyacho kinachukuliwa kuwa kimefanywa...
EDWARD Lowassa, aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Tanzania na mmoja wa vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameibuka kuwa ndiye atayeshika bendera ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
Makala iliyokuwa na kichwa cha habari "Kwa nini Lowassa anaweza kuwa rais" iliwakuna wengi, lakini kama ilivyotarajiwa iliwaudhi wengine na walionyesha hasira zao kwa kutuma ujumbe mchafu. Badala...
Kiongozi wa jumuiya ya wanawake ya CCM ijulikanayo kama UWT-CCM bi Sofia Simba amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi kinawatumia mke wa kigogo mmoja wa chama cha upinzani (jina linahifadhiwa) pamoja na...
Ni baada ya Ukawa kujizatiti na kuikabidhi Chadema bendera ya kusimamisha raisi tayari katika miji mbalimbali sherehe za kupamba miji zimeanza hata kampeni bado ,ikiashiria wananchi wameanza...
Kwanza niseme wazi kwamba mimi ni mwanaCHADEMA mtiifu,na nimefurahishwa sana na Lowasa kuingia UKAWA.
Tumechoka kuwa wasindikizaji kwa miaka ishirini huu ni wakati wa kuchukua nchi sababu miaka...
Sasa hivi uongo na uzushi umekuwa mwingi sana kwenye vyombo na vyanzo vyote vya kihabari.
Magamba wanaeneza uongo wa kila aina .
Lengo ni kuwachanganya wananchi na mwisho wa siku wasiweze...
Hakika Mungu ni Mwema.
Siku zote UKAWA walikuwa wanawahadaa wananchi kuwa wapo kwa maslahi yao. Leo ukweli umedhihiri. CHADEMA wanaenda kwenye uchaguzi Mkuu huku wakimpoteza Katibu Mkuu wao, Dr...
Baada ya 'kuruhusiwa' kufanyika kwa mikutano ya hadhara katika maeneo ya mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara) kwa ajili ya kampeni za uchaguzi, chama kimesogeza mbele ratiba ya M4C- Operesheni Pamoja...
Kwa hizi kauli za mbowe ''hatuwezi kusubiri mtu'' na ''ambao hawajaridhia watusamehe'' zinaonesha wazi kabisa kabisa Mbowe ni mwaribifu wa harakati za mageuzi.
Hivi ni Mbowe huyu huyu ndiye yule...
katika sintofahamu imejitokeza pia manispaa ya sumbawanga ktk uchaguz wa wabunge na madiwan kula za maoni baada ya mgombea mmoja na wananchi kufanya fujo ofisi za ccm wilaya baada ya kukatwa jina...
Baada ya kumaliza party ya pili ya movie yetu ya kwanza ikiwa ya DKT na ya pili hii ya PROF tunasubiri ya tatu ya ugawaji wa majimbo...kutokana na kauli iliyotolewa na mwenyekiti MBOWE kuwa mtu...
Wakati meli ya matumaini imeanza safari imeng'oa nanga wasafiri wamejiandaa kufika nchi mpya ya maisha mapya yenye matumaini nahodha hajui aendako mzozo unaanza kati yake na wasafiri,wakati yeye...
Anatory Aman (Mwenye miwani)
Taarifa za hivi punde zilizoufkia mtandao huu ni kuwa kikao cha Halmashauri kuu ya Mkoa wa Kagera kimewaengua kugombea kuwa wagombea nafasi za udiwani Meya wa...
Vyombo vya habari vina viko hapa nchi kisheria na vinabidi vizifuate pamoja na maadili ya uandishi wa habari. Watu wengi wanalalamika kuhusu hii redio Kasibante iliyopo Manispaa ya Bukoba.
Redio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.