Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,509
- 217,774
Taarifa zinaonyesha kwamba Mashahidi wa serikali kwenye kesi inayoitwa ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na Wenzake wako 24 , kati yao 21 ni maofisa wa Polisi wa Tanzania , akiwemo Kingai na Omari Mahita Omari aliyegalagazwa leo Mahakamani na Mawakili wa Utetezi .
Taarifa za siri zinaonyesha kwamba Mashahidi hao kutoka Polisi wengi wao ni viongozi wa jeshi la polisi wa sasa katika ngazi mbalimbali au ni watoto wa waliokuwa viongozi wa polisi, hii ni kwa sababu ilibidi watafutwe askari wenye maslahi na keki ya Taifa, baada ya askari wengine kugoma kushiriki kwenye njama ambayo mwisho wake haufahamiki
Tutaendelea kufukunyua mashahidi wote wa serikali kwenye kesi hii, kuanzia Elimu yao na njia walizotumia hadi kuupata upolisi wao.
Usiondoke JF